ZZK ni mtu makini sana, anajua fika kwamba nafasi pekee anayoihitaji ni uenyekiti wa chama, na kwa kutumia makundi hasimu ndani ya chama inngemuwia vigumu sana kupata nafasi hii, pia anaelewa kabisa kugombea uongozi chadema ni kujitangazia uadui maana nafasi za uongozi zina hati miliki.
NI uamuzi wa busara sana, lakini hautokani na ZZK kutopenda uongozi isipokuwa kuelewa kitakachomtokea.
Nimeshakuambia kwenye uzi mwingine kuhusu Nassari kuwa wewe utakuwa unakanyagw... tu! Sio bure!