Zitto: Nitagombea Ubunge 2010

Ni uamuzi wa busara,Zitto ana uezo na bado mchango wake unahitajika sana ndani na nje ya bunge hasa unapoangalia nchi kama taifa na siyo nchi kwa mitazamo ya vyama vya siasa.
 
Ni uamuzi wa busara,Zitto ana uezo na bado mchango wake unahitajika sana ndani na nje ya bunge hasa unapoangalia nchi kama taifa na siyo nchi kwa mitazamo ya vyama vya siasa.

Mimi naona binafsi sio busara,haya mambo ndiyo yanatutofautisha na wenzetu.

Nafikiri unapoamuwa kufanya kitu lazima uwe umekifanyia tafiti na kuyapa majibu sahihi na kutowa taswira njisi ya kuyakabili na hatimaye una declare itakuwa hivi.

Haya mambo ya kukurupuka tu from no where ukiwa na lengo lisilo thabiti na wala hujui nini hasa unataka na hasa jamii inayokuzunguka si busara bali ni ujuha hasa ukizingatia anayeyafanya ni mtu anayejiit msomi.

Haya mambo ndiyo yamewa cost ccm na wengi wao kama sio wote kuonekana wababaishaji na hatimaye kupelekea kuanza kuhoji usomi wao ,yani ya kwamba wanatowa tu ahadi hata bila kufahamu njisi gani na namna gani ataweza angalau kuzipatia ufumbuzi ahadi zake.

Huu ni moja wa mfumo wa kifisadi ulio hatari kuliko ufisadi wa pesa.Na kama jamaa ataamuwa kugombea mimi binafsi sitomtofautisha na MAFISADI hatari kabisa.
 
Huu ni moja wa mfumo wa kifisadi ulio hatari kuliko ufisadi wa pesa.Na kama jamaa ataamuwa kugombea mimi binafsi sitomtofautisha na MAFISADI hatari kabisa.

Siku nyingine huwa nikisoma michango ya namna hii ya MkamaP nabaki kumcheka kwa jinsi anavyotoa pumba! Yaani kweli mtu kuamua kugombea wakati alifikiri asigombee ni ufisadi kuliko ule wa EPA?
 
Ni umamuzi wa kipuuzi,kwani alikwisha sema anang'atuka sasa anafutaka kalui.

Kwa maoni yangu hata matamuashi yake ya leo anaweza kuyakana tena,kisha kuyafuta nk

haifai.

Ni kweli haya ni maoni yako mkuu. Uamuzi wa kugombea au kutogombea ni wa kwake mwenyewe. Kama ntu akiamua kuwa hatooa kamwe kwa kuwa kakosa mchumba na baadaye akaamua kuoa baada ya kupata mchumba anayemfaa utamlalamikia kuwa hafai?
Hivyo tumuache yeye mwenyewe atimize utashi wake. Kuna watu wana kisu kuliko Zitto duniani kama vile Jay-z, alitangazia dunia anastaafu kupanda jukwaani, lakini alitengua uamuzi wake kutokana na wapenzi wake wengi kumshauri kubaki katika anga za muziki. Na akiamua kufanya hivyo mbona watu hawakusema hafai?
Kwa mfano huo, nina assume kuwa wananchi wengi including Indume Yene bado wanahitaji mchango wa Zitto particularly Bungeni kwa sababu ANAFAA.
 
Mimi sina tatizo sana na bwana Zito maana ni mtanzania ambaye ameonyesha nia nzuri ya kuwakilisha lile kundi ambalo "wanatenda wasiyoamini na wanaamini wasiyoweza kuyatenda" kama alisema hatagombea bunge tena kasema atagombea, logically atagombea kwa maslahi yake na siyo ya wananchi anaowawakilisha.Tusiwe watu wa YES NO, let us try our level best to be straight forward, once you say NO, you have to mean it and not otherwise my beloved brother zito.
 
Ni umamuzi wa kipuuzi,kwani alikwisha sema anang'atuka sasa anafutaka kalui.
Kwa maoni yangu hata matamuashi yake ya leo anaweza kuyakana tena,kisha kuyafuta nk
haifai.

Ni lipi la kifisadi aliloliibua Zitto ambalo wengi mnadhani ni wa muhimu kiasi hicho yeye kuwepo BUNGENI? Au ni ule ubishiubishi wake wa watu wa KIGOMA kama akina KADUGUDA wa Simba?

