raster kipara
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 218
- 43
Kwenye ukweli lazima tuseme,Tangu waondoke akina Zitto CHADEMA imeonekana kupoteza mwelekeo,Kinapoteza mvuto kwa wananchi na viongozi wengi hawana mvuto kwa wananchi,Angalau Dr Slaa wanamsikiliza lakini hawa wengine ni wepesi mno kisiasa.Zitto bado anakubalika na watu wengi hasa maeneo ya mbali na mijini ambapo ndipo kuna wapiga kura wengi ambao wanampenda mtu na sio chama.Zitto arudishwe chamani haraka na wala hili swala haliitaji mjadala.
😱 hii ni amri kutoka mahakamani ama kwako? Mijitu mingine ni maescro jike