Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Status
Not open for further replies.
Akajipange huko act siasa popote asituchoshe mbwa huyu, ye alipenda pesa zaidi kuliko chama. Akafie mbali na usaliti wake.
 
Too late and too low.
Maamuzi ya nini tena wakati ameshafukuzwa CHADEMA? Kama kumwaga, CHADEMA walianza kumwaga mboga, Zitto akaendelea kusita kumwaga Ugali, CHADEMA juzi wamemwaga na ugali kabisa. Sasa hakuna msosi tena. Zitto kwisha habari yake kabisa.

Atamwaga maji ya kunywa ya kunawa na kupasua grass na kutupa vyombo kabsa. R.I.P chacha Wangwe.
 
Anashangaza sana huyu mtu, Atajuta kukisaliti chama.

Alisariti nini? Hivi ukihoji Matumizi mabaya ya pesa za chama ni Usariti? Kohoji ukabila na ukanda na mapungufu ya Uongozi ni Usariti? Kumbuka hata chacha Wangwe kabla ya kuuawa na akina Lema na Deus malya alikuwa akihoji sana juu ya Ufujaji wa pesa za Ruzuku na pesa za misaada, pesa yote inamalizikia mifukoni mwa mbowe na watu wake wa Karibu, Wapo watu Chadema wanaamini na kukariri kuwa Mbowe ni Mungu kila analosema linatoka Mbinguni na hasitahili kuulizwa chochote. R.I.P chacha wangwe.
 
HUKO FB NDIKO KUNAKOMFAA KUTOLEA MATAMKO.. TAYARI IKO WAZI KUNA KAMANDA WA KUZALIWA KIJIJI CHA KIGANZA NI DAKTARI MATYAZO HOSPITAL ATASIMAMA KWA CDM HAPO KIGOMA KASKAZINI NI MSOMI NA MWENYE UWEZO MKUBWA SANA, ZITTO KASHAPEWA PESA NA CCM ABADILISHANE JIMBO NA MBUNGE WA SASA WA KIGOMA MJINI CCM-Peter serukamba, NA HUYO P. Serukamba NDIYE AENDE KIGOMA KASKAZINI, HALAFU BADO KUNA WATU BADO WANAAMINI ZITTO NI MPINZANI ULIWAHI IONA WAPI HIYO??.........
Kigoma kaskazini anasimama MR ALEX,Kupitia atakapokuwa Zitto.Jamaa alikuwa meneger kampeni wa Zitto.kigoma mjini atakuwa MZALENDO MWENYEWE.Mpaka sasa Zitto ana uhakika wa majimbo manne KIGOMA NZIMA.Kama huamini subili octoba bt hatima ta chama chake anaijua mwenyewe bora kubakiza akiba ya MANENO.
 
HUKO FB NDIKO KUNAKOMFAA KUTOLEA MATAMKO.. TAYARI IKO WAZI KUNA KAMANDA WA KUZALIWA KIJIJI CHA KIGANZA NI DAKTARI MATYAZO HOSPITAL ATASIMAMA KWA CDM HAPO KIGOMA KASKAZINI NI MSOMI NA MWENYE UWEZO MKUBWA SANA, ZITTO KASHAPEWA PESA NA CCM ABADILISHANE JIMBO NA MBUNGE WA SASA WA KIGOMA MJINI CCM-Peter serukamba, NA HUYO P. Serukamba NDIYE AENDE KIGOMA KASKAZINI, HALAFU BADO KUNA WATU BADO WANAAMINI ZITTO NI MPINZANI ULIWAHI IONA WAPI HIYO??.........

Hizo pesa zinatolewaje na mrejesho wake unafanywaje?
 
Maamuzi magumu ni kuanika Unyama woote wa Mbowe na washirika wake wa karibu, yaani Lema, Mnyika, Mrema, Kilewo na Deus Mallya jinsi wanavyoendesha Umafia ndani ya chama na hawapendi makabila mengine lakini wameamua kuweka kabla zingine mmoja mmoja kama akina Lisu, Marando, slaa na Rwakatare ili kuwahadaa watu na kuzuga kuwa ni chama cha makabila yote, Moyoni na Ukweli Chadema ni saccos ya Mtei na Mbowe ndiyo maana Mtu akihoji chochote lazima afukuzwe au kuuawa kama chacha wangwe.
 
Upo sahihi kabisa Ben Saanane, kuna haja ya kufanyika maridhiano kati ya CHADEMA na Zitto, kufukuzana katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu ni hatari sana kwa pande zote!

Hakuna atakaefaidi moja kwa moja, iwe Zitto au CHADEMA, kila mmoja atapoteza kwa kiwango chake!

