Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
hapo kwenye red, kama ndio hoja zinazowafanya waanzishe chama chao basi wana uzee wa fikra hata kama wao ni vijana wa umri, ila kama ni mtazamo wako, basi uwezo wako wa uchambuzi umekukwamisha
Sijasema wanaanzisha chama kwa sababu ya hoja hizo mbili basi. Lakini kumbuka mkuu itikadi ndizo huwaunganisha wanasiasa. Kama itikadi dhidi ya posho haiwezi kutekelezeka ndani ya CDM ama CCM ni kwa nini wasitafute magala pa kwenda kuitekelezea?