Zitto hana lolote la ziada katika siasa! ameshajizika kisiasa. Mimi naungana na WilCard! wana jf wengi wameamua kufa nae,na hakika MTAKUFA NAE.mzimu wa dowans 'unamtafuna'.blood cash za RA zitamuondoa kabisa kabisa kwenye ramani ya siasa

zitto HANA LOLOTE LA MAANA! he is full of politics! hamna kitu kabisa,ngoja amalizie zile mil 100 za RA halafu tuone.........

Pamoja na kwamba nilikuwa mojawapo katika waliopinga uamuzi wake wa kutetea ununuzi wa mitambo ya Dowans, haya maoni hapa juu hayamtendei haki Zitto hata kidogo. Zitto hakuwa mnafiki na alitetea kile alichoamini kina maslahi kwa taifa na kwa kuzingatia maelezo aliyoyatoa hizi tuhuma hazina mantiki.

Kama kuna asiyetambua mchango wa Zitto bungeni, basi huyo hamjui Zitto na kwa maana hiyo atasamehewa kwa hizi tuhuma hewa. Binafsi naamini kijana Zitto anahitajika ndani ya bunge kuliko nje na uamuzi wake wa kugombea tena nauunga mkono.
 
Mimi naona binafsi sio busara,haya mambo ndiyo yanatutofautisha na wenzetu.
wenzetu ni kina nani? inferiority complex...

Nafikiri unapoamuwa kufanya kitu lazima uwe umekifanyia tafiti na kuyapa majibu sahihi na kutowa taswira njisi ya kuyakabili na hatimaye una declare itakuwa hivi.
poor arguement, uamuzi wa mtu binafsi upo ktk uwezo wake. Hali na mazingira hubadilika hivyo mtu anaweza kubadilika kadri anavyoona inafaa. Kama wewe huwezi kubadilika hata pale inapobidi basi unamatatizo makubwa na ninakupa pole.

Haya mambo ndiyo yamewa cost ccm na wengi wao kama sio wote kuonekana wababaishaji na hatimaye kupelekea kuanza kuhoji usomi wao ,yani ya kwamba wanatowa tu ahadi hata bila kufahamu njisi gani na namna gani ataweza angalau kuzipatia ufumbuzi ahadi zake.
sweeping statement(s), kama unataka kuhoji usomi wa Zitto hoji tu na utapewa majibu.

Huu ni moja wa mfumo wa kifisadi ulio hatari kuliko ufisadi wa pesa.Na kama jamaa ataamuwa kugombea mimi binafsi sitomtofautisha na MAFISADI hatari kabisa.
Haswaaa umedhihirisha kilele cha chuki zako binafsi, udhaifu ktk kufikiri na ku-argue. Hiki ni kichekesho Mkuu, yaani Zitto kuamua kugombea ubunge ni ufisadi mbaya kuliko wa akina Kagoda, Meremeta, Tangold, EPA nk. Kweli wewe CCM damu, pole sana MkamaP.
 
Last edited:
Wabongo hatuna zuri hata kidogo.........Zitto mbovu nani mzuri sasa?Karamagi,Rostam,Lowasa?

Ndiyo maan akupata maendeleo inakuwa ngumu kwasababu hatujui kuchambua pumba na mchele. Ni kama ule msemo wa panya wengi hawachimbi shimo.
 
Wakuu zangu,
Jamani tuwe wakweli ktk yale tunayogombea.. Zitto kama bvinadamu mwingine yeyote anaweza kufanya makosa ktk maamuzi yake. Na kikubwa zaidi alikuja hapa na kutuambia kile alichokiona yeye ktk ununuzi wa mitambo ya Dowans..
Sote tulijadili hapa na huyo Zitto hakukimbia mtu wala hoja hadi pale tulipofikia..

Hakuna mbunge yeyote duiniani ambaye kawahi kupiga kura upande mmoja tu..kumbukeni kwanza wadhifa mlomkabidhi yeye kama mbunge kisha mtofautishe na kazi alopewa na Bunge kuhusiana na maswala ya nishati..

Leo hii hata wewe ukichukuliwa na kuwekwa ktk ofisi za UWT, kisheria unaweza kabisa kuona hakuna faida kuendelea na na kesi za kina Jeetu Patel ikiwa inatugharimu kiasi kadhaa..Lakini kwa mtazamo wa wananchi ambao wanataka Mafisadi wasimame mahakamani hata kama kesi hizo zinatugharimu na hazitakuwa na mwisho mzuri, meaning fedha haitarudishwa na mwisho wa yote ni serikali kupoteza fedha zaidi..

