Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Huwa nakuja mara chache chache sana kama hivi
Kumbe?
Naomba kura yako October.
Huwa nakuja mara chache chache sana kama hivi
Huwa nakuja mara chache chache sana kama hivi
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele
Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini
Majambazi kama.wale watekaji?
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele
Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini
Ndiyo, waliomteka Ulimboka na kumuua Mwangosi!! inauma sana......., nawaomba CHADEMA waendelee kutoa elimu ya uraia ili wananchi waelewe siasa ni kitu gani maana wenzetu wa ccm bado wanaamini kwamba wananchi ni wajinga lolote watakalosema wao ndiyo sahihi... Pole TAJIRI Pol chama chako kinaangamia.Majambazi kama.wale watekaji?
Ndiyo, waliomteka Ulimboka na kumuua Mwangosi!! inauma sana......., nawaomba CHADEMA waendelee kutoa elimu ya uraia ili wananchi waelewe siasa ni kitu gani maana wenzetu wa ccm bado wanaamini kwamba wananchi ni wajinga lolote watakalosema wao ndiyo sahihi... Pole TAJIRI Pol chama chako kinaangamia.
Hata wewe una njaa........kupigia debe kitu usichokijua!Kila siku .. Kila siku.. "Nitafanya nitafanya..'" Unadhani maamuzi Magumu MCHEZO..!
1: ukiamua kujitoa CDM.. Utaendapi... ?!,. ADC?!? Ambao wameanza kutimuana, Ccm ishawatupia kipande Cha mfupa wamechakazana majuzi, utakuja TADEA!?, CUF?!(UKAWA).. Au utaendapi Mwenye muchknow Wetu..
2: utang'angania Bunge limkingie kifua .. Lakini Ndo kweishney .. Unajua watu wengi njaa zinatusumbua.. Kila Mtu ana njaa Yake.. Kiongozi njaa kila siku maslahi Yake atayatanguliza..
Habari za ndani kabisa kutoka kwenye vyanzo vyetu vya uhakika ni kuwa mwanasiasa mahiri zitto Zuberi Kabwe yu mbioni kujiunga chama cha wanainchi Cuf, na ndie atakae simama kugombea jimbo la kigoma mjini kwa tiketi ya ukawa, na baadaye kukabidhiwa nafasi ya uenyekiti ambapo mwenyekiti wa cuf prof Lipumba hatogombea tena nafasi hiyo, ambapo kipindi hiki cha miaka 3 kitakuwa ni kipindi cha kumuandaa kuelekea kushika uenyekiti wa chama hicho, ni hivi punde tu ambapo mh zitto na prof Lipumba walifanya ziara mkoani mtwara baada ya kumaliza mazungumzo na viongozi wa kitaifa wa Cuf.
Habari za ndani kabisa kutoka kwenye vyanzo vyetu vya uhakika ni kuwa mwanasiasa mahiri zitto Zuberi Kabwe yu mbioni kujiunga chama cha wanainchi Cuf, na ndie atakae simama kugombea jimbo la kigoma mjini kwa tiketi ya ukawa, na baadaye kukabidhiwa nafasi ya uenyekiti ambapo mwenyekiti wa cuf prof Lipumba hatogombea tena nafasi hiyo, ambapo kipindi hiki cha miaka 3 kitakuwa ni kipindi cha kumuandaa kuelekea kushika uenyekiti wa chama hicho, ni hivi punde tu ambapo mh zitto na prof Lipumba walifanya ziara mkoani mtwara baada ya kumaliza mazungumzo na viongozi wa kitaifa wa Cuf.
Kumbe?
Naomba kura yako October.
je kwa lowasa ni sawa kupewa adhabu isiyokuwepo? Huku cdm wakilaumiwa kwa kumuhadhibu zitto kwa kosa lilelile?Kwani ni dhambi kuaandaa mkakati wowote kuelekea uchaguzi?? Je ni usaliti kuandaa timu ya watu wanaokuunga mkono?? Huhitaji kuwa mwanasheria kujibu tuhuma dhaifu za chadema juu ya zzk
sawa tu