mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
Zitto kasaliti akiwa ndani ya steering comittee mkuu! He knows all corners like ufagio wa zamani
Mkuu uzi unaobeba waraka wa kijasusi na watu tiss unaukweli wwt?
Zitto kasaliti akiwa ndani ya steering comittee mkuu! He knows all corners like ufagio wa zamani
Ben sijui kwann sijui sana siasa ila nilikua naona kama ndio uamuzi sahihi kabisa huo....kama anataka kwenda mbali kwa siasa za kitanzania ni lazima abake CDM tumeona wengi kina kaborou,lamwai walipoishia..kusema tu samahani ni shida gani
Zitto ni makini na washauri wake ni makini pia, huenda maamuzi magumu anayotaka kufanya ni kuendelea na chama kwa kuomba msamaha. Maana hakuna kitu kigumu kama kuomba msamaha.
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele
Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele
Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele
Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini
Hata mtoto atakuwa jambazi, akifa mama atalia tu. Hivyo kupokewa kwa kiwango hicho sio kitu kigeni au cha ajabu.
Zitto bado ni tishio ktk siasa
Uamuzi mgumu ni ule wa kujiunga na kijana mwenzake Nchemba na kujiunga CCM iliyomfanya adhalilike kwa kukubali kutumika na kuanzisha chama akiwa ndani ya chama. Otherwise akumbuke wale wote walioanzisha CCJ wakiwa CCM walirudi kuomba msamaha na hadi leo ni mawaziri na vipaza sauti vya chama chao. Take or leave it ZZK.
Kwa hiyo Zito alijipa zamu ya kuongoza si ndio?
Zitto bado ni tishio ktk siasa
Anaweza kutoa ccm madarakani na Act yake
Picha ya Tabora .........angemtaja na Dr.Slaa kuwa aliachana na CCM ........