Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

Hatagombea uongozi ndani ya chama ili aweze kupata muda mzuri wa kujiandaa na Urais. Hata hivyo uongozi kwenye chama siyo saizi yeke tena...yuko juu zaidi ya hapo.. go for uPrezidaa
 
Zitto ni mlipukaji tuu.ni kinyong tu.anyways who care?zaidi tungeshukuru kama angeamua kurudisha kadi ya chama kabisa.tumechoka kusikilizaupuuzi wake
 
Ujasiri ni kitu muhimu sana. Zitto ni jasiri amesema anachoamini ni sahihi kwake. Anataka chama kimteue agombee urais kama kitaona inafaa. Mwisho wa siku wapiga kura nao wataamua nani wanataka awaongeze kwa kipindi hicho. Zitto hajataja mwaka atakao gombea urais. amesema iwe 2015,2020 au 2025. Sasa wadau kwani mchango wa zitto chadema hauonekani? Hakuna chuo cha kufundisha urais, tunataka rais mwenye utashi, na nia njema ya kuwaongoza wa tz.Hao wengine mnaowafikiria hawajaonesha nia. Timu yenye ushindi huanza maandalizi mapema.ZITTO HAJAKOSEA. DEMOKRASIA YA KWELI ITACHUKUA MKONDO WAKE.

aisee!!
 
Mkuu ina maana kwa yeye kuamua kutogombea uongozi wowote Chadema, effectively has joined them? Anadai “Sina interest (nia) na sifikirii kama nitagombea uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa ndani wa Chadema mwaka huu, naona timu iliyopo inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza chama.”

Lakini si ni mingonini mwa watu walio kwenye timu ilioyopo sasa ambayo anaona inatosha? Kwa hiyo akiondoka, timu itaendelea kutosha? Au tusema role yale kwenye timu ya sasa ni kama haipo to the extent kwamba hata asipogombea tena timu mpya itaendelea kutosheleza?

I mean what exactly does he want to convey?
Mkuu EMT umeuliza swali la msingi.hata mimi simuelewi alichoimanisha zitto.ndo maana nasema Zitto ni kama kinyonga,period.sasa kwa yeyote mwenye akili timamu anaweza kumshabikia zitto kwenye kugombea cheo chochote potelea mbani uraisi?mtu siyejua au asiyekuwa na uwezo wa kupima au kuchagua maneno ya kuongea hawezi kuwa kiongozi.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama chake katika Uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

Zitto aliyasema hayo juzi wakati akizungumza na NIPASHE jijini Mbeya, alikokuwa amekwenda kuongeza nguvu katika kampeni za uchaguzi wa udiwani katika kata ya Kiwira wilayani Rungwe.

Alisema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu anaona timu ya sasa ya uongozi wa chama hicho inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza kwa miaka mingine mitano ijayo.

“Sina interest (nia) na sifikirii kama nitagombea uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa ndani wa Chadema mwaka huu, naona timu iliyopo inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza chama,” alisema Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini.

Alisema ingawa katika uchaguzi uliopita alijitosa kuwania nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho, lakini safari hii nafsi yake haimtumi kufanya hivyo kwa kuwa ana imani kuwa uongozi wa sasa unastahili kuendelea kuwa madarakani kwa manufaa na maslahi ya chama na Watanzania kwa ujumla.


Chanzo: Gazeti la Nipashe

Yaani huyu badala ya kutumia nguvu na muda wake kujenga chama chake; yeye anatumia nguvu hizo kujijenga na kufikiria uongozi tu. Mara ninautaka uraisi, mara sitagombea uongozi, ili mradi focus yake ni kwake tu badala ya kufokasi kwenye kuimarisha chama.

Ama kweli mgema asisifiwe na ngoma isilie sana.
 
Mkuu EMT umeuliza swali la msingi.hata mimi simuelewi alichoimanisha zitto.ndo maana nasema Zitto ni kama kinyonga,period.sasa kwa yeyote mwenye akili timamu anaweza kumshabikia zitto kwenye kugombea cheo chochote potelea mbani uraisi?mtu siyejua au asiyekuwa na uwezo wa kupima au kuchagua maneno ya kuongea hawezi kuwa kiongozi.

dah! Jamani inamana huyu zitto rafiki wa ben sanane hata hiyo nafasi yake ya umakamu katibu mkuu wa chama hatagombea? Pia ina maana atakuwa ni mwanchama wa kawaida?
But kwa yeyote yule anayependezwa na mienendo ya zitto na kundi lake la wakina Ben sanane yani wazee wa Radical change BASI NI MUASI NA HANA MAPENZI MEMA NA CHADEMA PAMOJA NA TAIFA.
.HAKYA MUNGU NAAPA MAMA YANGU MZAZI ! KWANI VIJANA HAWA WENYE VIBURI NA DHARAU NI JANGA KWA TAIFA KWANI WANATUHAIBISHA SISI VIJANA WENZAO.
 
