Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Status
Not open for further replies.
Maamuzi magumu ni kuanika Unyama woote wa Mbowe na washirika wake wa karibu, yaani Lema, Mnyika, Mrema, Kilewo na Deus Mallya jinsi wanavyoendesha Umafia ndani ya chama na hawapendi makabila mengine lakini wameamua kuweka kabla zingine mmoja mmoja kama akina Lisu, Marando, slaa na Rwakatare ili kuwahadaa watu na kuzuga kuwa ni chama cha makabila yote, Moyoni na Ukweli Chadema ni saccos ya Mtei na Mbowe ndiyo maana Mtu akihoji chochote lazima afukuzwe au kuuawa kama chacha wangwe.

Kweli we funza hujakosea ulichoandika ni kifunza funza tu
 
Makosa ya Zitto yaliyojadiliwa kamati kuu ya kushupalia ruzuku kupitia kamati yake ya PAC bila kuwatonya Chadema.Hiyo ni fact.Huwezi kuikwepa leo.Laiti ingepatika video ya kikao kile watu humu wangeona aibu humu kumuita Zitto msaliti na wangeona aibu aina ya viongozi waliopo Chadema.

Usome ule waraka alafu tuonyeshe hapa ni wapi waraka ule unazungumzia mapinduzi kwa maana ya kupindua?waraka unazungumzia kushiriki uchaguzi wa kidemokrasia na wanachama wa Chadema wachague kwa kura Mwenyekiti ambao kwenye waraka walisema Zitto angefaa.

Ukiusoma waraka ule ni wazi Zitto hakushiriki kuuandaa maana unamzungumzia Zitto pia vibaya sehemu kadhaa.Hivyo kuwa Chadema waraka ule katu hauwezi kusimama popote kuwa sababu kwanza ni mkakati wa kidemokrasia lakin pili Zitto hakushiriki na waraka upo wazi juu ya hilo.

Afadhari umeeleza ukweli kidogo, maana wengine hawajui kuwa zingine zote ni porojo lakini sababu ni UENYEKITI na KUTISHIA MASLAHI YA WATU NDANI YA CHADEMA AMBAO KWAO CHADEMA BI SACCOS YAO.

Aje kwenu ccm kumbaf cdm hatuna mila za kulindana
 
zitto amekaririwa na gazeti la mtanzania la leo jumamosi ya tarehe 14/03/2015 akisema kuwa atachukua uamuzi mgumu kuhusu hatima yake ndani ya chadema.
====================



chanzo:mtanzania
maamuzi gani tena wakati si mwanachama wa chadema???!kipi kipya???ila kama anataka kujiua tunamwomba asifanye hivyo chonde chonde!!
 
Akili mali yan huoni kama ZITO anaonewa!!!

mtu kuwa na makund ndan ya chama halaf unaona anaonewa sipat picha na kamera ninayo, then mnasema zito na lowasa wako kundi moja japo vyama tofaut bado hamuon ni usaliti!
Yeye aendelee na makuni yake hukohuko chadema waendelee na kuimarisha umoja na mshikamano kwa ajili ya mtanzania
 
Zitto is very smart politician,anaweza kuingia chama chochote mfano anaweza kuingia CUF na kupata cheo kikubwa hivi uhai wa UKAWA utakuwaje hapo,chadema inabidi tu wamuombe msamaha haraka he can do anything at any time.
 
Huu si muda wa kulumbana kaenu chini muonge vya maana sio ndo mnawapa point tatu ccm...tumechoka na utawala wa miaka 50 mpk sasa akuna cha maana walichokifanya
 
Zitto alikuwa anasema anataka kugombea Urais, mapema sana. kama nia yake ilikuwa ni ya dhani na si kuvuruga chama, basi Cheyo na UDP wanatafuta mgombea wa Urais, hakika UDP wanaweza mpa hiyo ticket. Zito nenda UDP. kwani wanao wapa wapinzani kura ni wale wale.
 
Zitto omba msamaha,huwezi kuwa juu ya chama na huwezi kuwa maarufu kuliko chama sababu chama ndio kilicho kufikisha hapo ulipo.

Dharau,maringo,kujiona,majivuno na majigambo havitaksaidia hata utakapoenda huko kuna kanuni na taratibu za kufuata ukikosea pia utawajibishwa.
 
Last edited by a moderator:
Mimi namshauri aombe radhi na abadilike aache undumila kuwili. Mengine ni porojo tatizo lake anafikiri anajua sana kumbe wengine tunamuangalia tu tunamdharau umekosea omba radhi basi longolongo za nini sasa kama kweli wewe ni jasiri toka chadema tuone ufulie
 
Maamuzi magumu yapi, kujiua au kwenda ccm? Zitto ataishia kuwa mbunge wa kigoma tu ameshaharibu nyota yake, Chadema ni mpango wa Mungu
 
Kwa nini kung'ang'ania ?
Hebu ondoka tuone kama chadema itakufa.
Wasaliti hawawezi kusamehewa.ni heri chadema ikafa kuliko kufuga msaliti.
 
Maamuzi magumu yapi, kujiua au kwenda ccm? Zitto ataishia kuwa mbunge wa kigoma tu ameshaharibu nyota yake, Chadema ni mpango wa Mungu

Hata kikwete viongozi wa dini walishawahi sema ni chaguo la mungu
 
Maamuzi magumu yapi, kujiua au kwenda ccm? Zitto ataishia kuwa mbunge wa kigoma tu ameshaharibu nyota yake, Chadema ni mpango wa Mungu

Uamuzi mgumu alishafanya sana,
Alizuia mgombea wa chadema asichuane na Pinda jimboni,
Aliwashauri Madiwani wetu wa Arusha wapingane na maamuzi ya cc,
* alizuia mgombea wetu singida mjini asigombee na Deeji
* aliamuru vijsna kafulila na Mkosamsli wahamie Nccr mageuzi,
Aliwaongoza viongozi waandamizi kumshambulia katibu mkuu na chama.
Uamuzi ho ukiwa Naibu Katibu Mkuu wa chama chako ni mgumu kuchua,na chadema chini ya Mbowe anahuruma sana vinginevyo angekuwa hata ndani ya ccm sijui ingrkuwaje
Tujiulize Horace korimba alitamka tu kuwa chama kimepoteza mwelekeo alifanywa nini?
 
Point sana mkuu. Aondokentu, mpaka ana print tshrt kaishiwa kweli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom