"Nimeamua kugombea Uenyekiti wa Chadema sababu nimeona Chama kimepoteza mwelekeo na kimekuwa cha kikanda zaidi na baadhi wanajinufaishi zaidi na Chama, hivyo lengo langu ni kukifanya Chama kiwe na sura ya kitaifa tofauti na ilivyo hivi sasa ambapo chama ni cha wachache mwenyekiti ni dhaifu na chama kina makundi"
"Nimeamua kubatilisha uamuzi wangu wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA sababu nimeridhika na hali ndani ya CHAMA na nina Imani na Mwenyekiti wetu aendelee kutuongoza"
Sitagombea ubunge wa Kigoma Kaskazini mwaka 2010. Najiandaa kugombea kati ya Kahama, Kinondoni.....kwani watu wa huko wamenitumia ujumbe kuwa wananiitaji na mimi nimetuma watu wangu wafanye utafiti wa kisayansi ili niamue nikagombee wapi"
"..................Sitagombea tena Ubunge mwaka 2010 nataka nijiandae kwenda kufundisha kwani iyo ndiyo ndoto yangu ya muda mrefu"
"Nitagombea Ubunge wa Kigoma Kaskazini mwaka 2010"
".....ndiye alietoa wazo la CHADEMA kwenda kuonana na rais kuhusiana na suala la katiba mpya"......(Ufafanuzi ulitolewa kuhusiana na suala hili kuhusu kikao gani kilitoa maamuzi hayo)
The latest kauli......"Sitagombea Uongozi ndani ya CHADEMA"
Hizi ni kauli za mtu mmoja, lakini kwasabu ya mapenzi yaliyopita kiasi cha kuwezo kupofua upeo mtu katika kufikiri, mashabiki either hawazikumbuki au wamezisahau haraka sana......hapa ndipo tatizo la msingi lilipo.....