Yaandaliwe mazungumzo yenye lengo la kusameheana, bila kuwekeana masharti yoyote magumu...
R.I.P chacha Wangwe.
 
Last edited by a moderator:
Maamuzi magumu ni kuanika Unyama woote wa Mbowe na washirika wake wa karibu, yaani Lema, Mnyika, Mrema, Kilewo na Deus Mallya jinsi wanavyoendesha Umafia ndani ya chama na hawapendi makabila mengine lakini wameamua kuweka kabla zingine mmoja mmoja kama akina Lisu, Marando, slaa na Rwakatare ili kuwahadaa watu na kuzuga kuwa ni chama cha makabila yote, Moyoni na Ukweli Chadema ni saccos ya Mtei na Mbowe ndiyo maana Mtu akihoji chochote lazima afukuzwe au kuuawa kama chacha wangwe.
 
HUO ni ubunge anang'ang'ana na uenyekiti PAC(kitengo cha ulaji kwa kutishia watu na kuchukua mshiko mlango wa nyuma). Najiuliza ungekuwa uwaziri angefanyaje? Si angeruka ukichaa? Kama kawaida yao ataingiza udini ili kupata utetezi. Utawala bora na utawala wa sheria unataka kila mmoja kutii makubaliano. Kavunja Katiba ya CDM kwa kutafuta umaarufu binafsi.Ningeshangaa kama angefika mbali. Anagusa wapakwa mafuta wa Bwana na anategemea Mungu akae kimya. Kwa roho yake ovu amesababisha makovu na maumivu makubwa kwa wana wa Mungu pasipo hatia. Ni lazima akatubu la sivyo mkono wa Bwana uteendelea kuwa mzito juu yake. Binafsi nimemwomba Mungu amrehemu ili maamuzi magumu isije kuwa kujitoa uhai wake. He is totally confused. Mungu aponye uhai wake na mkono wake usiwe mzito kupita kiasi juu yake. Amen.
Maamuzi magumu ni pamoja na kuanika Unyama wa Mbowe na Timu yake. R.I.P chacha wangwe.
 
wakuu

friends and enemies

sote tunakumbuka vurugu hizi za kumtimua zzk na wenzake zilianza lini kabla sijaenda mbali niweke msimamo wangu wazi tu kama mwanachama hai wa cdm kuwa ninaunga mkono kufukuzwa kwa zitto na wenzake ndani ya cdm lakini siungi mkono njia ambayo cdm wameitumia kumfukuza kwasababu imewapa u-famous watu hata wasio stahili (mwigamba &co) kwanini ninaunga mkono kufukuzwa kwao?? ni wazi kuwa hakuna kipindi ambacho cdm imetulia na kupanga mipango kabambe yenye nguvu kama kipindi ambacho zzk na wenzake walivyofukuzwa lakini pia najiuliza kwanini wana ccm ndio wanaolia sana kufukuzwa kwa zzk ndani ya cdm cha ajabu hata mgwillu naye analia hivi kweli kwanzia lini CCM&co wamekuwa na huruma na cdm??? I smell something fishy ..!!

kwanini nasema zitto kawekwa njia panda??

sehemu ya kwanza

chadema wamamvuruga zitto

wakuu sote tunajua kuwa mahakama ilikuwa itoe uamuzi tarehe 12 nasio siku ambayo mahakama ilitoa hukumu inasemekana mawakili wa cdm walipata taarifa kuwa zzk anampango wa kuondoka cdm tarehe 11 kwa mbwebwe na kuzunguka nchi nzima akiwananga cdm hivyo wakaomba hukumu iwahishwe wakijua fika watashinda kesi na baada ya ushindi lissu akatangaza kumvua uanachama hapohapo zzk alicho kifanya lissu kimeegemea sehemu kuu mbili moja kama mwanasheria mkuu wa chama ni kazi yake kutafsiri katiba na sheria hivyo lissu ameitafsiri katiba ya CHADEMA kuwa mtu atakayekipeleka chama makakamani anajivua uanachama mwenyewe lakini pili ni LOGIC tu nani aliwai kukipeleka chama chake mahakamani alafu akashindwa kesi na akaendelea kuwa mwanachama???? hivyo lissu alichofanya kinaweza kutafsiriwa katika sehemu kuu mbili moja ni "kumuua" zitto kisaikolojia kwakua hata kama akitaka kuama cdm sasa hatakuwa na nguvu kama mwanzo na pili lissu anajaribu "kununua" muda wa kamati kuu kuketi na kutoa hukumu sote tunajua lissu hana mamlaka ya kumfukuza mtu uanachama bali ni cc ya chadema hivyo katika kipindi hiki ambacho cc haijakaa kulijadili swala hili alafu zitto akaamua kusepa bado itajulikana tu kuwa zzk alifukuzwa cdm

sehemu ya pili

Chadema wanamuacha zzk ajifukuzishe mwenyewe uanachama..

