Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,432
- 3,251
Amekubali alichokataa.
Dahawamu ya 5 kwa misifa imeshindikana!
hawakawii kututangazia tz imeipatia usa msaada wa vifaa tiba wenye thamani za usd milioni 500 ili kupambana na corona!!!.
Kati ya watu wanao umia kuona mafanikio ya uongozi wa Raisi Magufuli mmoja wapo ni huyo Zitto Kabwe
Awamu ya 5 ishazoeleka sasa na tabia yake maarufu ya ndege aitwaye mbuni (ostrich).Zitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter
“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba....
TRA wengi huwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara hawashindwi kupika data feki za makusanyo kwani TRA ya sasa haifanyi kazi kwa mujibu wa Sheria bali kwa mujibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu.Zitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter
“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba..
Sasa ni mwendo wa kuwahadaa watanzania hakuna cha zaidi ya hapoawamu ya 5 kwa misifa imeshindikana!
hawakawii kututangazia tz imeipatia usa msaada wa vifaa tiba wenye thamani za usd milioni 500 ili kupambana na corona!!!.
Shifting goal posts!Kama hajaongeza mishahara ya wafanyakazi kwa miaka 6 sasa, kwanini ashindwe kuhamamishia serikali Dodoma?
Mabenk yanalalamika wafanyabiashara kukosa imani na mabenk baada ya TRA kwenda kufunga Account zao kienyeji kisha kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara kwa njia haramu za kishetani, tunapoelekea wafanyabiashara wakubwa watahamia Nchi Jirani wote wamechoka kubambikiwa kodi na baadhi ya maofisa vinara wa RushwaTRA watupe na breakdown ya hayo makusanyo kama zamani .Hongereni serikali ya awamu ya tano big up ila sasa sisi wananchj tunataka tuone huduma inalingana na kukamuliwa huko ikiwemo refund za VAT kwa mashirika yenye exemption kwa kuwa wanadai hela nyingi sana na hayo makusanyo hizo zimo.
Takwimu za TRA ni za kupika siyo takwimu sahihiSubiri uchambuzi kisha uthibitishe kuwa Zitto ndio muongo.
Hii ndio ukisikia Punda afe mzigo ufike..St Jude school walionja joto ya jiwe.unawaapa lengo TRA 2T wakusanye alafu wakifungia na kuua biashara unarudi tena kuwafunga.LENGO KUBWA MNO UKILINGANISHA NA MDORORO WA BIASHARA UNAOENDELEA HAPA NCHINI.
Mi Sijui huyu msela yupo tu, na leo Membe sijui kaishia wapi?Wafanye kazi zingineKati ya watu wanao umia kuona mafanikio ya uongozi wa Raisi Magufuli mmoja wapo ni huyo Zitto Kabwe
Hata akikwambia nje kuna mvua inanyesha toka uhakikishe mwenyewe.Hupaswi kumuamini muongo hata kama akiongea ukweli
Sasa wamezifanya Benk kukosa imani toka kwa wafanyabiashara kisa huenda kufunga Account za wafanyabiashara kienyeji kwa njia haramu za kishetani kuwabambikia kodi hewa za uonevu, TRA ya awamu ya Tano ni waonevu na wanyanyasaji wakubwa kwa wafanyabiasharaMnajisifu kutuumiza na makadirio na faini za hovyohovyo,makusanyo ya dhuluma,mamlaka inakusanya kodi kibabe,inabambikia wafanyabiashara kesi mbaya za uhujumu uchumi,hamshangai wananchi waliopaswa kuwapongeza wanawazodoa badala yake mnajipongeza wenyewe,kama mnaona wafanyabiashara wanafaidi hemu acheni kazi nanyinyi mfanya biashara muone.
Mchawi ni TRA kufunga biashara kufunga Account kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara kwa njia haramu za kishetaniZitto ni mchawi.
Kwenye TRA kuwahadaa watanzania Zito yupo sahihiKwani anaoongea uongo kila kitu? Isitoshe tuna akili timamu, tunaweza kupima upi ni ukweli, na upi ni uongo. Ni kweli Zito sio wa kuaminika, lakini uongo wa Zito una afadhali kuliko wa jiwe na serikali yake.
Achana na yeye kama Zitto jikite kwenye hoja zake, tuanzie hapo.Hivi Kuna watu bado wanamsikiliza Zitto?