Zitto, Makamba wautaka urais?

Alisema Malcom X "I
know the essence of
brotherhood and I know what it
feels like fighting for the right of
your people but I'll stand and
fight for those who recognise my
efforts and those who
appreciates it and here I need
not applying the sense of
brotherhood but the sense of
togetherness" sasa kama
...haya ni maneno ya hekima kutoka kwa mtu mwenye heki...
 
Katika matatizo mazito yanayolikabili taifa letu wao wameona umri wa kugombea urais ndio numero uno!!!! kweli shangaeni ya musa muyaone ya firauni.
uwe unafuatilia habari nzima na ikiwezekana uwe unaenda kwenye chanzo ili kuipata kwa undani mh.zitto ameainisha mambo mengi kama kujadili masuala ya vijana kwenye katiba mpya, kwamba watu wafanye kazi kwa bidii maana katiba mpya sio jibu la kila tatizo,n.k sasa ww unadokoa kapoint kamoja unafanya issue!! pia kugombea uraisi ni haki yao kikatiba na maoni ya umri kupunguzwa ni yao sasa yajadili nini athari za umri kupunguzwa au kuongezwa nk huyo ndio great thinker!!
 

umezungumza utumbo mtupu. potelea hewani yahawani.
 
inlalilahi wa inlailaihi rajiuun! Wewe ni wa kusamehewa tu
 
hapo kwenye red, kama ndio hoja zinazowafanya waanzishe chama chao basi wana uzee wa fikra hata kama wao ni vijana wa umri, ila kama ni mtazamo wako, basi uwezo wako wa uchambuzi umekukwamisha
 
Da zitto anawanyima usingizi.Watanzania tuache ushabiki usio na maana.Songa mbele Zitto..
 
Zito anajibagua sana na wana mabadiliko wenzake,tulisha mzoea yule,nafikiri udini unamsumbua sijui kwa nini asirudi ccm
Zitto sio mdini, hajawahi kuwa mdini, na siamini kama anaweza aka entertain upu.uzi kama huo. Lakini cha zaidi ni kuwa yupo kwenye chama ambacho UDINI ni dhambi mbaya inayofanana na kuua.
Udini upo kwenye chama chetu cha wananchi
 


Acha dharau na kumpaka matope Zitto yeye mwenyewe nimewahi kumsikia BBC akisema yeye kazaliwa kwa Mama yake Shida ambaye hajasoma na maskini iweje leo adharau wenziye
 
sioni tofauti ya raisi mwenye umri above 40 katika utendaji na uwezo wake wa kisiasa (kikwete), na uwezo wa vijana wengi wa cdm katika masuala mazima ya siasa. therefore umri si dhani wala sioni kuwa ni busara kumzuia mtu ili hali watu wengu wamemkubali na wakapenda awaongoze.think big and work less
 
Mkuu kwenye itikadi hapo; Zitto na January wana itikadi moja in common: Wote wanapinga posho za vikao ila hao makamanda wengine unaosema hawana nia thabiti ya kuzipinga posho.
kweli kabisa....
 
Zito Kabwe ni mtetezi wa Wanyonge namkumbuka akiwa Kigoma Sekondary alifukuzwa shule baada ya kuendesha mgomo lakini baada ya yeye kuwa sadaka mambo yalibadilika pale shuleni yakawa mazuri badala ya kula mahalage yaliyooza kikaletwa chakula kizuri ameendelea kufanya hivyo hata Bungeni. Ninyi mnaojiita wanaCDM acheni kumkatisha tamaa mtanzania huyu aliyetumwa na Mungu kuamsha hiki Kizazi.Bravo Zito Kabwe Mungu akubariki sana!
 

Hao waliokuwa Marais (Mwinyi, Mkapa na Kikwete) wakiwa na zaidi ya miaka 40 wote wameiingiza nchi kwenye Mkenge, naunga mkono umri wa kugombea Urais upunguzwe kuanzia 2015 ili hata walio na miaka 35 nao waweze kugombea.
 
Ukiacha John Mnyika hao vilaza wengine akina Lema,Msigwa,Sugu et al Zitto ataongea nao nini? Apoteze muda kufuatana na mbumbu ili iweje sasa? Nafurahia sana Urafiki wa Zitto na January wote wako Smart Kichwani!
 
hao vilaza wawili wafanye mpango waunganishe vyama vyao,mambo mengine inabidi ufikirie kabla ya kutenda,hivi tangu lini sera za ccm zikaendana na za ccm??
 
Mkuu najua kuwa Watanzania wengi wanapata take home chini ya hiyo na wanaishi. Kama nisemayo ni sawa basi ina maana Watanzania wanaopata take home chini ya 700,000.00 wote ni mafisadi? Mkuu kwa maana nyingine Taifa la Watanzania limejaa mafisadi?
 
Kwa kweli kuna walakini wa jamaa kuuza timu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…