Inasemekana Atagombea Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT.
Lakini Zitto ni mtu kigeugeu sana, moja ya kauli zake tata ni hizi hapa.
1/Wakati wa uchaguzi mkuu wa 2010 akiwa kigoma hapo hapo alitangaza kuwa mwaka 2015 atagombea Urais.
2/Aliwahi kusema mara kadhaa kuwa atakuwa mtu wa mwisho kuondoka CHADEMA.
3/Mara kadhaa amewahi kusema kuwa kipindi hiki ndio cha mwisho kuwa mbunge, baada ya hapo 2015 ataachana na siasa na kwenda chuo kikuu kwenda kufundisha.
*Kwa sasa amekuwa akiimba chorus "Mwezi March nitafanya maamuzi magumu juu ya hatma yangu ndani ya CHADEMA" lakini karibu kila mtu anajua atahamia ACT, bahati mbaya sana CHADEMA wamemuwahi kwa kumvua uanachama.