Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Kila mwanachama wa chadema ana haki ya kugombea nafasi ya uongozi ndani ya chama, lakini halazimishwi, kama Zitto kasema hana nia ya kugombea uongozi atakuwa na sababu ya msingi yenye maslahi kwa chama, na hiyo sababu iheshimiwe.