Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

Wana JF wenye mapenzi mema kwa CHADEMA, nadhani ni muda muafaka sasa kuanza kutoa maoni kuhusu chama chetu hasa uongozi wake maana uongozi ujao ndio utatupa serikali 2015. kwanza nimpongeze sana Mbowe kwa kweli ameonyesha ujasiri mkubwa na ameongoza chama kwa ujasiri na ukakamavu mkubwa.

Huwezi kuitaja chadema ya leo bila kumtaja Mbowe. Baada ya kazi kubwa na ili kuonyesha chadema kina watu wazuri wengi wanaoweza kuongoza, ningeshauri tu asigombee tena akae pembeni ila abaki kwenye vikao muhimu vya chama.

Nashauri Dr Slaa sasa angeandaliwa kuwa Chairman, Zitto Kabwe awe makamu Bara, atafutwe katibu mkuu msomi mzuri ambaye anaweza kuratibu shughuli za chama kisomi, Naibu katibu pia awe msomi mzuri, tuwe na graduates makatibu wa kila jimbo la uchaguzi ambapo kazi zao itakuwa kufanya uratibu wa chama, hope chadema tutakuwa tumepiga hatua zaidi towards state house. Ni maoni tu. Peoplessssssssssssss Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

kwenye red tu ndo mashaka yangu yalipo. kama angekuwa makini kama enzi zile za kutimuliwa bungeni ningeunga kwa nguvu ya tano, lakini kwa sasa ningependelea awe mwanachama tu, kwa kwa sasa Zitto hana tofauti na mimi ninayetoa maoni yangu nikiwa nyuma ya pazia.

Kimsingi amebadirika, kuna baadhi ya mikakati ya kichama hakubaliani, kwa mfano tangu ianzishwe M4C, sidhai kama amewahi kuizungumzia kitu hii. Sasa akiwa mwenyekiti halafu haipendi M4C, si atatuangusha chini huyo?
 
mbowe aendelee tu kuwa mwenyekiti mpaka chadema itakapoingia madarakani ila Dr.Slaa awe mgombea urais,Mnyika awe katibu,zitto waziri wa mambo ya nje,Lema waziri wa mambo ya ndani
 
vyama vingine watu makini wachache mpaka inakuwa shida kupanga safu ya uongozi
 
Wana JF wenye mapenzi mema kwa CHADEMA, nadhani ni muda muafaka sasa kuanza kutoa maoni kuhusu chama chetu hasa uongozi wake maana uongozi ujao ndio utatupa serikali 2015. kwanza nimpongeze sana Mbowe kwa kweli ameonyesha ujasiri mkubwa na ameongoza chama kwa ujasiri na ukakamavu mkubwa.

Huwezi kuitaja chadema ya leo bila kumtaja Mbowe. Baada ya kazi kubwa na ili kuonyesha chadema kina watu wazuri wengi wanaoweza kuongoza, ningeshauri tu asigombee tena akae pembeni ila abaki kwenye vikao muhimu vya chama.

Nashauri Dr Slaa sasa angeandaliwa kuwa Chairman, Zitto Kabwe awe makamu Bara, atafutwe katibu mkuu msomi mzuri ambaye anaweza kuratibu shughuli za chama kisomi, Naibu katibu pia awe msomi mzuri, tuwe na graduates makatibu wa kila jimbo la uchaguzi ambapo kazi zao itakuwa kufanya uratibu wa chama, hope chadema tutakuwa tumepiga hatua zaidi towards state house. Ni maoni tu. Peoplessssssssssssss Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

Mbona Unamkimbilia ZITO KABWE? Si yeye Kasema hataki UONGOZI ndani ya CHADEMA ila tu Nafasi ya Kugombea

URAISI tu... Hapendi Kuwa MTU wa kusimamia ITIKADI za CHAMA anataka awe FREE kuwa MASHUHURI yeye

Mwenyewe Sasa UKIMPA Uongozi Ndani ya Chama - Kila asemacho kitaenda kuwa sifa kwa Uongozi wa Chama Chake

Ni Selfish na Umimi ndio MAPENZI YAKE...
 
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama chake katika Uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

Zitto aliyasema hayo juzi wakati akizungumza na NIPASHE jijini Mbeya, alikokuwa amekwenda kuongeza nguvu katika kampeni za uchaguzi wa udiwani katika kata ya Kiwira wilayani Rungwe.

Alisema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu anaona timu ya sasa ya uongozi wa chama hicho inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza kwa miaka mingine mitano ijayo.

“Sina interest (nia) na sifikirii kama nitagombea uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa ndani wa Chadema mwaka huu, naona timu iliyopo inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza chama,” alisema Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini.

Alisema ingawa katika uchaguzi uliopita alijitosa kuwania nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho, lakini safari hii nafsi yake haimtumi kufanya hivyo kwa kuwa ana imani kuwa uongozi wa sasa unastahili kuendelea kuwa madarakani kwa manufaa na maslahi ya chama na Watanzania kwa ujumla.


Chanzo: Gazeti la Nipashe

UPDATE:
Kairudia kauli hii Juni 16, 2012 akiwa Iringa (M4C)

Safi sana kamanda Zitto.Kumbe ulishakuwa na mawazo mazuri kama haya ya kupunguza baadhi ya majukumu yako.
 
Wana JF wenye mapenzi mema kwa CHADEMA, nadhani ni muda muafaka sasa kuanza kutoa maoni kuhusu chama chetu hasa uongozi wake maana uongozi ujao ndio utatupa serikali 2015. kwanza nimpongeze sana Mbowe kwa kweli ameonyesha ujasiri mkubwa na ameongoza chama kwa ujasiri na ukakamavu mkubwa.

Huwezi kuitaja chadema ya leo bila kumtaja Mbowe. Baada ya kazi kubwa na ili kuonyesha chadema kina watu wazuri wengi wanaoweza kuongoza, ningeshauri tu asigombee tena akae pembeni ila abaki kwenye vikao muhimu vya chama.

Nashauri Dr Slaa sasa angeandaliwa kuwa Chairman, Zitto Kabwe awe makamu Bara, atafutwe katibu mkuu msomi mzuri ambaye anaweza kuratibu shughuli za chama kisomi, Naibu katibu pia awe msomi mzuri, tuwe na graduates makatibu wa kila jimbo la uchaguzi ambapo kazi zao itakuwa kufanya uratibu wa chama, hope chadema tutakuwa tumepiga hatua zaidi towards state house. Ni maoni tu. Peoplessssssssssssss Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

Hayo mawazo yako mazuri ila yawe baada ya 2015,mbowe abaki kuwa m/kiti,slaa abaki palepale,zito sijui tumweke wapi,labda nafasi ya zito tumpe HECHE
 
Wana JF wenye mapenzi mema kwa CHADEMA, nadhani ni muda muafaka sasa kuanza kutoa maoni kuhusu chama chetu hasa uongozi wake maana uongozi ujao ndio utatupa serikali 2015. kwanza nimpongeze sana Mbowe kwa kweli ameonyesha ujasiri mkubwa na ameongoza chama kwa ujasiri na ukakamavu mkubwa.

Huwezi kuitaja chadema ya leo bila kumtaja Mbowe. Baada ya kazi kubwa na ili kuonyesha chadema kina watu wazuri wengi wanaoweza kuongoza, ningeshauri tu asigombee tena akae pembeni ila abaki kwenye vikao muhimu vya chama.

Nashauri Dr Slaa sasa angeandaliwa kuwa Chairman, Zitto Kabwe awe makamu Bara, atafutwe katibu mkuu msomi mzuri ambaye anaweza kuratibu shughuli za chama kisomi, Naibu katibu pia awe msomi mzuri, tuwe na graduates makatibu wa kila jimbo la uchaguzi ambapo kazi zao itakuwa kufanya uratibu wa chama, hope chadema tutakuwa tumepiga hatua zaidi towards state house. Ni maoni tu. Peoplessssssssssssss Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

Wana-CHADEMA wataamua kidemokrasia nani awe M/kiti na katibu wao
 
kwa maoni yangu nafasi zibaki vile vile isipokuwa nafac ya zitto apewe henche
 
hahahaha!!,mwanasiasa kijana machachari na mwerevu kutoka moja ya chama cha upinzani pande za Tanzania aendelea kuwajambisha mahasimu wake ndani ya chama baada ya kuonyesha kua mtata(haelewek) chezea zitto weye!
 
Unataka kutuambia kuwa Mbowe pekee ndie anaweza ndani ya Chadema? Chadema ni chama kikubwa kwa sasa nadhani tutakuwa tunaonyesha njia kama tukiendelea na utaratibu wetu wa kubadilishana kijiti hata kama tuna kiongozi imara kama Mbowe. Nyerere alikuwa kiongozo shupavu ila alifika mahali akaonyesha ukomavu wa kisiasa akang'atuka

napenda mtazamo wa Ipande na mtoa mada. chama cha siasa si mali ya mtu bali. tulisikia mala nyingi ccm wakisema chama hicho kinawenyewe na matokeo yake leo tunayaona. nivyema viongozi wetu na wananchi wakaliona ili. kwamba uongozi wakupokezana na kujengeana uwezo ktk hilo ni muhimu. reference nzuri ni Nyerere na mandela kwa upande watu afrika. Lakini pia ushauri wangu kwa chadema: viongozi wote wa chama wapimwe kwa uwezo wao na mapenzi ya kulitumikia taifa lao.

Leo hii najiuliza sana kuhusu uwezo(kiakili)na na jinsi (style) viongozi wetu wakubwa serikalini. mmoja wetu hapa jf husema 'hakili ndogo kuongoza hakili kubwa' . hili halikubaliki. Bilashaka katiba ya chama chama chadema na katiba inayokuja ya Tanzania vitakuwa na dira sahihi ya upatkawa viongozi ktk taifa wetu.
 
Unataka kutuambia kuwa Mbowe pekee ndie anaweza ndani ya Chadema? Chadema ni chama kikubwa kwa sasa nadhani tutakuwa tunaonyesha njia kama tukiendelea na utaratibu wetu wa kubadilishana kijiti hata kama tuna kiongozi imara kama Mbowe. Nyerere alikuwa kiongozo shupavu ila alifika mahali akaonyesha ukomavu wa kisiasa akang'atuka

napenda mtazamo wa Ipande na mtoa mada. chama cha siasa si mali ya mtu. Tulisikia mala nyingi ccm wakisema chama hicho kinawenyewe na matokeo yake leo tunayaona. nivyema viongozi wetu na wananchi wakaliona ili. kwamba uongozi wakupokezana na kujengeana uwezo ktk hilo ni muhimu. reference nzuri ni Nyerere na Mandela kwa upande watu afrika. Lakini pia ushauri wangu kwa chadema: viongozi wote wa chama wapimwe kwa uwezo wao na mapenzi ya kulitumikia taifa lao.

Leo hii najiuliza sana kuhusu uwezo(kiakili)na na jinsi (style) viongozi wetu wakubwa serikalini. mmoja wetu hapa jf husema 'hakili ndogo kuongoza hakili kubwa' . hili halikubaliki. Bilashaka katiba ya chama chama chadema na katiba inayokuja ya Tanzania vitakuwa na dira sahihi ya upatikanaji viongozi ktk taifa letu.
 
Back
Top Bottom