Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Status
Not open for further replies.
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele

Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini

Mkuu hizi habari hapo chini ni za kweli au ni porojo tu!!??

SEHEMU NNE: MATUMIZI YA PESA HIYO

Uchunguzi umezidi kubaini kuwa kuanzia
mwanzoni mwa mwaka 2011, kutoka kuugwa
mkono na wanachadema kama mwanasiasa
makini, Zitto aliamua kuunda kundi la uasi
ndani
ya chama.

Baadhi ya waliounda kundi hili ni:
Zitto Z.
Kabwe +255754787550/756809535/713730256
Juliana Shonza +255714669850/756359073
Habib Mchange +255762178678
Mtela Mwampamba +255718037358/755178927
Gwakisa Burton +255713316790
Eddo Makata +255757149043/655148758


Greyson Nyakarungu +255755023503
Adams Chagulani +255767137831
Deogratius Kisandu +255655025609
John M. Shibuda +255754465597
Kitila Mkumbo +255754301908
Exaud Mamuya +255767160685
Ben Saanane +255768078523
Timu ya upelelezi imebaini kuwa kundi hili
lilikuwa linapokea fedha kutoka kwa Zitto kwa
njia
ya M-Pesa, Uchunguzi umebaini kuwa kuanzia
2011 kundi hili lilianza kutumiwa pesa na Zitto
kwa njia ya M-Pesa kila mwezi, ambapo kila
mwanakundi alikuwa akipokea kati ya 150,000/
=
mpaka 200,000/= , na ilipofika mwishoni mwa
mwaka 2012 kundi hili sasa likawa linalipwa
karibu kwa wiki,
Takwimu za malipo ya wafuasi wa kundi hili
kutoka kwa Zitto kwa mwaka 2012 zinaonyesha
walilipwa kwa njia ya M-PESA No
+255756809535 hii ni namba mojawapo ya
Zitto
Zuberi Kabwe:
 
Kila siku .. Kila siku.. "Nitafanya nitafanya..'" Unadhani maamuzi Magumu MCHEZO..!

Anasubiri na akina mzee Arfi ajiweke sawa watoke wote ili ile dhana ya "Chama cha Wakristo" iweze kutimia!
 
DHAMBI HUWA ZINATESA SANA / UASALITI ,HUJUMA, /KIFIFISHA HARAKATI, watanzania huwa wakali tu wakisalitiwa na wake zao
 
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele

Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini

Upo sahihi kabisa Ben Saanane, kuna haja ya kufanyika maridhiano kati ya CHADEMA na Zitto, kufukuzana katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu ni hatari sana kwa pande zote!

Hakuna atakaefaidi moja kwa moja, iwe Zitto au CHADEMA, kila mmoja atapoteza kwa kiwango chake!

Yaandaliwe mazungumzo yenye lengo la kusameheana, bila kuwekeana masharti yoyote magumu...
 
Last edited by a moderator:
Zitto ni makini na washauri wake ni makini pia, huenda maamuzi magumu anayotaka kufanya ni kuendelea na chama kwa kuomba msamaha. Maana hakuna kitu kigumu kama kuomba msamaha.
 
Kama hiyo doc ni kweli zitto akitoka cdm amekwisha, ccm haiko tayar kuwa na mtu alienyea kambi, inamtosa tu.

Kwa mujibu wa Doc zitto ndie tishio and the game is over. afanyenini tena ccm na ccm ina wenyewe?
 
Hivi huyu jamaa akiomba radhi chama atapungukiwa nini? Aisee
 
Zito bana kila siku yeye atachukua uamuzi mgumu..uamuzi upi na watu walisha kutimua
 
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele

Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini


Haya ndiyo matatizo ya watanzania mara hii tayari neno ngumu limeshakuwa jambo la kawaida. Nini maana ya kitu/jambo ngumu ?

Tumesikia kila mara akitamka kufanya maamuzi magumu!

Sasa tuje kwenye issue ya Zitto,kama ulivyodokeza hiyo moja ya maamuzi magumu yaliyobaki kwa Mhe,lakini pia anachaguo lingine kwenye orodha ya maamuzi magumu kwamba Siasa ndiyo basi/mwisho.



 
1.Hatagombea ubunge tena katika jimbo analoongoza sasa
2.Atafanya maamuzi magumu muda siyo mrefu

Chanzo: twitter yake
 
Atakua na jambo lazma sema anashindwa litoa nafikiri ni wakati wake labda maalum wa kulitoa ilo jambo tumsubiri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom