mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
Haya ndiyo matatizo ya watanzania mara hii tayari neno ngumu limeshakuwa jambo la kawaida. Nini maana ya kitu/jambo ngumu ?
Tumesikia kila mara akitamka kufanya maamuzi magumu!
Sasa tuje kwenye issue ya Zitto,kama ulivyodokeza hiyo moja ya maamuzi magumu yaliyobaki kwa Mhe,lakini pia anachaguo lingine kwenye orodha ya maamuzi magumu kwamba Siasa ndiyo basi/mwisho.
akiacha siasa, itakuwacimeleta jibu zuri, na atakuwavametenda haki kwa chama, ns Watanzania