Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

ZZK ni mtu makini sana, anajua fika kwamba nafasi pekee anayoihitaji ni uenyekiti wa chama, na kwa kutumia makundi hasimu ndani ya chama inngemuwia vigumu sana kupata nafasi hii, pia anaelewa kabisa kugombea uongozi chadema ni kujitangazia uadui maana nafasi za uongozi zina hati miliki.

NI uamuzi wa busara sana, lakini hautokani na ZZK kutopenda uongozi isipokuwa kuelewa kitakachomtokea.

Nimeshakuambia kwenye uzi mwingine kuhusu Nassari kuwa wewe utakuwa unakanyagw... tu! Sio bure!
 
It is very amazing how JF Members like other Tanzanians are losing memory quickly to this extent! This statement is not a new realese. It was posted by Zitto in his greetings to welcome the New Year 2012.

In the midst of this release, when the Party and all National attention was in Arumeru, Zitto threw another confusing stand about his aspirations to run for the 2015 Presidency. Astonishingly, today people are commenting on this stement as if it is a new message released today!

I could not agree with you more. In JF oftentimes people do make chicken-head responses to topics without through scrutizy and research. This is actually very endemic and if one were to an intelligent net,perhaps only one or two out of the ten comments per topic would see the light of the day!
 
Nimeshakuambia kwenye uzi mwingine kuhusu Nassari kuwa wewe utakuwa unakanyagw... tu! Sio bure!

Asante sana kwa maoni yako mazuri. sikulaumu sana ni kupotea kwa maadili katika taifa, viongozi wa dini wote wamekuwa wanasiasa sasa nani atakemea?
 
namuunga mkono kwa mtizamo huo ni wakati sasa kufikiri kuhusu mstakabali wa nchi hii na wananchi
kuwakomboa kifikira,kimaendeleo,tuwatoe mikononi mwa shida nakuwapa matumaini yaliyopotea
 
Nafikiri huu uamuzi utaongeza mshikamano ndani ya chama. hongera kamanda kwa kuwa muwazi.

Mkuu idawa mpe Zitto hongera nyingine ya kusema wazi wazi kwamba atagombea Urais kupitia tiketi ya chama chake.
 
Last edited by a moderator:
Nimemkubali Zitto kwa uamzi wake huu. Hili ni tamko lenye uzito kwake Zitto na CDM pia. Ametutoa dukuduku kwa matamko yake ya nyuma, juu ya Umri wa anayetaka kugombea urais 2015, n.k.

Kumbe mtu akisema anagombea Urais CDM basi inakuwa ni dukuduku kwa wengine!
 
who is zitto????? Acheni upuuzi wa kutengeneza watu baadala ya taasisi. Mtu mmoja hawedzi kutukomboa. Tujenge cdm
afadhali wewe umechangia kiukomavu kabisa naona wengine wanataka kujenga watu fulani na kubomoa wengine kwa roho ya ubinafsi
 
anarudia yaleyale ya 2007 alitangaza anaacha siasa anarudi kufundisha anaenda kufanya kazi somalia au southern sudan, hana lolote

Umenikumbusha alipoteuliwa kwenye kamati ya madini iliyoongzwa na Justice Bomani. Kumbuka ni baada ya yeye Zitto kulipua bomu la Karamagi na ile Buzwagi kisha Zitto akasimamishwa na Bunge kwa muda wa miezi kadhaa.

Zitto alishtuka sana kugundua kuwa sekta ya madini haina wataalam na akatangaza kwamba angeacha siasa ili abobee kwenye sekta hii.

Binafsi nilituma pongezi kwenye simu yake kumkaribisha kwenye fani ya utaalamu ambako ndiko nchi inakowahitaji kuliko inavyohitaji wanasiasa.

Nilibaki kwenye mataa niliposikia anagombea tena ubunge jimboni mwake. Sikuwa na hamu naye tena.
 
It is very amazing how JF Members like other Tanzanians are losing memory quickly to this extent! This statement is not a new realese. It was posted by Zitto in his greetings to welcome the New Year 2012.

In the midst of this release, when the Party and all National attention was in Arumeru, Zitto threw another confusing stand about his aspirations to run for the 2015 Presidency. Astonishingly, today people are commenting on this stement as if it is a new message released today!


i like your kiingereza, you write again dear jf, isn'$t??
 
