Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Status
Not open for further replies.
Zitto anataka umaarufu wakulazimisha.Ametolewa uanachama badala ya kuomba msamaha kwausaliti ulioufanya,anataka kujijengea umaarufu wa kujifananisha na watu walio fukuzwa kwenye vyama vyao na kuongoza vyama vingine vipya walivyoviunda kama kina Malema.Zitto utapotea kwenye siasa na kusahaulika.Kafulilia alilitambua hilo,akatoa chozi kwa mwenyekiti wake akasamehewa.Zitto kiburi cha nini?
 
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele

Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini
Kuwa mpole wala usiwaze mtakimbiana sana mwaka huu ngoja jamaa aropoke utapata shida kweli tena unakesi ya kujibu kwa zitto unakumbuka?
 
Zitto anataka umaarufu wakulazimisha.Ametolewa uanachama badala ya kuomba msamaha kwausaliti ulioufanya,anataka kujijengea umaarufu wa kujifananisha na watu walio fukuzwa kwenye vyama vyao na kuongoza vyama vingine vipya walivyoviunda kama kina Malema.Zitto utapotea kwenye siasa na kusahaulika.Kafulilia alilitambua hilo,akatoa chozi kwa mwenyekiti wake akasamehewa.Zitto kiburi cha nini?
Acha kudanganya watu wewe,Kafulila hajawahi omba msamaha kwa Mbowe wala Chadema,ila chadema ndo walimpigia magoti chini ya mwavuli wa ukawa.
 
Upo sahihi kabisa Ben Saanane, kuna haja ya kufanyika maridhiano kati ya CHADEMA na Zitto, kufukuzana katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu ni hatari sana kwa pande zote!

Hakuna atakaefaidi moja kwa moja, iwe Zitto au CHADEMA, kila mmoja atapoteza kwa kiwango chake!

Yaandaliwe mazungumzo yenye lengo la kusameheana, bila kuwekeana masharti yoyote magumu...
cdm haipotezi chochote kwa kumwondoa ZZK
TAYARI ZZK alishaidhuru cdm, yaan ni cdm ila wafuasi wake ni ccm so hawana faida kwa cdm

yaandaliwe mazungumzo kivipi???? mpuuzi ZZK ajikombekombe kwa wajumbe wa Kamalt Kuu, alielie kwa wanachama na tena aombe msamaha hadharani ndipo asamehewe. Ni ZZK aliyetaka kuivuruga NCCR kupitia kwa KAFULILA.
ASILI YA ZITTO ni kutaka awe mkuu zaidi ya wote, akihamia leo ACT miezi mitatu tuu itadorora

ZZK ndiye atafute suluhu na CDM na sio CDM kutafuta suluhu na ZZK
 
Acha kudanganya watu wewe,Kafulila hajawahi omba msamaha kwa Mbowe wala Chadema,ila chadema ndo walimpigia magoti chini ya mwavuli wa ukawa.

ACHA USHAMBA, ni cdm walimpa MBATIA janja ya kumtimua KAFULILA ili kuziba njia ya Zitto.

ZZK ndiye aliyeandaa mapinduzi NCCR, baada ya CDM kuusoma mchezo wakamwelekeza MBATIA namna ya kumwondoa KAFULLILA ili kuziba njia ya ZZK
kafullia alitimuliwa akapinga mahakamani kwa kesi ila akajirudi kuomba mshamaha NCCR akasamehewa

KAMA SIO kushindwa kwa mpango wa ZZK kumsimika Kafullila UENYEKITI WA muda NCCR zzk angeshatimkaa kitambo akitengeneza picha za kusadikika kuichafua cdm

Kafulilah alijashtuka zzk sio mshauri sahihi kwake na sasa yupo vizuri na viongozi wa NCCR
 
Mimi nadhani uamuzi mgumu ambao namshauri afanye ni kuachana na siasa tu basi.
 
Mimi nadhani uamuzi mgumu ambao namshauri afanye ni kuachana na siasa tu basi.
 
Acha kudanganya watu wewe,Kafulila hajawahi omba msamaha kwa Mbowe wala Chadema,ila chadema ndo walimpigia magoti chini ya mwavuli wa ukawa.

Nimekuambia Zitto amuulize Kafulila,sio wewe.kumjibia,shwain.Mwenyekiti wa chama cha nccr mageuzi ni Joseph Mbatia.Kafulila alimshika miguu na kutoa chozi,akasamehemewa
 
Upo sahihi kabisa Ben Saanane, kuna haja ya kufanyika maridhiano kati ya CHADEMA na Zitto, kufukuzana katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu ni hatari sana kwa pande zote!

Hakuna atakaefaidi moja kwa moja, iwe Zitto au CHADEMA, kila mmoja atapoteza kwa kiwango chake!

Yaandaliwe mazungumzo yenye lengo la kusameheana, bila kuwekeana masharti yoyote magumu...

ZZK anatakiwa kujishusha na kuomba radhi ili mambo yaendelee lkn kuhama chama mie nadhan ndo atapotea zaid ni afadhar aache tu siasa!
 
Last edited by a moderator:
Alishachukua maamuzi magumu miaka mingi iliyopita.pale alipoacha kushiriki harakati mbalimbali za kuijenga CHADEMA.na alipoenda mahakamani huku akijua katiba ya chama chake matokeo yake.katiba ya chadema ndio itakayo mwajibisha zzk.ILA KWA MASLAHI YA DEMOKRASIA NA UHAI WA UKAWA Viongozi wa CHADEMA na mh zzk kaeni pamoja jengeni chadema na upinzani zito baki /msameeni kiukeni katiba kwa maslahi ya demokrasia
 
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele

Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini

Ben ndugu yangu. Ushabiki ukizidi unaharibu radha ya "ushindi". Bahati mbaya kwa uwezo wa fikra zako huoni ni jambo gani Zitto anaweza kufanya zaidi ya kuomba msamaha. Sina shaka na uwezo wa Zitto Kabwe kisiasa, lakini nina shaka sana na uwezo wako kisiasa.
 
Hivi huyu jamaa akiomba radhi chama atapungukiwa nini? Aisee
Kuna watu wengi waliopotea kwenye siasa kwa ajili yake (kwa uchache Juliana, Mwampamba, Mhache, Mkumbo, Mwigamba n.k). Hivyo kuomba radhi wenzie hao wataona anaendelea kuwasaliti. Ila upande wangu, Watanzania tunahitaji mabadiliko, na ni bora zaidi na kwa faida yetu sote kama atatengeneza mambo yake na Chadema ili tushiriki pamoja kuangusha hili ZIMWI.
 
ni kauli ambayo mh.Zitto aliizungumza kipindi cha nyuma baada ya kuvuliwa nyadhifa zake ndani ya CHADEMA swali ni kwamba je Zitto ataisimamia kauli yake hiyo leo atakapokuwa anafanya mkutano mkubwa wa hadhara huko Kigoma?
 
Hiyo ndo ilivyo kutoka kwa watu wa karibu wa kijana huyo alieipenda CHADEMA enzi hizo na kuing'ang'ania CHADEMA kwa sasa ili apate kiinua mgongo cha bunge. ACT mtaisoma no. Zitto hayupo nanyi mtampoteza na hamna ushawishi

CCM tupo imara hatuteteleki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom