Alhamdulillah, nilitoa maoni kama hayo hapaTarehe 10 mwezi disemba nitakuwa Swiss kufuatilia zaidi hili swala na wachunguzi ambao wananisaidia kwenye hili.
Kwanini ZZK asilisimamie hilo suala yeye mwenyewe? Nani alisema raia hawezi kwenda kufungua kesi Uswiss ili pesa zirudi. Prof. Mark Pieth ni raia wa Uswiss ambaye alifungua kesi kupinga uamuzi wa serikali ya Uswiss kutaka kurudisha pesa kwa familia ya Mobutu badala ya serikali ya DRC. Bahati mbaya kesi ilitupiliwa mbali kwakuwa yeye hakuwa ni raia wa DRC
Kutoka kipindi cha mahojiano asubuhi hii ITV Zitto Kabwe ametangaza kumuunga mkono Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Kinana kwa uamuzi wake wa kukataa na kukataza wanaccm kuitana waheshimiwa. Anasema tulipoacha kuitana Ndugu ndipo matabaka na kasi ya kujilimbikizia Mali na madaraja katika utoaji huduma ilipoanza. Je, Ndugu ni physchological factor katika kujenga nchi moja. Tuendelee na mjadala.
Kutoka kipindi cha mahojiano asubuhi hii ITV Zitto Kabwe ametangaza kumuunga mkono Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Kinana kwa uamuzi wake wa kukataa na kukataza wanaccm kuitana waheshimiwa. Anasema tulipoacha kuitana Ndugu ndipo matabaka na kasi ya kujilimbikizia Mali na madaraja katika utoaji huduma ilipoanza. Je, Ndugu ni physchological factor katika kujenga nchi moja. Tuendelee na mjadala.
Hilo Dr.alilisisitiza kwenye kampeni za 2010 ,siyo jipya ,kama kinana kaona zuri kuiga siyo mbaya
We are not Kids! Huyu ndiye alikuwa anamtetea Mhando na huyo ndiye aliruhusu huo wizi bila wasiwasi wowote. Sasa anakimbilia kwenye TV huku uso umepauka kwa Hofu ya sakata lote kumuhusisha yeye mwenyewe siku zijazo!
Zitto hawezi kuaminika ana agenda mia moja ambazo hazifikishi popote bali misifa. Mara fedha zilizoko nje ana hataki kuwataja eti anasema ni kupoteza muda wakati huo huo anaonyesha hana imani na utekelezaji wa serikali sasa anachosema ni nini?
Siku zote alikuwa wapi kujua Tanesco kuna wizi hadi Mkaguzi ameonyesha. Wizarani walipo mwambia yeye akakimbia kumtetea Mhando tatizo ka kuwa Mnafiki litamfuata . Halafu etui anamalizia kwa kusema kuwa anataka urais sasa kichekesho cha mwaka!! Uliwahi kuona chama gani cha upinzani wakamteua a double agent kupeperusha bendera yao?