Watu mnachuki binafsi na Zitto mmmh!
zitto HANA LOLOTE LA MAANA!he is full of politics!hamna kitu kabisa,ngoja amalizie zile mil 100 za RA halafu tuone.........
Wapo. Mmojawapo ni Dr Slaa....ntarudia tena na tena: "sijapata kuona binadamu wanaogombea nafasi za uongozi ili wawatumikiye wananchi,bado kuona."
Kama kweli Kulikoni waliandika kuwa Zitto atagombea "Jimboni mwake" (wakimaanisha Kigoma Kaskazini) basi watakuwa wamekosea, si huko tena! Lakini, muda muafaka ukifika atakuja 'mwenyewe' ndani ya JF kuwafahamisha ni Jimbo gani atagombea na sababu hasa za maamuzi yake.
Hujafanya utafiti mkuu, Hao Binadamu wapo...ntarudia tena na tena: "sijapata kuona binadamu wanaogombea nafasi za uongozi ili wawatumikiye wananchi,bado kuona."
Nilitegeme hilo hasa baada ya kupata majibu kuwa hajachuja kisiasa baada ya ishu ya Dowans. Ni sawa kwa hilo kwani aendelee kumpa chati mzee Zitto kule Kigoma na Ujiji pia. Kwetu wana JF ni kuja na mkakati mpya kama wa Politician Star Search ili tupate vijana shupavu katika siasa za Tanzania tuitakayo na kumpa support wawe ili wawe wengi mjengoni. hatuna pa kwenda zaidi ya Tanzania tuipendayo, ni vema tukapaboresha walau kwa kiwango cha kuboresha utendaji na uzalendo
...mshahara 10m na gari zaidi ya mbili za 100m naye anajiona mtetezi wa wananchi,ni sehemu ya mafisadi tuu hana lolote,angekuwa na uchungu angekataa na kupinga kwa nguvu hiyo mishahara ya wizi wanayojipa hao mafisadi!
amen my brother! Kuna thread alitaja hela anayolipwa...sijui 200,000 kwa siku katika kamati moja na 320,000 kwa siku katika nyingine. Hii sijui inaishia wapi. anyway....Chadema isingeweza kukubali kupoteza kiti bungune. Ile ruzuku ya mil 60 ingepungua mbaya sana. Chama kingekufa.
kwani source lzm iwe linkable???source ulioweka iko wapi? it is not linkable....