Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

It could be the other way too. Labda hataki tena kugombea ili nae aunde informal timu yake nje ya uongozi ujao?
Sikatai inawezekana, lakini ninavyofahamu mimi if you want to win a game you have to be involved, you can't play cards by looking through the window, kama ataamua kuwa nje ya ulingo sijui ataweza vipi.
 
Tatizo Matola uandishi wako wa shule za kata haujifichi hata ukitumia ID mia, mnatakuna humu JF mnafanya JF sehemu ya kutolea matusi yenu Mods kuweni makini na hii ID ni muendelezo wa makusudi kuichafua JF kwa Multiple ID's
SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS

Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo:

1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.

2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui mabaya, au kuweza kuleta maudhi yoyote kwa wajumbe ama kwa wingi wake, ukubwa wake, au mfumo wake.

3. Kuleta makala au kuendeleza mijadala yenye kuleta ugomvi, uchochezi na yenye muelekeo wa kutengenishana badala ya kuungana miongoni mwa wajumbe wa JAMII FORUMS na Watanzania wote kwa ujumla.

4. Kuleta maongezi binafsi baina ya mwanachama na mwanachama (waliojisajili) waliyoongea kwa kuaminiana kutoka katika Private Messages (PM) au barua pepe (Emails) na kuyaanika hadharani kwa nia ya kuchafuana.

5. Kusambaza kwa makusudi au kwa uzembe barua zenye virusi vya kompyuta.

6. Kutoa maelezo au shutuma dhidi ya mwanachama mwenzako, kiongozi wa au watu wenye hadhi kijamii bila kuwa na ushahidi wa kutosha kwa lengo la kuchafua rekodi safi ya mhusika kijamii.

7. Ni sharti kwa kila mwanachama kutoa maelezo au mchango wake kwa uwazi na ukweli na kutomuogopa yeyote wala kumpendelea yeyote bali kuweka mbele maslahi ya taifa.

8. Kila mwanachama yupo huru kutoa maoni yake mradi yaliyotajwa hapo juu yanazingatiwa.
 
Ujasiri ni kitu muhimu sana. Zitto ni jasiri amesema anachoamini ni sahihi kwake. Anataka chama kimteue agombee urais kama kitaona inafaa. Mwisho wa siku wapiga kura nao wataamua nani wanataka awaongeze kwa kipindi hicho. Zitto hajataja mwaka atakao gombea urais. amesema iwe 2015,2020 au 2025. Sasa wadau kwani mchango wa zitto chadema hauonekani? Hakuna chuo cha kufundisha urais, tunataka rais mwenye utashi, na nia njema ya kuwaongoza wa tz.Hao wengine mnaowafikiria hawajaonesha nia. Timu yenye ushindi huanza maandalizi mapema.ZITTO HAJAKOSEA. DEMOKRASIA YA KWELI ITACHUKUA MKONDO WAKE.
 
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama chake katika Uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.


Zitto aliyasema hayo juzi wakati akizungumza na NIPASHE jijini Mbeya, alikokuwa amekwenda kuongeza nguvu katika kampeni za uchaguzi wa udiwani katika kata ya Kiwira wilayani Rungwe.

Alisema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu anaona timu ya sasa ya uongozi wa chama hicho inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza kwa miaka mingine mitano ijayo.

“Sina interest (nia) na sifikirii kama nitagombea uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa ndani wa Chadema mwaka huu, naona timu iliyopo inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza chama,” alisema Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini.

Alisema ingawa katika uchaguzi uliopita alijitosa kuwania nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho, lakini safari hii nafsi yake haimtumi kufanya hivyo kwa kuwa ana imani kuwa uongozi wa sasa unastahili kuendelea kuwa madarakani kwa manufaa na maslahi ya chama na Watanzania kwa ujumla.


Chanzo: Gazeti la Nipashe

Anataka aombwe na wanachama.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Huyu dogo anapapalika tu sasa, hana mashiko. Anaogopa sasa hivi chadema kuna vijana vichwa akina mnyika, mdee n.k
 
Wanaowasiliana naye wampe ushauri. Azungumze vitu vizito kama jina lake. Kwanini anajuzungumzia yeye tuuuuuuuu. Na tena wakati huuuuuuuuuuu !!! Hapo alipo tayari ni Kiongozi kwanini anacheza na manenoooooo !!! Mara nataka kuwa Rais mara nataka kuwa mwanachama wa kawaida ndani ya CDM !!! Anahangaika na nini???
 
Zitto siyo kichaa, ana akili timamu na yuko very fine kichwani. Anajua kabisa sasa hivi kuna kazi kubwa Arumeru lakini kwa mara ya pili wakati huu wa kampeni ameamua kutoa MADA zinazimhusu yeye binafsi na ajenda/mipango yake ya baadaye! Je, anafanya hivyo kwa kujisahau? sidhani!
 