It's a vengeful decree designed by maniacal undemocratic characters out there not only to silence freedom of expression and of the youths but also to silence radical movement underway......

Unataka niseme unachotaka kusikia.Ok,Let my signature below,confirm your doubts.It's very clear and loud !

wewe huna sifa za kuwa mwana-chadema kwani haupo accontable na chama kabisa, mshabiki wa siasa za makundi na most of the time una -spend kuonyesha jeuri yako humu na wa2 tunazidi kukusoma ze way ur, unampenda san Zitto kwa sababu tabia mnafanana, unapenda sana totoz so hata ukiwa mbunge unaweza kusaliti jimbo kwa ajili ya toto mmoja 2 , wakati sis wenzako tukijaribu kuwasilisan na viongoz wa chama na kuwapa mbinu nzuri za kulinda kura arumeru but wewe upo unakula bata 2, wenzako wakina heche na mnishi wapoa arumeru but ww upo fcbk 24 hrs unachat alafu unategemea eti chama kipitishe jina lako ktk uchaguz wowote ule!
Nimekufatilia san humu JF na post zako za kukashifu viongozi wako wa upinzani eti hawana tofauti kwani wote ni vibaraka wa wazungu alfu una mchukulia zitto kam ndo mungu wako na wengine ni malofa.
MOVEMENT 4 RADICAL CHANGE ndo itakayo tumika ku-scan virus wote CDM kama ww Ben.
 
naibu katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema), zitto zuberi kabwe, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama chake katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

Zitto aliyasema hayo juzi wakati akizungumza na nipashe jijini mbeya, alikokuwa amekwenda kuongeza nguvu katika kampeni za uchaguzi wa udiwani katika kata ya kiwira wilayani rungwe.

Alisema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu anaona timu ya sasa ya uongozi wa chama hicho inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza kwa miaka mingine mitano ijayo.

“sina interest (nia) na sifikirii kama nitagombea uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa ndani wa chadema mwaka huu, naona timu iliyopo inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza chama,” alisema zitto ambaye pia ni mbunge wa kigoma kaskazini.

Alisema ingawa katika uchaguzi uliopita alijitosa kuwania nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho, lakini safari hii nafsi yake haimtumi kufanya hivyo kwa kuwa ana imani kuwa uongozi wa sasa unastahili kuendelea kuwa madarakani kwa manufaa na maslahi ya chama na watanzania kwa ujumla.


chanzo: Gazeti la nipashe


hivi huyu ndio mlisema alitangaza nia ya kugombea kweli urais au walimzushia au hakueleweka vizuri!
 
jambo usilolijua! zito is far!!
Zitto kaona mnataka kumwingiza choo cha kike, mnatukana viongozi wake kwa kum associate na yeye, ndio maana kaona awaachie manyoya nyie muendelee na matusi yenu. Yeye hagombei tena uenyekiti mliokuwa mnautumia kumfarakanisha na Mbowe. For that reason i can say yes Zitto is far.
 
Hahaha Chadema ni wabaguzi balaa.Muislam mwenyewe mmoja na hawamtaki. Angalau ficheni true colors basi.
 
hapo kabwe ndiyo unathibitisha unafiki wako,leo ndio unaona wanatosha au walikutishia kukua nini? Ukisubutu tena kugombea?.au tayari ADC,kama unataka urais chukua uenyekiti vinginevyo unajidanganya,komaa nao
 
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama chake katika Uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

Zitto aliyasema hayo juzi wakati akizungumza na NIPASHE jijini Mbeya, alikokuwa amekwenda kuongeza nguvu katika kampeni za uchaguzi wa udiwani katika kata ya Kiwira wilayani Rungwe.

Alisema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu anaona timu ya sasa ya uongozi wa chama hicho inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza kwa miaka mingine mitano ijayo.

"Sina interest (nia) na sifikirii kama nitagombea uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa ndani wa Chadema mwaka huu, naona timu iliyopo inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza chama," alisema Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini.

Alisema ingawa katika uchaguzi uliopita alijitosa kuwania nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho, lakini safari hii nafsi yake haimtumi kufanya hivyo kwa kuwa ana imani kuwa uongozi wa sasa unastahili kuendelea kuwa madarakani kwa manufaa na maslahi ya chama na Watanzania kwa ujumla.


Chanzo: Gazeti la Nipashe

Nilishasema tangu zamani narudi hapa Zitto hawezi kuchaguliwa kuongoza chadema hata kama anataka hicho cheo.., wala hawezi kupitishwa kugombea urais kupitia chadema..NEVER

sI YEYE tu hata Prof. Safari hawezi, Habib, Hawezi etc.. tatizo ni ubishi wao hawajui hicho chama kiko kwa ajili ya kina nani?
 
Back
Top Bottom