Zitto sasa apachikwa jina la 'DOWANS'

Status
Not open for further replies.
Jamani hapa jukwaani kunatakiwa kuwa mahali pa wachambuzi makani.
sasa kama watu humu baso hawajaona jinsi mafisadi wa CCM walivyomwekea Zitto maneno mdomoni na kuyanyumbua basi watu hawa ni below standard kwa jukwaa.

Kwa kweli baada ya siku si nyingi itakuwa wazi kabisa kwamba Zitto alisema nini na maneno mengine yalitoka wapi?


Wewe vipi?, Sisi Mr DOWNS tumesikia live na kumuona live ITV.Tumesoma maandishi yake humu jamvini, usitake kupindisha mambo. Mafisadi hawakumwekea maneno mdomoni ila wamemrambisha FEDHA, akaziramba hizo Fedha, akaanza kubwabwaja kama mlevi wa mnazi. Period.
 
Kuna Upungufu katika mitaala yatu ya shule pia, kazi za makundi hazipewi kipaumbele wala hatufundishwi namna ya kukubaliana au kutokubalina na wenzako.

Ndio maana nchi inakuwa inaendeshwa wakati wote na kichwa kimoja "President" hakuna collective responsibilities hapa. Kama tungekuwa tunaweza kukaa chini kujadili na kueleweshana hii hoja ilishaonekana kuwa imelalia upande gani siku nyingi. Kwa namna hiyo hata kama unatheory nzuri vipi ukishaoona wenzio wanasema tunelekea kushoto geuka wafuate.

Lakini Bado Mh. Zitto ana nafasi kubwa ya Kurekebisha haya mambo, 2010 Oct. Bado ni Mabali kama kweli kuwa Kaka Mh. Mbowe anarudi Kwenye Ubunge, basi labda Mh. Zitto atapewa nafasi ya kujaribu kuwa the first Tanzanian one Term MP to become President.
 
Utetezi wa Mr Downs uko clear kwa kweli, hana haja ya kuja kujieleza tena na tena, Watanzania wataamua, kishajieleza vyakutosha. uKimsilikiliza vizuri Mr Mwakyembe utaona dhamira ya Mr Downs ilikuwa wazi kabisa, ununuzi wa Mitambo chakavu tena ya Wajina wake Downs. Alifikia hatua ya kutunga UONGO eti TANESCO hawajasikilizwa na Kamati ya Madini kitu alichokikanusha kwa nguvu zote mr Mwakyembe kwa kutaja hata tarehe waliyokutana akiwepo WAziri mhusika na MR Rashid na Timu yake ya TANESCO.

Eti anahoji sheria gani ya manunuzi inayokataza kununua vitu chakavu, anasahau kuwa hakuna sheria inayomkataza waziri kusaini mktaba akiwa nje ya nchi kama alivyomshupalia KARAMAGI na Buzwagi yake.Huyu twawezaje kumuamini tena huyu. Anaonekana ni mtu, Mwongo, Mzushi, Kigeugeu,Mwenye Kiburi,Kejeli,Dharau asiye msikivu na kibaya zaidi mtu mwenye tamaa ya UTAJILI wa haraka, mla rushwa na FISADI anayechipukia.
Anjifanya ni rafiki na mtetezezi wa mastahi ya wanyonge kumbe amebeba Bendera ya MAFISADI kuteka mali ya wanyonge.(Ushauri wangu ni kuwa huyu bwana hatufai na ameonyesha mfano mbaya sana kwa UPINZANI)

Imagine Mr Downs mpaka anatunga UONGO unafikiri hapo kuna nini. Kwa kifupi huyu bwana ZITO->Mr Downs kala hela. No way anaweza kulikataa hilo. Mazingira yote yanaonyesha kala Fwedha!!!!!!!! au kaongezewa hummer ya Pili. Sitaki hata kumsikia, kwanza kisha haribu chama na upinzani kwa ujumla, kauweka upinzani rehani.
=====

E bwanawe, mbona unaongea kama Karamagi au secretari wake?
Wewe kama si fisadi ulionaje Zitto akipokea mafwedha unayosema? Tumekushtukia.
 
.

