Prezidah
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 750
- 182
so kwa nini yuko out kama ni juu ya wote think twice, chagadema ndio inamfanya awe hapo alipo vinginevyo angeendelea kupalula migebuka
Mkuu sijasema yuko juu ya wengine kama umecheki vizuri, ingawa ni kweli kwenye siasa kuna watu wanabebwa na vyama lakini wapo wachache wanaobeba vyama vyao. Hili la pili linategemeana na umri chamani, uwezo binafsi utendaji wako, ushiriki jimboni kwako na team yako. Mifano ipo mingi