Hivyo katika kila hoja jamani kumbukeni kuna pande mbili hata kama moja ina walakini still ina present something to be aware of..Zitto hakupewa wala kuchukua rushwa ktk sakata la Dowans isipokuwa mtazamo wake ktk issue nzima ililenga zaidi kuiwezesha Tanesco kujiendesha badala ya kutegemea mashirika ya nje ambayo kila siku tunafungishiwa kanyaboya. Pili aliangalia umuhimu wa mahitaji ya umeme kwa wakati husika na kikubwa zaidi maamuzi yote haya aliyafikia kabla hajapita hapa JF kupata mawazo pinzani na sababu zake..

Hivyo, mawazo yetu kayasikia na nina hakika aliyaelewa vizuri na hata matolkeo hayakuwa kama alivyopendekeza.. Kifupi hata yeye hakuwa na uamuzi wa mwisho wala nguvu ya kutengua msimamo wenu. Malalamiko yenu yalisikiwa na yakafuatwa hivyo wakuu zangu tugange yajayo..hata kama kuunga mkono kwake Dowans kutabakia ktk record. Kumbukeni ktk bunge la US ni wabunge wachache sana waliopinga vita ya Iraq, wengi wao waliunga mkono bila kufahamu kwamba the all mission was to get rid of Saadam - OIL (for the best interest of the few)..Hata wao (maseneta) walichokiona ni kwa maslahi ya nchi yao, na pengine hata Zitto alikuwa misinformed kuhusu mkono wa Rostam kushinikiza mauzo ndani ya Tanesco yenyewe..Kwa hiyo wakuu zangu siodhani kama madhambi yale yalihusika na wao kuchukua kitu toka Haliburton na mashirika mengine yaliyojikita kuchuma mabillioni ya fedha huko Iraq.

Nina hakika hadi leo hii kuna wabunge wengi hasa toka vyama vya Upinzani hawajui nguvu ya Rostam, wanafikiria bila uhakika kama tunavyofikiri sisi..Hawa wabunge hawana tofauti kabisa na Mkandara au Nziku inapofikia maswala mazito ya kitaifa.Hivyo hufikiria kile wanachoikiona wao kama ndio kujenga bila kufahamu kuwa kombe limefunikwa..

La muhimu kwetu jamani ni kutazama umuhimu wamtu huyu ktk Bunge..mengine yote tisa. Akitoka Zitto mnafikiri tutabakia na kina nani? jamani msifanye mchezo Zitto kaifanya kazi jamani..miaka hii minne Zitto kaiwezesha JF kuwa kijiwe cha uhakika na kusema kweli ni mmoja kati wa viongozi ambaye amekuwa karibu na wananchi kuliko wengine wengi tuwajuao..Ukaribu wake mwetu uwe tuzo na tushukuru kupata kiongozi ambaye yuko tayari kutusikiliza, kumkosoa na pengine hata kututaarifu kuwakilisha mawazo yenu Bungeni..Nani kafanya hivyo, mbunge gani kaja hapa JF akasema atalifikisha swala la JF bungeni kama sii Zitto.. Huyu siii mbunge wa Kigoma au Chadema, bali Zitto ni mbunge wetu sisi sote.
Kutangaza kwake kugombea iwe furaha kubwa kwetu kuwa JF bado inaye mwakilishi wake Bungeni....
Ahsanteni
 
Last edited:
lesson learned: kama public figure, usiseme kitu hadi uwe na uhakika wa kukitekeleza na kukisimamia....kwa sababu wananachi wa kawaida watashindwa kukuelewa.

nampongeza zitto kwa kusimamia maoni yake kuwa mashine za dowans zilipaswa kununuliwa. japo kuwa hayakuwa maneno ambayo wananchi walitaka kuyasikia lakini alisimama na msimamo wake bila ya kuterereka.
hili la ubunge zitto alikosea kutoa maoni yake bila ya kuwa na uthabiti wa kuyatekeleza. ila sasa nafikiri ameshajifunza yeye na sie wengine
 
Uchache wa Wabunge wa Upinzani unawafanya watu kama Zitto waonekane wa maana na muhimu kwelikweli kama mtoto anapokuwa mmoja kwenye familia. Hebu fikirieni watu kama Mzee Mwanakijiji, FMES, Mkandara, Jasusi, Mag3, Pundit, Rwabugiri, Invisible,......orodha ni ndefu, waingie BUNGENI mwakani kwa tiketi ya upinzani, hivi kweli utamweka wapi Zito?
 