Ndio maana nchi inakuwa inaendeshwa wakati wote na kichwa kimoja "President" hakuna collective responsibilities hapa. Kama tungekuwa tunaweza kukaa chini kujadili na kueleweshana hii hoja ilishaonekana kuwa imelalia upande gani siku nyingi. Kwa namna hiyo hata kama unatheory nzuri vipi ukishaoona wenzio wanasema tunelekea kushoto geuka wafuate.

Lakini Bado Mh. Zitto ana nafasi kubwa ya Kurekebisha haya mambo, 2010 Oct. Bado ni Mabali kama kweli kuwa Kaka Mh. Mbowe anarudi Kwenye Ubunge, basi labda Mh. Zitto atapewa nafasi ya kujaribu kuwa the first Tanzanian one Term MP to become President.
=====

Nakuunga mkono sana dada Mbogela. Hata Obama jana kasema, tayari ameisha-screw up mambo fulani. Tumpe nafasi Zitto, ameonyesha anaweza kuongea na rika zote.
 
What a sudden change in attitude... Kuna kitu nyuma ya hili lakini kwa nini Zitto na Slaa? Kwanza wana(li)kuwa na support kubwa ya Watanzania hivyo walifikiri kupata support ya wawili hawa moja kwa moja ingekuwa ni tiketi kutoka kwa WaTZ pia. Pili hawa ni wajenga hoja wazuri na murua wa karne hii hivyo walikuwa katika nafasi nzuri ya kuijengea hoja nzuri ishu ile ili ipate support kutoka ngazi zote which is tru ukiangalia hoja ya mapato na mgawanyo wa matumizi ya Tanesco iliyojengwa na Mh. Zitto. The problem is they were too blind and too ambitious to see this coming, Ukweli ni kwamba wengi tumeondoa uaminifu wetu kwao kama kweli bado wapo nasi au wenzetu wameshaning'iniziwa price tags vifuani!
 
Anastahili jina hilo. Naona pia tangu aingie kwenye makamati ya bunge, chadema wanamshuku sana, anakutana na watu wengi wachafu ambao bila ya kujijua anatumika.
 
What transpired

2009-03-15 12:30:19
By Staff Writer


After three weeks of prominent leaders accusing each other of having a hidden agenda on the proposed 60bn/- Dowans takeover, the truth on what transpired is finally coming out.

While some champions of the deal were being accused of receiving close to $300,000 in bribes to support the controversial deal, one of the accused yesterday denied taking a bribe but instead said he was acting with the best interests of the country at heart.

Kigoma North MP Zitto Zuberi Kabwe told The Guardian on Sunday in an exclusive interview, ``We were pushed by the current situation facing the nation…Tanzanians need electricity not cheap politics.``

``But if our colleagues have decided to tread on rumours claiming that I was bribed $70,000 to support the deal, then one day history will judge me and my family…I stand for the national interests,`` Kabwe said.

The Guardian on Sunday wanted to get his side of the story plus what really transpired during the February 21 meeting that opened the floodgates on mudslinging politics among prominent leaders.

``I am puzzled by these allegations. The media has reported that I was bribed quoting some legislators but the truth remains very clear - I have never received even a single shilling, let alone thousands of dollars,`` Kabwe said.

Kabwe, who is chairman of the parliamentary committee responsible for overseeing all publicly owned corporations, said the members of his committee were deeply concerned by the looming power crisis that the nation could face in the next six months.

Kabwe said it all started when Tanesco Managing Director Dr Idrisaa Rashidi presented on the state of his company, revealing that the nation was facing a serious threat if emergency measures were not taken.

According to the available records of the meeting, Kabwe asked the Tanesco MD whether he was aware that Dowans owed the state-owned company $23m following the termination of their contract mid last year.

The MD responded, ``I am aware about that - that`s why we said if we are going to buy their equipment, we shall offset the debt during the payment procedures.``

The Kigoma North MP further asked the MD whether he was aware that his proposal to buy the Dowans plant had already been rejected by the Parliamentary Committee on Energy and Minerals last December.

Dr Rashidi responded, ``We proposed to the government to buy the Dowans` plant…and we still stick with our proposal. But if it is impossible, then let's be ready to face the serious power rationing.``

Members of the committee were irked by their counterparts, who rejected the Tanesco proposal on the grounds that the Public Procurement Act doesn't allow the purchase of used equipment.