kwanzia mwanzo wa mgogoro huu na kitendo cha zzk kwenda mahakamani nilisema zitto kashauriwa vibaya na kesi ile ingempa wakili wake (Msando) umaarufu lakini zitto ingempoteza kabisa kwenye ramani na ndicho kilichotokea msando kaitwa kwrnye mkasi na kola siku utamsikia clouds kwa kifupi kawa maarufu lakini zzk yuko wapi..??

kama ulivyokuwa awali cdm inaelewa fika kuwa zzk ni mkurupukaji wakimuweka kwenye tension kidogo tu huanza kubwabwaja (rejea kauli ya zzk kuwa lissu ni kifaranga tu) nampongeza kidogo zitto safari katulia kidogo na vilevile hana washauri wazuri washauri wake ni wale waliofukuzwa kwa aibu kutoka cdm hivyo lazima wampotoshe zzk na yeye atimuliwe ili mizani ibalance

ndio maana hujasikia Dr.slaa wala M/kiti mbowe wakiliongelea swala la zzk kabisa wanamuacha ajifukuzishe uanachama mwenyewe cha ajabu mpaka leo hata barua hawajampa wala hawajaliandikia bunge barua yoyote

prof baregu akiojiwa na voa alisema zzk anamuda wakujirudi na kuomba msamaha na kusamehewa lakini sote tunakijua kiburi cha zzk hawezi kufanya hivyo

tumesikia zzk atatangaza uamuzi wake kesho huko kigoma aamuzi wake unaweza kumjenga kisiasa au kumpoteza kama walivyopotea wakina shonza tambwe hizza mwigamba na n.k

NB:kupotea kwa zitto kisiasa wasilaumiwe Chadema kwakuwa hawajamfukuza zitto bali wamemuweka njia panda tu yeye mwenyewe aamue

.......................

professor kilaza
 
Mbunge wa kigoma Kaskazini Mh. Zitto Zubery
kabwe Leo Alikutana na Wazee wa Jimbo Lake
na Kutoa Maamuzi magumu mbele ya wazee
hao kama hato gombea tena Ubunge kwenye
jimbo hilo alilolitumikia kwa muongo moja
(miaka 10) huku wazee wakimbariki achukue
maamuzi yanayofaa kulingana na hali ya
kisiasa inayoendelea hivi sasa.
Katika page yake ya facebook amepost ujumbe
huu kama unavyosomeka hapa chini
"Leo nimekutana na wazee wa jimbo la kigoma
kaskazini na wawakilishi wa vijiji vyote 45,
nimewaaga rasmi kuwa sitagombea ubunge
jimbo hilo"
Aliendelea kupost kwenye page yake
kama twitter
 
Tatizo kuna baadhi ya watu hapa duniani wanajiona wao ndiyo wao kukubalia kukaa chini na kuomba radhi kwa matendo yao ni kitu kigumu sana. Kama aliweza kuja hapa kuanzisha uzi wa kuomba radhi sijui anaona ugumu upi wa kukaa meza moja na viongozi wa juu wa CHADEMA na kusema "Samahani nimekosa naahidi kujirekebisha kwa manufaa ya chama chetu, nchi yetu na Watanzania wote naomba nirudi kundini"

Maamuzi magumu ni kuomba msamaha na sio vinginevyo
 
Ana shida gani kama tayari ana majumba ya nguvu Dar na Mwanandiga? Pia magari ya kutembelea yanguvu achana na IST za AIRTEL.Pia ana marafiki wengi wa nguvu kama akina MKONO na SETHIII wa PAP.Siasa impe nini?
 
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele

Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini

Zitto hajakataliwa na wapenzi na wanachama amekataliwa na wenye chama acha kujifaragua
 
ningepata nafasi ya kumshauri zitto ningemuambia aiombe chadema wakutane wazungumze yaishe,tunajenga nyumba Moja haina maana kunyang'anyana fito,tusameheane yaishe...
 
zitto bora ukae pembeni..kwa sbb usingerudi bungeni hata kwa tiket ya chama cha mungu #umechokwa #. Waachie cdm na sakosi yao waendelee kukopeshana.
 
ZZK kuamua kugombea uraisi wa JMT kptia chama cha ACT is a demon plan, why?? because zitto has magic political power!!! what i mean ni kwamba ZZK atadhoofsha pande zote mbili chama tawala na vyama pinzani,mathematicaly ni hiviii
40%@CCM
30%@UKAWA
25%@ACT
5%@Other parties

Now who is the winner?
Kitakachofata ni vurugu tu.Am out!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom