Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Jamani, amini msiamini: sasa hivi Mheshimiwa Zitto kapachikwa jina la 'DOWANS'. Hivyo ndivyo nimegundua katika pitapita zangu hapa jijini Dar, katika magenge ya kahawa na sehemu nyingine.
"Kashangaza Wananchi kwa kutetea ununuzi wa mitumba ya Dowans, kwa nini basi asiitwe "DOWANS?" nilimsikia jamaa mmoja akiwaambia wenzake katika kijiwe kimoja cha kahawa Kariakoo.
"Barabara, jina hilo ni fiti kabisa kwake," mwenzake akajibu. "Kwani si mshirika wa Rostam?"
Hali kadhalika sokoni Magomeni niwasikia jamaa wakimtaja Zitto kama "Mheshimiwa wa Dowans"
MAMBO HAYO JAMANI!!!
"Kashangaza Wananchi kwa kutetea ununuzi wa mitumba ya Dowans, kwa nini basi asiitwe "DOWANS?" nilimsikia jamaa mmoja akiwaambia wenzake katika kijiwe kimoja cha kahawa Kariakoo.
"Barabara, jina hilo ni fiti kabisa kwake," mwenzake akajibu. "Kwani si mshirika wa Rostam?"
Hali kadhalika sokoni Magomeni niwasikia jamaa wakimtaja Zitto kama "Mheshimiwa wa Dowans"
MAMBO HAYO JAMANI!!!