Pokea like mkandara.
Pamoja ya Kwamba sikuweza kuhisi kabla Kwamba zito na mbowe wanagombanishwa kwa makusudi, lakini siku zote nimekuwa na nineendelea kusimamia Kwamba zito si msaliti wa cdm. But very unfortunate, kutokana na ukweli Kwamba jukwaa hiki Lina watoto wengi Sana, wamekua wakiishia kumtukana zito na wale wanaoonekana kumtetea as if mbowe ni malaika.
Uchawi kule kwao haujui uzee wala ujana, ni jadi. Amewahi kututambia uchawi humuhumu JF eti atateketeza hadi vifaranga vyetu.Haishi unafiki,ukiwa kijana ukawa mnafiki basi ukizeeka utakuwa mchawi!!!
Uchawi wake unataka PANYA sio VIFARANGAUchawi kule kwao haujui uzee wala ujana, ni jadi. Amewahi kututambia uchawi humuhumu JF eti atateketeza hadi vifaranga vyetu.
Siyo kwa wanasiasa. All of them think they are better than the other and also thinks if it was not for 'him' CHADEMA would not have been where it is now!
kaka yako anasema jinsi alivyoimiss cdm akikumbuka analia sana...ametubu ndugu zitto hana budi kusamehewa
After being discredited kwa yote alokwisha yafanya, kutengwa na hata kutupwa kama mbachao! nadhani Zitto anafanya makusudi kuwakumbusheni, maana hawaushi kumwita msaliti. Kumbuka pia interviews nyingi za Bongo huwa zina leading question. Utasikia mtangazaji akisema nasikia unaitwa msaliti?.Not to discredit his honourable efforts in fighting corruption or adding salt to the wound on his current party plights. Nevertheless Zitto has issues and I think he needs to get his ego checked. Personally I like to listen to interviews from all sorts of people in public life in Tanzania from village leaders all the way to senior minister and the president you always learn. However I must admit I can not listen to Zitto's interview from beginning to end without skipping it to find main point especially if it happens be to a long one for one simple reason it is always I chaired, I initiated, I this or I that: Khaa.
Someone needs to tell him in politics success is defined in pluralism let the commentators single you out for being the maverick that you think you are (if it is that important pay a journalist to tell the extent of those efforts you did privately) but not yourself especially orally it makes a person comes across as arrogant.
It is understood in election times a politician can pledge directly to the voters apart from that it should always be;us, we, our team, the committee, our party, our view point etc to do with acknowledging team members even if you were the protagonist. Ndio maana unaona wenzake ata huko chamani wanakerekwa kama mimi nimesikiliza interview chache nimehitimisha hivyo hao jamaa anaokaa nao kila saa si ndio atawachosha kabisa mwanzo nilikuwa nadhani ni wivu lakini he needs to change kwakweli vinginevyo matatizo ayatoishia cdm bali popote atakapo enda.
After being discredited kwa yote alokwisha yafanya, kutengwa na hata kutupwa kama mbachao! nadhani Zitto anafanya makusudi kuwakumbusheni, maana hawaushi kumwita msaliti. Kumbuka pia interviews nyingi za Bongo huwa zina leading question. Utasikia mtangazaji akisema nasikia unaitwa msaliti?.
Chukua muda usikilize mahojiano ndipo utajua kwamba Kibongo bongo watu wanatafuta majibu wayatakayo.
I think huu uamuzi ni wa ZITTO mwenyewe, wwaliobaki ni washabiki tu , hawawezi kuchukua uamuzi kwa niaba yake.Wanachoweza kufanya ni kumchochea, atakaloamua mwenyewe atajua mwenyewe na mungu wake.
Wanachokifanya ACT ndiocho walichokifanya CDM 2005-2010, Historia inaonesha walikusanya able and non able. Ndio maana ukifungua thread inayohusu CDM leo hii hapa JF nusu ni matusi.
CDM Kumejaa takataka,wanayaziba hata yale mazuri waliyoyafanya. ACT haiwezi Kuhukumiwa mapema hivi, kwani 2005 CUF ndio ilikuwa chama KIKUU cha UPINZANI, nao wangeweza kuidismiss CDM kama tawi la CCM,lakini leo hii kiko wapi? Ngangari imebaki zenji tu.
Siasa za TZ inabidi ufyatuke kidogo, ndio maana straight people kama kina ZITTO wanaonekana kama wehu, halafu wale mazumbukuku kama kina LEMA ndio wanaonekana MAKAMANDA. Kazi ipo
Ukweli mara zote umuacha mtu huru,tumtukane,tumkashifu na kumcheka but still ZZK is not a push over,kwenye siasa za TZ he's still ringing.
