BOKO HALALI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 278
- 74
Nitafurahi sana kama zitto atojitoa rasmi kwenye kile chama haram cdm na ajiunge na chama chochote nitamuunga mkono
mbona mlitaka kumuua?Slaa bado mwanachama hai wa ccm.
mbona mlitaka kumuua?
Hivi huyu jamaa akiomba radhi chama atapungukiwa nini? Aisee
"Mfa maji haishi kutapatapa" ACT ipo aende na tunamtakia heri ya kuwatoa ccm madarakani teh teh!
Kupokewa!walipokewa wakina mboga za m 10,joka la makengeza etc sembuse yeye!MATANZANIA NDO MAJITU YENYE IQ NDOGO DUNIANI,NDO MAANA YANAAMBIWA "PIGA TU"
Akisamehewa atarudia tena na usaliti bora aende huko ACT.
ufisadi gani ameibua zito?
Au mnadhani ripoti za CAG ni ripoti zake
Upo sahihi kabisa Ben Saanane, kuna haja ya kufanyika maridhiano kati ya CHADEMA na Zitto, kufukuzana katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu ni hatari sana kwa pande zote!
Hakuna atakaefaidi moja kwa moja, iwe Zitto au CHADEMA, kila mmoja atapoteza kwa kiwango chake!
Yaandaliwe mazungumzo yenye lengo la kusameheana, bila kuwekeana masharti yoyote magumu...
Mkuu, nakubaliana na wazo la kusameheana kati ya Zitto an CHADEMA, ila tatizo langu ni je wataaminiana??Upo sahihi kabisa Ben Saanane, kuna haja ya kufanyika maridhiano kati ya CHADEMA na Zitto, kufukuzana katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu ni hatari sana kwa pande zote!
Hakuna atakaefaidi moja kwa moja, iwe Zitto au CHADEMA, kila mmoja atapoteza kwa kiwango chake!
Yaandaliwe mazungumzo yenye lengo la kusameheana, bila kuwekeana masharti yoyote magumu...
Nimetokea kumdharau sana Zitto.
napenda uwazi wako katika michango ya jukwaa la MMU. Nimefurahi kukukuta huku, kule huwa nakusoma bila kuchangia
Kwa usaliti alioufanya ni damage kubwa sana kwa CDM, amefanya kazi maalum na ccm ya kuiua CDM kwa malipo!Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele
Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini
so kwa nini yuko out kama ni juu ya wote think twice, chagadema ndio inamfanya awe hapo alipo vinginevyo angeendelea kupalula migebukaMkuu kuwa mkweli zitto ni miongoni mwa top 3 ya chagadema walioifikisha hapo ilipo, of course padri anaongoza na mwisho born town mbowe. Kumbuka anatuhumiwa kuwa msaliti but no evidence
Upo sahihi kabisa Ben Saanane, kuna haja ya kufanyika maridhiano kati ya CHADEMA na Zitto, kufukuzana katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu ni hatari sana kwa pande zote!
Hakuna atakaefaidi moja kwa moja, iwe Zitto au CHADEMA, kila mmoja atapoteza kwa kiwango chake!
Yaandaliwe mazungumzo yenye lengo la kusameheana, bila kuwekeana masharti yoyote magumu...
Zitto, aombe msamaha kwa kosa gani.Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele
Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini
unaweza sema yote lakini zitto hawezi kuwa na akili kuliko wote chadema its an insult he is just a mare individualIt's too late for that. Walikuwa na muda wa kutosha kufanya hivyo lakini hawakufanya. Zitto angekuwa na busara alitakiwa kufanya muufaka mapema kitu ambacho hakufanya kwa sababu ya Kiburi.
Watu wengi wanadai kuwa Zitto ana akili sana kuliko wana chadema wote. Hiyo inawezekana lakini alichokosa Zitto ni busara. Ametoa mifano ya kujilinganisha na Waziri Mkuu wa Malaysia na Hamad, kitu ambacho hajakiona their situations were different from his. Hakuna Mahali, na haijawahi kutokea taasisi ikamuomba msamaha an individual. Zitto angekuwa na busara angelijua hilo. Ametumia akili bila maarifa!
Kama chadema ingekua inaondoa maovu basi shibuda angeondoka kabla ya zitto maana alisaliti tangu sikubya kwanza alipohudhuria kuapishwa kwa JK.zitto n tishio kwa nafasi ya mbowe kama mwenyekiti.undugu,uchaga na ukatoliki ndo umemuondoa zitto CDM