Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Status
Not open for further replies.
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele

Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini

Ben sijui kwann sijui sana siasa ila nilikua naona kama ndio uamuzi sahihi kabisa huo....kama anataka kwenda mbali kwa siasa za kitanzania ni lazima abake CDM tumeona wengi kina kaborou,lamwai walipoishia..kusema tu samahani ni shida gani
 
Kama chadema ingekua inaondoa maovu basi shibuda angeondoka kabla ya zitto maana alisaliti tangu sikubya kwanza alipohudhuria kuapishwa kwa JK.zitto n tishio kwa nafasi ya mbowe kama mwenyekiti.undugu,uchaga na ukatoliki ndo umemuondoa zitto CDM

Kwa sasa ni Zito pekee anayeweza kuamua hatima yake. Ni yeye tu ndiye anayejua alicholipwa kuihujumu CDM!! Nyie wengine msiojua kilicho moyoni mwa Zito mnahangaika bure!! Pesa kala yeye na Wapambe wake, sisi inatuhusu nini? Ila kwa Wapambe wake na labda ukiwemo wewe mna haki ya kufa naye!! Sisi Watanzania wengine tuliomwamini KATUANGUSHA; na namna pekee ya kumuadhibu ni KUMKATAA. CDM amueni na sisi tupo nyuma yenu.

Kumbukeni kuing'oa CCM ni Vita ya kufa na kupona! CCM wa Pesa sana japo ni hizo walizotuibia, wana vyombo vyote muhimu japo ni kama Haramu, Wameweza kutoa ujira kwa masikini wanaojua kusoma na kuandika ili wawatetee kwenye mitandao ya kijamii. Waendelee kufanya hivyo ila asitokee mtu miongoni mwetu akatumika na tukaogopa kumwajibisha, TUTAKOSEA SANA.
 
Huyu Mtu ni kilaza! Hayo maamuzi so ayaamue? Kama ni magumu anamtishia nani? Msaliti will always fail! Will always fail I repeat! Haka Kajamaa ni kamtu ka hovyo! Na nishajifunza kitu! Watu hawabadiliki!



UOTE=Salary Slip;12144983]Zitto amekaririwa na gazeti la Mtanzania la leo Jumamosi ya tarehe 14/03/2015 akisema kuwa atachukua uamuzi mgumu kuhusu hatima yake ndani ya CHADEMA.[/QUOTE]
 
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele

Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini
Kaka Ben... Kijana aombe radhi ya nini?? Wakati wenye chama mmeshasema hamumhitaji... Wacha kijana akamalizie Phd yake... Maisha mengine yaendeleee....
 
....Huyu anajifanya ni maarufu zaidi ya chadema,hivi hajui hapa niko Rorya,kata Ikoma,kijiji cha Kogaja hapa ni chadema tu,hata ccm imesambaratishwa.Hapa ni chadema na sio zito.
 
Ben sijui kwann sijui sana siasa ila nilikua naona kama ndio uamuzi sahihi kabisa huo....kama anataka kwenda mbali kwa siasa za kitanzania ni lazima abake CDM tumeona wengi kina kaborou,lamwai walipoishia..kusema tu samahani ni shida gani
Pasco et al., ....hawawezi kumpa nafasi hiyo...! Maana kufanya hivyo ni kuboresha Tumani la watanzania wanaendelea kuliwekeza kwenye vyama vya siasa kama vile vinavyounda UKAWA.
 
Hakuna msafi.
Zingefuatwa kanuni leo hii mbowe angekua sio mwenyekiti wa chama mana muda wake ulishakwisha kikatiba lakini pesa ikarubuni wajumbe wakakubali kubadili katiba kwa maslahi ya Mbowe.
Ilikua ni zamu ya Zito kuwa Mwenyekiti kakini wachaga wakaona maslahi yao ndani ya chadema yako hatarini kwani Zito ni mtu wa kupenda usawa.

Hate the game not the players
 
Labda uamuzi mgumu ni wa kukata rufaa makakama you rufaa.
 
Najiuliza kwanini MAFISADI, MAJANGILI, WAHUJUMU UCHUMI, WAKWAPUAJI WA RASILIMALI ZETU ndo wanamlilia sana ZITTO abaki CHADEMA? KULIKONI?... Kama ni mzuri sana kwnini wasimpe madaraka kwao?... WATANZANIA wa leo si wajinga tena... Thanks kwa Shule za KATA ...

Maswali hayo ndiyo wanaojiuliza Watanzania. Zito kwa dharau zake anadhani Watanzania hawawezi kujihoji na kuuliza. Ajue kabisa kwamba watu wenye akili zetu TUNAJIULIZA SANA!!
 
....Huyu anajifanya ni maarufu zaidi ya chadema,hivi hajui hapa niko Rorya,kata Ikoma,kijiji cha Kogaja hapa ni chadema tu,hata ccm imesambaratishwa.Hapa ni chadema na sio zito.

Siyo Rorya tu Mkuu, Hata kwao Mwandiga kumenuka. Jana alilazimika kutumia mbinu za Mabwana zake CCM kuhonga Tshirt watu wa Jimboni kwake ili wamuonee huruma. Na CDM Mwanza imeendelea kung'ara katika ya kutimuliwa kwake. Jana Mwanza palikucha, tena katikati ya ziara ya Fisadi Lukuvi
 
Kama chadema ingekua inaondoa maovu basi shibuda angeondoka kabla ya zitto maana alisaliti tangu sikubya kwanza alipohudhuria kuapishwa kwa JK.zitto n tishio kwa nafasi ya mbowe kama mwenyekiti.undugu,uchaga na ukatoliki ndo umemuondoa zitto CDM

Undugu, uchagga , ukatoliki vyote havihusiki ila hapa ni tamaa Ya madaraka tu.
Zito mwenye kipaji kikubwa kuliko Kiongozi yeyote CDM angekua mchagga , mkatoliki tena ndugu yake Mbowe halafu akatamani kua MWENYEKITI bado angeondolewa tu!
 
Mkimsema sana ataanza kulia bure na kusema namkumbuka marehemu mama! Utadhani yeye pekee ndio amepoteza mama! Zitto hana lolote zaidi ya kubebwa na CCM kwa malengo yao.

Ha ha ha Rip mama zitto.
 
Kama naibu KM kwa nini hakuzungumza kwenye vikao vya chama kuhusu huo ukaguzi na badala yake akaenda public? Huyu ni mtu hatari sana hata kama CCM watamchukua. Anapenda sana umaarufu ndo kitu kitamwangusha. Akitoka haoi ataaingizia udini. Akili anazo ila anazitumia vibaya.
Yani azungumzie majukumu ya kamati ndani ya vikao vya chama, kweli?? Kwani vigezo gani vinatumika ili kumfanya mtu kuwa maarufu??
 
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele

Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini

Nakubaliana na wewe 100% Zitto wengi walimshauri omba samahani mtoto akinyea kiganja akikatwi kinasafishwa na kuendelea kutumika, Maccm yamemlisha akavimbiwa akanyea kiganja badala ya kujisafisha na kutumika tena anakipaka tena oil chafu.
 
which hard decision than joining CCM? that the hardest decision of all
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom