Zitto: Nina sharti moja tu kurudi CHADEMA

Zitto: Nina sharti moja tu kurudi CHADEMA

Tena sio tu pekee Zitto kurudi bali tunataka pia na Kafulila, Moses Machali na Felix Mkosamali wote warudi CHADEMA, Siasa ni pamoja na kusamehana kwa maslai mapana ya taifa.

Naomba viongozi wangu wa CHADEMA taifa, wasikie kilio cha sisi wanachama wao.

Shardcole,

Umeongea kiuanamageuzi ....Nimekusoma.Sitaandika zaidi ya hapa !....
 
Last edited by a moderator:
Hivi Chma ndicho kilimtuma LISSU aende kwenye media kutangaza kuwa ZITTO ni msaliti? LEO LISSU ataficha wapi uso Mume wake ZITTO anaporudi?

Naona wewe unachanyanya katiba ya ccm naya Chadema hujui unachokiongea
 
Ugomvi na migongano ni hali ya kawaida kwa binadamu, namsihi ZZK arudi Chadema, Chadema nao wampokee pasipo masharti yyt magumu, sina uhakika km Mbowe atahitaji kugombea uenyekiti tena wa chama baada ya kipindi hiki kupita, hivyo nashauri Zitto aandaliwe kuwa mwenyekiti anaefuata baada ya Mbowe kipindi chake kuisha...kumbuka Zitto ni mwanaharakati na anao wafuasi wengi ndani ya chama
Nawasilisha

sure!!!
 
watumie nadharia ya mtenguo wakijua kuwa jembe halikung'utwi ukumbini. huo mjadala auendeshe Dr.slaa
 
Kauli kama yako hiyo hazimsaidii ZZK bali zinamharibia; hatukatai kwama ZZK ni mwasiasa mahiri; bali hata yeye anajua "he needs a vehicle" and a strong vehicle; a 6x6WD; like CDM to achieve his political ambitions; kubali usikubali; ndio maana hata yeye mwenyewe alimshukuru Cmdr Mbowe kwa namna ya kipekee kwa ushirikiano wake katika sakata la Escrow; bila moral, political and intellectual support waliyompa Wanaukawa, asingetoboa; believe me you!! Ma CCM walikuwa tayari kumchinjia baharini; lakini ile collective voice; strong arguments; patriotic verve; viliwatisha Ma CCM mpaka wakakubali ku-compromise that much kiasi kwamba wamebaki lame ducks! wanaugulia maumivu ya ngumi za uso kutoka UKAWA

Usimuharibie ZZK; mwacheni afanye informed decisions pasi na ushabiki mandazi na fitina!

MTK mkuu una akili na upeo mkubwa sana, hongera yako
 
Last edited by a moderator:
Zitto arudi CHADEMA kwani alitoka?

Anavyoingia bungeni anaingia kama mbunge wa chama gani?
 
Naomba kuweka wazi...

Hakuna aliye juu ya chama.Kuna watu wanatafuta kutaka kuwa maarufu kuliko chama.

Zitto akitaka kurudi Chadema anapaswa kuomba radhi ajutie makosa yake na huu ndiyo msimamo rasmi.

Katiba ya chama iko wazi.Kukipeleka chama mahakamani ni kujifukuzisha mwenyewe ndani ya chama.
Chadema imuombe radhi hadharani Zitto kwa kumsingizia.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
“Kinachoendelea ndani ya chama chetu ni mapambano ya kukuza demokrasia. Ni mapambano baina ya wapenda demokrasia dhidi ya wahafidhina; waumini wa uwajibikaji dhidi ya wabadhirifu; na wapenda siasa safi dhidi ya watukuzao siasa majitaka

Duuu! Haya maneno yatakuwa yameeditiwa na hilo gazeti si maneno ya Zitto
 
Media zitamuharibia Zaidi Zitto asipokuwa makini... Ile Taarifa ya Upelelezi dhidi yake ilikuwa na ukweli mtupu 100%, mikakati yao dhidi ya CHADEMA akiwatumia Shonza, Mwampamba et al unajulikana... Fedha kutoka CRDB hadi Ujerumani na kurejea kwake na kasha kuzitawanya via Mpesa, Tigo Pesa zinajulikana...

Ada ya MJA hunena Uungwana ni vitendo... Aombe msamaha kiutu uzima, then awekwe under probation ... then afanye juhudi za makusudi kukijenga chama ...
Unaongea kama vile huna kichwa cha kufikiria.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
chadema_clip.jpg


KWA UFUPI



Kuhusu taarifa za kujiunga kwake na chama kipya cha ACT-Tanzania alisema, “Hizo ni taarifa ambazo hazina ukweli wowote.”

”

CHANZO: Mwananchi

....Hahahaaaaa! Zittto bwana kiboko. Hivi Profesa keshajibu onyo aliloandikiwa na vijana wenye chama?
 
Naomba kuweka wazi...

Hakuna aliye juu ya chama.Kuna watu wanatafuta kutaka kuwa maarufu kuliko chama.

Zitto akitaka kurudi Chadema anapaswa kuomba radhi ajutie makosa yake na huu ndiyo msimamo rasmi.

Katiba ya chama iko wazi.Kukipeleka chama mahakamani ni kujifukuzisha mwenyewe ndani ya chama.

Ameomba kujua kosa lake, Hilo unalosema wewe unataka akubali kosa ambalo hajafanya kisa arudi Kwenye chama, haiwi wala haitokua..
 
Naomba kuweka wazi...

Hakuna aliye juu ya chama.Kuna watu wanatafuta kutaka kuwa maarufu kuliko chama.

Zitto akitaka kurudi Chadema anapaswa kuomba radhi ajutie makosa yake na huu ndiyo msimamo rasmi.

Katiba ya chama iko wazi.Kukipeleka chama mahakamani ni kujifukuzisha mwenyewe ndani ya chama.

Halafu eti anataka kuombwa radhi huyu mimi nashindwa kumwelewa anataka utukufu bado hajajutia ngoja uchaguzi ujao upite na yeye asote mtaani tuone kama ccm watampatia nini.
 
Siasa no ushenzi tu. Vyovyote itakavyokia lazima ukubaliane mayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom