Zitto: Taarifa ya TRA kukusanya trilioni 2 ni ya kubumba

Kama wanakimbizana ba mabox ya kura mchana kweupe je watashindwa kubumba data za makusanyo kweli?

CCM hii ni ngumu sana kuiamini.
 
Mbona halipi madeni ya wafanyakazi na kuwapandishia mishahara
Hii hoja ya kuongeza mishahara hii!!!!!!
Tutozane tuakabane Kodi Kisha wengine waongezewe Kila mwaka ni hoja isiyopendwa na watozwa Kodi, Nani aumie? Jamani wazeni kisasa, Bora ukuze uchumi, ili uikuze thaman shilling against US$ ili bidhaa kutoka nje zishuke Bei mziweze Bei kupitia mshahara mnayoiita haijaongezwa. Mega projects zitakapoanza kuleta impact chanya nina hakika US$ itashikwa shati isipande zaidi na pengine itaweza kushuka zaidi.
Makusanyo ya TRA kwa mifumo ya Kodi ya Sasa inawezekana na si ajabu ikaendelea kuongeza makusanyo mpaka TRA wenyewe washangae, ikumbukwe watumiaji wa EFD na electronic payment system nyingine zimeongezeka mpaka tukaanza kusema wenyewe kuwa mfumo huu Basi serikali inakusanya mno (refer malori, mtu anashangaa wakati hata maji ya chupa na soda vimeanza kufukuziwa kwa chupa? Utambuzi wa maeneo ya tozo ndio umeongezeka,
Kwani kwenye chupa moja tu ya maji ya Tsh 1,000/= VAT ni Sh ngap? ni hakika baada ya kutoa input tax haiwezi kuiathiri hiyo amount added ikiwa kila chupa itakabwa.
 
Kama wanakimbizana ba mabox ya kura mchana kweupe je watashindwa kubumba data za makusanyo kweli?

CCM hii ni ngumu sana kuiamini.
Hakuna kitu kinafanywa na CCM kikawa sawa kwa 100%
 
Hii hoja ya kuongeza mishahara hii!!!!!!
Tutozane tuakabane Kodi Kisha wengine waongezewe Kila mwaka ni hoja isiyopendwa na watozwa Kodi, Nani aumie? Jamani wazeni kisasa, Bora ukuze uchumi, ili uikuze thaman shilling against US$ ili bidhaa kutoka nje zishuke Bei mziweze Bei kupitia mshahara mnayoiita haijaongezwa. Mega projects zitakapoanza kuleta impact chanya nina hakika US$ itashikwa shati isipande zaidi na pengine itaweza kushuka zaidi.
Makusanyo ya TRA kwa mifumo ya Kodi ya Sasa inawezekana na si ajabu ikaendelea kuongeza makusanyo mpaka TRA wenyewe washangae, ikumbukwe watumiaji wa EFD na electronic payment system nyingine zimeongezeka mpaka tukaanza kusema wenyewe kuwa mfumo huu Basi serikali inakusanya mno (refer malori, mtu anashangaa wakati hata maji ya chupa na soda vimeanza kufukuziwa kwa chupa? Utambuzi wa maeneo ya tozo ndio umeongezeka,
Kwani kwenye chupa moja tu ya maji ya Tsh 1,000/= VAT ni Sh ngap? ni hakika baada ya kutoa input tax haiwezi kuiathiri hiyo amount added ikiwa kila chupa itakabwa.
Kukusanya kodi kwa kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara kuwafungia Account zao haikuzi uchumi ni kuua mabenk kwa kukosa imani toka kwa wateja, hakuna uchumi unakua kwa mifumo hiyo ya uonevu mtupu
 
Kukusanya kodi kwa kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara kuwafungia Account zao haikuzi uchumi ni kuua mabenk kwa kukosa imani toka kwa wateja, hakuna uchumi unakua kwa mifumo hiyo ya uonevu mtupu

Kukusanya kodi kwa kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara kuwafungia Account zao haikuzi uchumi ni kuua mabenk kwa kukosa imani toka kwa wateja, hakuna uchumi unakua kwa mifumo hiyo ya uonevu mtupu

Uko sahihi kabisa mkuu, tatizo naona nchi Ina watoza Kodi tu, Haina Wanauchumi.
Kwa namna serikali hii inavokusanya Kodi kwa system za kisasa walipaswa wapunguze tax base kwa kuondoa vikodi Kodi vya ajabu ajabu , Kuna mamlaka nyingi mno zinazotoza vitu, mpaka unajiuliza ivi hii nchi Ina watu wanaochukua tahadhari kweli? Fire, OSHA, NEMC, HALMASHAURI NA KODI ZAKE, TRA NA ZAKE, WCF, etc
ivi wameshindwa hata kuziweka katika rate fulani ndogo ikasimamiwa na TRA au halmashauri au iundwe board moja ili amount ipatikanayo iwe distributed kwenye hizo mamlaka? Mkusanyaji akawa mmoja au wawili au watatu na sio zaidi, mfano Kama kwenye receipt ya ununuzi umeme Tanesco anakusanya za kwake na za wengine, kwa Nini na hizo nyingine wasifanye hivo, maana umuhimu wa huduma ya hizo mamlaka sio sababu ya na wao kwenda kutoza! Kero sana, Kila wiki Kuna gari inaingia na la kwake. Tutajenga nchi kweli Manager kila saa kikao na wakaguzi! Duuuh!
 
Back
Top Bottom