Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,930
- 14,506
Aibu utaona wewe baada ya kuonya juu ya Upigaji wa CHADEMA sasa ni uthibisho tosha tone kwa tone ilishatimia mda mrefu na viongozi hawataki tena kutoa feedback kwa wananchi kwani wanahisi watasanuka ili wasichangie zaidi.
Katika kipindi chote cha tone kwa tone hakuna kiongozi aliyejitokeza kushukuru wqnanchi viongozi walivyoonq pesa zimetimia wamepiga kimyaaa wanazitumbua tuu.
CHADEMA mmebaki na nafasi moja ya kukinusuru Chama chenu nayo ni Baraza kuu la chama litakalofanywa September ambalo kwa aina ya wajume linaenda kumfukuza John Heche kwani ndiye anayetajwa zaidi na wajumbe anatumia chama Kujinufaisha.
Katika kipindi chote cha tone kwa tone hakuna kiongozi aliyejitokeza kushukuru wqnanchi viongozi walivyoonq pesa zimetimia wamepiga kimyaaa wanazitumbua tuu.
CHADEMA mmebaki na nafasi moja ya kukinusuru Chama chenu nayo ni Baraza kuu la chama litakalofanywa September ambalo kwa aina ya wajume linaenda kumfukuza John Heche kwani ndiye anayetajwa zaidi na wajumbe anatumia chama Kujinufaisha.