"Nimeamua kugombea Uenyekiti wa Chadema sababu nimeona Chama kimepoteza mwelekeo na kimekuwa cha kikanda zaidi na baadhi wanajinufaishi zaidi na Chama, hivyo lengo langu ni kukifanya Chama kiwe na sura ya kitaifa tofauti na ilivyo hivi sasa ambapo chama ni cha wachache mwenyekiti ni dhaifu na chama kina makundi"

"Nimeamua kubatilisha uamuzi wangu wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA sababu nimeridhika na hali ndani ya CHAMA na nina Imani na Mwenyekiti wetu aendelee kutuongoza"

Sitagombea ubunge wa Kigoma Kaskazini mwaka 2010. Najiandaa kugombea kati ya Kahama, Kinondoni.....kwani watu wa huko wamenitumia ujumbe kuwa wananiitaji na mimi nimetuma watu wangu wafanye utafiti wa kisayansi ili niamue nikagombee wapi"

"..................Sitagombea tena Ubunge mwaka 2010 nataka nijiandae kwenda kufundisha kwani iyo ndiyo ndoto yangu ya muda mrefu"

"Nitagombea Ubunge wa Kigoma Kaskazini mwaka 2010"

".....ndiye alietoa wazo la CHADEMA kwenda kuonana na rais kuhusiana na suala la katiba mpya"......
(Ufafanuzi ulitolewa kuhusiana na suala hili kuhusu kikao gani kilitoa maamuzi hayo)

The latest kauli
......"Sitagombea Uongozi ndani ya CHADEMA"

Hizi ni kauli za mtu mmoja, lakini kwasabu ya mapenzi yaliyopita kiasi cha kuwezo kupofua upeo mtu katika kufikiri, mashabiki either hawazikumbuki au wamezisahau haraka sana......hapa ndipo tatizo la msingi lilipo.....
 
"Nimeamua kugombea Uenyekiti wa Chadema sababu nimeona Chama kimepoteza mwelekeo na kimekuwa cha kikanda zaidi na baadhi wanajinufaishi zaidi na Chama, hivyo lengo langu ni kukifanya Chama kiwe na sura ya kitaifa tofauti na ilivyo hivi sasa ambapo chama ni cha wachache mwenyekiti ni dhaifu na chama kina makundi"

"Nimeamua kubatilisha uamuzi wangu wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA sababu nimeridhika na hali ndani ya CHAMA na nina Imani na Mwenyekiti wetu aendelee kutuongoza"

Sitagombea ubunge wa Kigoma Kaskazini mwaka 2010. Najiandaa kugombea kati ya Kahama, Kinondoni.....kwani watu wa huko wamenitumia ujumbe kuwa wananiitaji na mimi nimetuma watu wangu wafanye utafiti wa kisayansi ili niamue nikagombee wapi"

"..................Sitagombea tena Ubunge mwaka 2010 nataka nijiandae kwenda kufundisha kwani iyo ndiyo ndoto yangu ya muda mrefu"

"Nitagombea Ubunge wa Kigoma Kaskazini mwaka 2010"

".....ndiye alietoa wazo la CHADEMA kwenda kuonana na rais kuhusiana na suala la katiba mpya"......
(Ufafanuzi ulitolewa kuhusiana na suala hili kuhusu kikao gani kilitoa maamuzi hayo)

The latest kauli
......"Sitagombea Uongozi ndani ya CHADEMA"

Hizi ni kauli za mtu mmoja, lakini kwasabu ya mapenzi yaliyopita kiasi cha kuwezo kupofua upeo mtu katika kufikiri, mashabiki either hawazikumbuki au wamezisahau haraka sana......hapa ndipo tatizo la msingi lilipo.....

Hongera kwa kutufumbua macho...
 
naona fitna zimeanza kwa kuwa uchaguzi hauko mbali sn! mbowe na slaa mawesema kauli ngapi zinazogongana! siasa ndivyo ilivyo. zitto alisema maneno yale kwa malengo anayoyajua mwenyewe. usipandikiza chuki dhidi ya zitto. ni mtu muhimu sn ktk chadema
 
Zitto maji yamemfika shingoni, hana cha kufanya tu, anajikaza kisabuni. Nna uhakika hata Mwenyekiti kisha ona madudu yaliyopo makao makuu, mchumba kuwa bosi? Dah! hatari kubwa sana.

Zitto kajionea aah, bora akae pembeni awaachie wenye uchu wa madaraka watoane roho, hajasahau yaliyomkuta.
 
Na angethubutu kugombea tu angeundiwa TUME. Kasoma alama za nyakati. Bora awe nje ya uongozi wapange wanayoyataka.

Kwa hizi propaganda unajisumbua bure. Chadema c sisi m, ni wanasayansi katika politiki, tulia kijana subiri kuwa mpinzani tu!
 
Back
Top Bottom