Pokea like mkandara.
Pamoja ya Kwamba sikuweza kuhisi kabla Kwamba zito na mbowe wanagombanishwa kwa makusudi, lakini siku zote nimekuwa na nineendelea kusimamia Kwamba zito si msaliti wa cdm. But very unfortunate, kutokana na ukweli Kwamba jukwaa hiki Lina watoto wengi Sana, wamekua wakiishia kumtukana zito na wale wanaoonekana kumtetea as if mbowe ni malaika.
well said. tuwaombee MUNGU wapatanishwe. Lisu asiingilie.
mkuu hapana "wafitini" ni "mabilioni ya dear wa ujerumani"
lakini hapana "wafitini" walihack acc yake facebook na wakaandika "namtaka mama yao siwataki vifaranga"
haiwezekani "wafitini"walimsingizia yeye sio "mm"
itakua nimesahau "wafitini"walimchongea kwa mbowe asimnunulie "chips" tena
hapana "wafitini" walimsaidia kwenda mahakamani sio yeye aliyefungua hiyo kesi
hawa "wafitini" hawa sio wazuri kabisa hatA ule mkutano wa "serena" wafitini ndio waliouandaa yeye hajui kabisa kuhusu ule mkutano
"wafitini"sio watu wazuri kabisa wanamsingizia zzk wa watu
inahitaji moyo mgumu kumuamini huyu mtu
siku hizi zzk hapa jf hana tofauti na le mutuz
Wala hujakosea mimi msukule wa ZZK haswaaa isipokuwa wewe? Kama mimi wa ZZK wewe wa nani? maana msukule atamjua mwenzake kwani wote hawana kauli. Kifupi haya ni maoni yangu huna sababu ya kutoka povu, unaweza yasikiliza ama kuyapuuza, chaguo ni lako.
Ndugu hujawahi kukutana na watu wenye Msimamo.Ulitaka Zitto aende kinyume na Msimamo wake kwasababu ya kupewa amnesty na Mbowe?
Historia huhukumu watu baada ya miaka mingi sana, binafsi nitamhukumu Zito kwa kusimamia alichokiamini, kama bado anakiamini, nacho ni Demokrasia ya wazi na ya kweli ambayo CDM wanaipigania.
Sitampa KURA Milele mwanasiasa asiye na AMBITION, Hafai kuwa KIONGOZI, Kiongozi ni mtu anayefikiria kufanya maamuzi na sio kusubiri aamuliwe, au kufuata mkumbo.
Nadhan ndugu Tuko umesahau kuwa career ya zitto ni SIASA, na Mwanasiasa bila Madaraka wala UMAARUFU huitwa, kada wa chama, aka Mshabiki, ZITTO is Many things but Sio MSHABIKI.
Safi sana mkandara. Kuna watu humu ndani wanajiona wao ndio Pekee Wenye kufahamu ukweli na Wenye haki ya kutoa mawazo yao. Wenzao wakitoa ni wendawazimu na hawajui knachoendelea na wala hawaitakii mema cdm.
Kwamba mawazo yako lazima yafanne na ya kwao tu Ili uweze kuwa sahihi.
Ndio maana kwa hoja hizi za kizembe Huwa naishia kuwa msomaji.
I think huu uamuzi ni wa ZITTO mwenyewe, wwaliobaki ni washabiki tu , hawawezi kuchukua uamuzi kwa niaba yake.Wanachoweza kufanya ni kumchochea, atakaloamua mwenyewe atajua mwenyewe na mungu wake.
Wanachokifanya ACT ndiocho walichokifanya CDM 2005-2010, Historia inaonesha walikusanya able and non able. Ndio maana ukifungua thread inayohusu CDM leo hii hapa JF nusu ni matusi.
CDM Kumejaa takataka,wanayaziba hata yale mazuri waliyoyafanya. ACT haiwezi Kuhukumiwa mapema hivi, kwani 2005 CUF ndio ilikuwa chama KIKUU cha UPINZANI, nao wangeweza kuidismiss CDM kama tawi la CCM,lakini leo hii kiko wapi? Ngangari imebaki zenji tu.
Siasa za TZ inabidi ufyatuke kidogo, ndio maana straight people kama kina ZITTO wanaonekana kama wehu, halafu wale mazumbukuku kama kina LEMA ndio wanaonekana MAKAMANDA. Kazi ipo