Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

Status
Not open for further replies.
polojo nyingi!! mtaongea mengi sana!!!
wasomi wa TZ ni shida ni nyoka wenyemakengeza!!!
 
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele

Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini

Zitto si mlikuwa nae kwenye vile vikao vyenu vya kuangusha uongozi bado wewe sasa!!
 
Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele

Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini

leo umeongea kiungwana kabisa washauri basi na wenzako watumie akili zao kuliko kutoa matusi tuu......mwisho wa siku itakuja kuonekana mmemtimua zitto kwa majungu tu...siasa sio uadui kama Wafuasi wengi wa chadema wanavyodhani.
 
Majambazi kama.wale watekaji?
Ndiyo, waliomteka Ulimboka na kumuua Mwangosi!! inauma sana......., nawaomba CHADEMA waendelee kutoa elimu ya uraia ili wananchi waelewe siasa ni kitu gani maana wenzetu wa ccm bado wanaamini kwamba wananchi ni wajinga lolote watakalosema wao ndiyo sahihi... Pole TAJIRI Pol chama chako kinaangamia.
 
Uamuzi gani mgumu kwa wakati huu? Angefanya kabla ya kutimuliwa CDM.
Hata yule fisadi no 1 husemekana mtu mwenye maamuzi magumu. Maamuzi gani hayo? Ya kuwaibia watanzania?
 
Ndiyo, waliomteka Ulimboka na kumuua Mwangosi!! inauma sana......., nawaomba CHADEMA waendelee kutoa elimu ya uraia ili wananchi waelewe siasa ni kitu gani maana wenzetu wa ccm bado wanaamini kwamba wananchi ni wajinga lolote watakalosema wao ndiyo sahihi... Pole TAJIRI Pol chama chako kinaangamia.

R.I.P. Chacha Wangwe.
 
Kila siku .. Kila siku.. "Nitafanya nitafanya..'" Unadhani maamuzi Magumu MCHEZO..!

1: ukiamua kujitoa CDM.. Utaendapi... ?!,. ADC?!? Ambao wameanza kutimuana, Ccm ishawatupia kipande Cha mfupa wamechakazana majuzi, utakuja TADEA!?, CUF?!(UKAWA).. Au utaendapi Mwenye muchknow Wetu..

2: utang'angania Bunge limkingie kifua .. Lakini Ndo kweishney .. Unajua watu wengi njaa zinatusumbua.. Kila Mtu ana njaa Yake.. Kiongozi njaa kila siku maslahi Yake atayatanguliza..
Hata wewe una njaa........kupigia debe kitu usichokijua!
 
Uamuzi mgumu ni kuchukua kisu na kuanza kujiua taratibu.
Unaanza kujitoa kucha mpaka baadae roho
 
Habari za ndani kabisa kutoka kwenye vyanzo vyetu vya uhakika ni kuwa mwanasiasa mahiri zitto Zuberi Kabwe yu mbioni kujiunga chama cha wanainchi Cuf, na ndie atakae simama kugombea jimbo la kigoma mjini kwa tiketi ya ukawa, na baadaye kukabidhiwa nafasi ya uenyekiti ambapo mwenyekiti wa cuf prof Lipumba hatogombea tena nafasi hiyo, ambapo kipindi hiki cha miaka 3 kitakuwa ni kipindi cha kumuandaa kuelekea kushika uenyekiti wa chama hicho, ni hivi punde tu ambapo mh zitto na prof Lipumba walifanya ziara mkoani mtwara baada ya kumaliza mazungumzo na viongozi wa kitaifa wa Cuf.

Ikithibiti kuwa hivyo ni uamuzi sahihi zaidi ya Kwenda ACT.
 
Habari za ndani kabisa kutoka kwenye vyanzo vyetu vya uhakika ni kuwa mwanasiasa mahiri zitto Zuberi Kabwe yu mbioni kujiunga chama cha wanainchi Cuf, na ndie atakae simama kugombea jimbo la kigoma mjini kwa tiketi ya ukawa, na baadaye kukabidhiwa nafasi ya uenyekiti ambapo mwenyekiti wa cuf prof Lipumba hatogombea tena nafasi hiyo, ambapo kipindi hiki cha miaka 3 kitakuwa ni kipindi cha kumuandaa kuelekea kushika uenyekiti wa chama hicho, ni hivi punde tu ambapo mh zitto na prof Lipumba walifanya ziara mkoani mtwara baada ya kumaliza mazungumzo na viongozi wa kitaifa wa Cuf.

Mtwara kwenyewe walitibuana na Lipumba! Aende haraka na tunamtakia kila la heri
 
Kwani ni dhambi kuaandaa mkakati wowote kuelekea uchaguzi?? Je ni usaliti kuandaa timu ya watu wanaokuunga mkono?? Huhitaji kuwa mwanasheria kujibu tuhuma dhaifu za chadema juu ya zzk
je kwa lowasa ni sawa kupewa adhabu isiyokuwepo? Huku cdm wakilaumiwa kwa kumuhadhibu zitto kwa kosa lilelile?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom