MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Zitto anaipeleka CHADEMA puta.
Mpaka BABU kaikimbia ofisi, eti anaenda kuwaeleza wananchi mabaya ya Zitto.
Mpaka BABU kaikimbia ofisi, eti anaenda kuwaeleza wananchi mabaya ya Zitto.
Mkuu uzi unaobeba waraka wa kijasusi na watu tiss unaukweli wwt?
CHADEMA hawaangalii umaarufu wa mtu, wanaangalia misingi ya chama. Kaburu ilikuwaje? Leo yuko wapi? Zitto nae ivyo hivyo.Majambazi kama.wale watekaji?
Zitto kasha rest in peace kisiasa. Hana uwezo wa kumpelekesha puta hata hawara yake aliyempiga mimbaZitto anaipeleka CHADEMA puta.
Mpaka BABU kaikimbia ofisi, eti anaenda kuwaeleza wananchi mabaya ya Zitto.
CHADEMA hawaangalii umaarufu wa mtu, wanaangalia misingi ya chama. Kaburu ilikuwaje? Leo yuko wapi? Zitto nae ivyo hivyo.
Picha ya Tabora .........angemtaja na Dr.Slaa kuwa aliachana na CCM ........
Kwa mtu yeyote makini, atagundua kuwa huyu jamaa, anatafuta kuhurumiwa, sisi watu wa MARA, tunaamini, tumezaliwa Siku Moja, na tutakufa siku moja, ukitaka kufanya jambo lolote huhitaji kutangazia watu, kama ni uamuzi amua ijulikane.
Zito hana tofauti na mtu anayetaka kujiua kwa sumu, ananunua sumu na kusubiri chenji. Very STUPID.
Acha kupotosha, Hiyo picha unayoweka ni ya 2013 Zitto akiwa KAsulu. Jana Zitto kavaa Nguo ya kaunda nyeusi.Zitto bado ni tishio ktk siasa
CHADEMA hawaangalii umaarufu wa mtu, wanaangalia misingi ya chama. Kaburu ilikuwaje? Leo yuko wapi? Zitto nae ivyo hivyo.
Wote njaa zinawasumbua sio zito pekee yake, umesahau kafulila alitimuliwa na Nccr ya Mbatia, akaenda mahakaman wiki iliyofuata Mbatia akateuliwa mbunge na Rais akasahau ya Kafulila had leo
Tafuta mashtaka kumi na moja (11)aliyoshitakiwa nayo ndiyo utajua misingi, kanuni na katiba ya CHADEMA. Usiongee vitu vya kwanye JF pekee Sister.Msingi wa chama au wa watu binafsi?Kwanza msingi wa chama unasemaje?
Hapo ndio umefikiri mpaka mwisho?
Wewe wasemaKumbe hata bodyguard alikuwa maarufu chamani.
CHADEMA haiweze kupelekeshwa na misukule.Zitto anaipeleka CHADEMA puta.
Mpaka BABU kaikimbia ofisi, eti anaenda kuwaeleza wananchi mabaya ya Zitto.