Uchache wa Wabunge wa Upinzani unawafanya watu kama Zitto waonekane wa maana na muhimu kwelikweli kama mtoto anapokuwa mmoja kwenye familia. Hebu fikirieni watu kama Mzee Mwanakijiji, FMES, Mkandara, Jasusi, Mag3, Pundit, Rwabugiri, Invisible,......orodha ni ndefu, waingie BUNGENI mwakani kwa tiketi ya upinzani, hivi kweli utamweka wapi Zito?
Mkuu wangu Zitto yupo kati ya list nzima ya wachangiaji wa JF na yupo mstari wa mbele hapa kijiweni na Bungeni.. Hivi bungeni kuna wasomi wangap na iweje Zitto akaonekana kule ashindwe leo kwa sababu wana JF wameingia...
Inabidi uelewe kwamba watu wengine hapa JF kama mimi, siwezi kusimama kugombea kitu (Ubunge), wakati naelewa wazi kwamba hakuna ushindi bila kumwaga takrima - FEZA, ili kupata utume huo..
Na kila penye fedha ni lazima utatakiwa kulipa fadhila as if ulichopewa ni zawadi kwako..Sasa hapa hata hizi hoja za JF haziwezi kufanya kazi kwani hao hao waliokufadhili ndio wao mafisadi..leo uwageuke si kutafuta kufa huko mkuu wangu!..Bora hapa hapa JF, mchango wangu kwa taifa utapatikana kupitia njia nyinginezo..
Binafsi naamini leadership ni kipaji. unakuwa na nyota, ukisimama watu wananyamaza kusikiliza.. wanapiga makofi hata kabla hujaanza kuzungumza..wanatengeneza bendera za picha yako hata kabla hawajakuona kwa macho..Zitto anacho kipaji hicho..Sasa ukaniweke mimi Bungeni si ndio yaliyonikuta Ohio mkuu, mtu kaja kaniuliza kama namjua Mkandara huku akilitazama kundi la watu niliokuwa nao..ina maana sikuwa ktk picha akilini mwake..
 
Zitto is valuable but not irreplaceable. Kama asipo gombea sawa kama akigombea tuna mtakia heri. There are a lot of capable Tanzanians and all they need is a platform to shine & that's what happened to Zitto.....he got a platform to shine. Na pia tusi judge uwezo wake kwa jinsi anavyo ibuwa madhambi ya baadhi ya viongozi tu bali yeye kama mbunge tumjudge pia na uwezo wake wa kuongoza. Beig outspoken does not make one a great leader. With that said nitakua sina shukurani nisipo sema kuwa Zitto kafanya something. Something that wengi wetu tuna baki tu kuongea. All the best Zitto.
 
Mwanafalsafa1,
Mbunge ni mwanasiasa mkuu wangu kama huwezi, huwezi hata kama ukipewa platform..maswala mengine ya Uongozi hufuata na sii sifa ya mbunge..kwani bungeni wako wangapi mkuu wangu..wanashindwa kipi?..Usisikie mkuu...
 
Mwanafalsafa1,
Mbunge ni mwanasiasa mkuu wangu kama huwezi, kuwezi hata kama ukipewa platform..kwani bungeni wako wangapi mkuu wangu..wanashindwa kipi?..Usisikie mkuu...

Najua mkuu wangu. Ninacho sema mimi ni kuwa kuna wengi tu wenye uwezo huo kama wakipewa platform. Sijasema yoyote anaweza kuwa mbunge ila nasema kuna wengi wanaweza kuwa wabunge wazuri if given the chance. My point being Zitto is not the first & he will surely not be the last. Lakini pia Zitto nimeona mchango wake kwa nchi na nampongeza kwa hilo.
 
Nakusikia sana lakini unaweza kunipa majina ya Wabunge wazuri toka ulifahamu bunge letu..anza hata 1960s - sidhani kama utawajaza mkononi..Kwa hiyo nachosema mimi watu kama Zitto sii wengi hata kidogo ni kipaji cha mtu ktk maswala hayo.
 
true mkuu but 1960 ni mbali sana. Hata Zitto unafikiri aki baki mbunge tu ata tajwa baada ya miaka 20, 30? Wabunge wazuri nina uhakika wame kuwepo hata kama ni wachache. Na kuna wabunge wazuri wata kuja hata kama ni wachache. Na ninacho kisema mimi ni kuna watu wana uwezo wakua wabunge wazuri lakini bahati mbaya hawakupata au hawaja pata hiyo nafasi.
 
Zitto Mungu mwingi wa rehema akuongezee siku za kuishi ili mchango wako wa kimapinduzi uje uzae matunda
 
Back
Top Bottom