ETM hebu kuwa realistic hata wewe. Ukisoma post yake ya pili imejieleza vizuri kwa kifupi. Hiyo ndiyo ilistahili kuwa post ya kwanza. Si vizuri kuchukulia mistari miwili kubeba kichwa cha habari. Tuendelee na mjadala.
Naona umeamka nazo kichwani..thread imepostiwa Today 09:58 ikarudiwa Today 10:22(full doc). Post yako imekuja 15min baada ya habari nzima kuwa hewani, wewe umepost Today 10:37, sioni unacholalamika, nafikiri ni frustrations fulani.


Thread-Today 09:58
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama chake katika Uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

Gazeti la Nipashe.

(Full doc)-Today 10:22
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama chake katika Uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

Zitto aliyasema hayo juzi wakati akizungumza na NIPASHE jijini Mbeya, alikokuwa amekwenda kuongeza nguvu katika kampeni za uchaguzi wa udiwani katika kata ya Kiwira wilayani Rungwe.

Alisema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu anaona timu ya sasa ya uongozi wa chama hicho inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza kwa miaka mingine mitano ijayo.

"Sina interest (nia) na sifikirii kama nitagombea uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa ndani wa Chadema mwaka huu, naona timu iliyopo inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza chama," alisema Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini.

Alisema ingawa katika uchaguzi uliopita alijitosa kuwania nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho, lakini safari hii nafsi yake haimtumi kufanya hivyo kwa kuwa ana imani kuwa uongozi wa sasa unastahili kuendelea kuwa madarakani kwa manufaa na maslahi ya chama na Watanzania kwa ujumla.

(Wewe)-Today 10:37-Ina maana ulikuwa hujasoma habari nzima kabla ya kupost?
Uvivu wa kusoma na kuelewa. Umesoma hadi mwisho na kuelewa? Acha kukurupuka.
 
.
Mpuuzi ni wewe uliyeleta habari nusunusu, kama unashindwa kufupisha habari ni bora usilete habari kulingana na hisia zako. Hebu karudie kusoma habari yote then ujiangalie mapungufu yako.
Acha utata basi kama una full Info si uziweke hapa? unafikiri wote tupo town?
 
SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS

Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo:

1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.

2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui mabaya, au kuweza kuleta maudhi yoyote kwa wajumbe ama kwa wingi wake, ukubwa wake, au mfumo wake.

3. Kuleta makala au kuendeleza mijadala yenye kuleta ugomvi, uchochezi na yenye muelekeo wa kutengenishana badala ya kuungana miongoni mwa wajumbe wa JAMII FORUMS na Watanzania wote kwa ujumla.

4. Kuleta maongezi binafsi baina ya mwanachama na mwanachama (waliojisajili) waliyoongea kwa kuaminiana kutoka katika Private Messages (PM) au barua pepe (Emails) na kuyaanika hadharani kwa nia ya kuchafuana.

5. Kusambaza kwa makusudi au kwa uzembe barua zenye virusi vya kompyuta.

6. Kutoa maelezo au shutuma dhidi ya mwanachama mwenzako, kiongozi wa au watu wenye hadhi kijamii bila kuwa na ushahidi wa kutosha kwa lengo la kuchafua rekodi safi ya mhusika kijamii.

7. Ni sharti kwa kila mwanachama kutoa maelezo au mchango wake kwa uwazi na ukweli na kutomuogopa yeyote wala kumpendelea yeyote bali kuweka mbele maslahi ya taifa.

8. Kila mwanachama yupo huru kutoa maoni yake mradi yaliyotajwa hapo juu yanazingatiwa.
Aisee una akili sana, ila sijui sheria za usajili wa mitandao zinasemaje, Mtandao unaweza kufungiwa au ni bann tu hasa kwa wale wanaoshambulia CHADEMA?
Nasema hivyo kwa sababu threads nyingi na michango mingi ni matusi, ujushi, kejeli hasa kwa viongozi wa Serikali na pale ambapo michango ililenga kukosoa hali hiyo wahusika walipata bann za nguvu toka kwa Ma-Mods.
 
.Acha utata basi kama una full Info si uziweke hapa? unafikiri wote tupo town?
Ebwanae , kumbe uko mbwinde wakati siku zote unajidai hapa JF kuwa kuko Dar, kaz kweli kweli. Usije ukajisahau tena siku nyingine ukatwambia uko kwenye tukio fulani linaloendelea mjini manake ndo zako hizo.
 
akili za huyu jamaa nashindwa kuzielewa naona zimejaa umimi zaidi ya kukitumikia chama! Hivi ni kwanini anapokuwa kwenye jukwaa kunadi madiwani anaanza kufikiria uongozi wake yeye? Mbona hatuwaskii wakina Slaa, Arfi, Mnyika na Mbowe wakifanya hivyo? Hivi busara zake zipo wapi? Au ndio vile ku-divert attention ya watu toka jambo muhimu kwa sasa? This statement is so low!
 
nilisikia la kinondoni kumbe kuna mengine?anatakiwa aangaliwe kwa ukaribu sana
Mimi Nilisikia anagombea Geita!....huyu jamaa sasa ndio naanza kumuelewa kumbe anatamani sana ile mirahaba ya madini!..Halafu si alikuwa anaumwa kipanda uso hivi hiki akina madhara yoyote kwa akili za binadamu?
 
Back
Top Bottom