``The same parliament has approved the purchase of IPTL plants which are 14 years old, but they are rejecting the proposal to buy Dowans, which is only two years old,`` Kabwe told The Guardian on Sunday.

The two parliamentary committees - the one led by Kabwe and the other chaired by legislator William Shelukindo - have strongly differed on the Downs deal, raising a heated debate during the past few weeks.

Defending his committee`s decisions, Kabwe added that during the meeting Tanesco made it very clear that an international inspecting team had thoroughly inspected the Dowans equipment and found it to be fit for producing electricity for the next two decades.

Before proposing the takeover deal, Tanesco appointed a UK based firm, Trans Canada Turbines Ltd, to inspect the Dowans plants currently under Tanesco`s supervision following the termination of the contract in August 2008.

``This is a specialised company in inspecting power generating turbines…it is a globally respected company in this particular business,`` Dr Rashidi assured Kabwe`s committee.

The MD added that Tanesco invited another international firm, called Lame International, to verify prices and value for money for the proposed Dowans equipment.

``After the presentation, all my committee members were shocked by the current situation,`` Kabwe said. ``We acted based on the presentation from Tanesco, not from thousands of dollars from Dowans or whoever as it is claimed by our colleagues.``

The state of Tanesco
Political backbiting aside, supporters of the Dowans deal say Tanzania has two choices - acquire an emergency power generating plant or face a total blackout in next 180 days.

As the debate festers on whether the Tanesco Board of Directors should buy the emergency power generating plant, inside details show that the power utility is at the brink of collapse due to the heavy costs of operation, largely attributed to capacity charges.

In 2004, the company paid 43/- to private power producers for every 100/- it collected in revenue. By 2006, when dubious government deals were made with private companies, that figure had more than doubled, to 104/- for every 100/- collected, according to the parliamentary committee presentation.

In 2007/08, the company spent 83/- for every 100/- it collected to foot the bill of power generated by private producers, but this year, the figures will soar even higher - to 106/- for every 100/- collected, according to the financial recovery plan seen by The Guardian on Sunday.

In other words, 83 percent of the total revenue collected by the state-owned utility company will go to private power producers, leaving the company in dire financial straits.

Over the past two years, the company`s revenue collection has spiked by 122 percent, reaching 437bn/- a year up from 196bn/- in 2006.

The company currently purchases about 59 percent of its power from private producers, which according to financial details eats up to 83 percent of the total revenue collected annually.

With dilapidated infrastructure built mainly during the 1970s, the company`s power supply capacity is estimated at 595megawatts.

This year, the actual demand is 787megawatts - creating a deficit of 192megawatts.

According to available details, the company has only 670,000 customers.

Last year, the company planned to increase its customer base by about 100,000, but the target couldn't be reached due to financial strains.

Still, based on current economic growth, demand for electricity is estimated to increase by 15 percent annually, while the production capacity continues to dwindle due to various technical and non-technical factors.

Since there are no comprehensive power generating plans, in 2010, the power deficit will surge to 300megawatts, putting the country at risk of facing an even worse phase of power rationing.

Today, the company's electricity loss - meaning the amount of energy lost when transmitted from point a to point b - is 24 percent, a staggering amount when compared to countries like South Africa where that loss is below 4.5 percent.

The company has a total 600 vehicles but only 10 percent are in good condition. The rest are defective, adding more operational obstacles to the already struggling power utility.

The state-owned company needs about $200m for major repairs on its dilapidated infrastructure, but so far there`s nowhere to get the money from.

Just two years ago, the company borrowed $300m from a consortium of local banks at 10 percent interest per annum, but almost 80 percent of that money went straight to settling outstanding debts.

Tanesco's report to the parliamentary committee convinced Kabwe and the other members to give a nod to the proposed Dowans deal, even though Tanesco eventually pulled out of the deal this week after some MPs led by the Speaker of the National Assembly Samuel Sitta strongly opposed the proposal.

Both Dr Rashidi, Kabwe`s committee members and Minister for Energy and Minerals William Ngeleja still believe there wasn`t anything wrong with the proposed takeover.

But critics have nonetheless questioned their support for the deal, and Parliament may be ready to crucify the minister for energy and minerals should the deal go through as proposed.

However, finally the government pulled out officially when energy minister declared that the debate on Dowans takeover deal has been closed, ending weeks of accusations and mudslinging politics.

