Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,532
- 34,845
Kama pesa za Tanapa na Ngorongoro wanabeba TRA basi hakuna la kushangaza hapa.Hakuna muujiza wowote ule. Kilichofanyika sasaivi ni hela zote za serikali zinakusanywa na TRA. Kama hadi mamlaka za Ngorongoro na Tanapa na uhamiaji zimenyang’anywa kukusanya mapato ya utalii na imepelekewa TRA hizo figures wala hazishangazi. Tena utalii ukirudi kwenye hali yake tutakuja kutangaziwa imefikia hata trillion 4 na washamba wakashangaa kumbe hizo hela zilikuwepo tangu zamani sema zilikuwa zinaingia serikalini kupitia taasisi nyingine.