SOURCE: Sunday Observer

Tatizi letu Wabongo ni kuwa si wakweli wa nafsi zetu na yule anaekuwa mkweli basi huonekana allien.
Nampongeza Zitto kwa kuwa mkweli na muwazi na kupima mambo kwa uhalisia wake. Kwa kawaida mtu anaetaka kujenga anakubali kukabili matatizo kwani kujenga ni kazi, na mtu kama Kabwe ni mjengaji. Kwani Zitto na hao wajumbe wake walikuwa hawajui kuwa ili uonekane shujaa kwa Bongo basi lazima ufuate ngoma ya siuk na kwa sasa ni kupinga ufisadi? Wanalijua hilo na hata hivyo kwa uzalendo wao waliamua kujitowa muhanga kupingana na wale wanaotafuta NJIA RAHISI YA KUPATA SIFA nayo ni kupinga tu kinachoitwa ufisadi. Ni njia rahisi kwani hakuna atakaekwambia sawa unapinga sasa tupe njia mbadala. Hao wote wanaopinga wamekuja na njia mbadala wa kutatuwa tatizo la umeme hapa Tanzania? Labda Mwakyembe ambaye hata hivyo anakiri kuwa huo ufumbuzi ni ndoto au ni mimba ambayo haijulikani itazaliwa lini.
Nasisitiza tena kuwa hao wanaopinga wanafanya hivyo kwa kutafuta ushujaa kwani kama ni kweli wanatilia maanani maslahi ya Taifa wao ni Viongozi wetu na wana madaraka na uwezo mkubwa wa kielimu na tumewachagua ili watutafutie njia za maendeleo ambayo mbali ya kuzuia ufisadi lakini wakishaona kuwa kuna tatizo basi wawe mstari wa mbele kubuni utatuzi wa tatizo hilo. Ni nani alietowa angalau ushauri kwa TANESCO au serikali vilivyo chini ya hali ngumu ya fedha, na baadae ushauri huo ukajadiliwa na kupuuzwa?
NACHUKIA UFISADI LAKINI NACHUKIA PIA WALE WANAOJINUFAISHA NA KILIO CHETU CHA MAPAMBANO YA UFISADI na nawapongeza wote waliowawazi na kutojali lawama katika kutetea maslahi ya Taifa.
 
Kwa mwanasiasa kupachikwa jina la kifisadi kama hilo la DOWANS wakati kama huu is a very big liability believe me!! Wala Zitto asijidanganye, jina hilo likimganda na umaarufu chap chap alioupata utayeyuka!!
 
Rostam Aziz ndiye Dowans bwana na jina lake lingine Kagoda. Rafiki yake mkubwa ni Lowassa aka Richmond. Na Karamagi alias Buzwagi.

Asha
 
Jamani, amini msiamini: sasa hivi Mheshimiwa Zitto kapachikwa jina la 'DOWANS'. Hivyo ndivyo nimegundua katika pitapita zangu hapa jijini Dar, katika magenge ya kahawa na sehemu nyingine.

"Kashangaza Wananchi kwa kutetea ununuzi wa mitumba ya Dowans, kwa nini basi asiitwe "DOWANS?" nilimsikia jamaa mmoja akiwaambia wenzake katika kijiwe kimoja cha kahawa Kariakoo.

"Barabara, jina hilo ni fiti kabisa kwake," mwenzake akajibu. "Kwani si mshirika wa Rostam?"

Hali kadhalika sokoni Magomeni niwasikia jamaa wakimtaja Zitto kama "Mheshimiwa wa Dowans"

MAMBO HAYO JAMANI!!!

Pamoja na kuvurunda kwa Zitto katika kashfa ya Dowans kwa nini Zitto ndiyo apachikwe jina la Dowans badala ya mhusika mkuu Rostam Aziz!? Just thinking aloud maana linayemfaa sana jina hilo ni Rostam Richmond Dowans Aziz (RRDA)
 
Pamoja na kuvurunda kwa Zitto katika kashfa ya Dowans kwa nini Zitto ndiyo apachikwe jina la Dowans badala ya mhusika mkuu Rostam Aziz!? Just thinking aloud maana linayemfaa sana jina hilo ni Rostam Richmond Dowans Aziz (RRDA)

rostam ni KAGODA. UKIMWITA DOWANS hakuna effet
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom