DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Ooooh....aaaagh zitto atatuletea shida wana cdm
Maikitika kusema kuwa vijana hawa wawili ZITTO na JANUARY wana lao jambo......Naweza kusema kuwa wana uchu wa madaraka...HIVI JAMANI ikulu kuna nini? Mbona kila mtu anataka kukumbilia pale? ZITTO anampango wa kuibomoa CDM ndio maana ameona aanze mkakati wa kuingiza suala la umri wa uraisi kwenye katiba. Tukumbuke ni ZITTO huyu huyu aliwahi kuwaambia wapiga kura wake kule Kigoma kuwa mwaka 2015 hatagombea tena Ubunge bali Urais. Hivi ni nani amemuakikishia kuwa CDM watamteua yeye kuwa mgombea wao wa Urais ? Kwanza kwa umri wake alio nao kama katiba mpya isipo afiki swala la umri wa miaaka thelathini na tano kwa mgombea urais hatan kidhi vigezo maana atakuwa na miaka 39 tu!!! Tujiulize sasa je? Hakuna mkono wa mtu hapo!!! KUONAO nasema KUNAO!!! Mtizame anavyoshirikiana na Magamba Sikatai kushirikiana ila tujiulize mbona ukaribu wake na magamba ni mkubwa kuliko hata wake na Makamanda wenzake wa CDM??? ''''' HILO ANGALIZOooooooooooooooooooooooooooooooooooo''''
MNATUPOTEZEA MUDA NA THREAD ZA KIPUUUZI NANI KATIKA NCHI HII ATAMPA ZITTO URAISI NANI??HATA CDM HATUWEZI KUMCHAGUA SIO TUU KUGOMBEA URAISI HATA UBUNGE 2015 HATUMTEUI LABDA AENDE NCCR KAMA SHEMEJI YAKE KAFULILA ILA CDM HATUMTEUI HATA KUGOMBEA UBUNGE
TOENI MADA ZA KUPOTEZA MUDA TUNAFANYA KAZI KUSOMA UPUUUZI,ETI ZITTO NA MAKAMBA ,MAKAMBA KWANZA SI MGONJWA 2015 ATAFIKA KWA AFYA YAKE UNADHANI??MWANGALIE VIZURI MTU ANATEMBEA KAMA ATAANGUKA KESHO
MASABURI NYiE
baada ya kugundua?nawashangaa wanaoshangaa ukaribu wa zitto na makamba january, hawa wote si walichaguliwa ili watusaidie isitoshe serikali imewachagua kwenye kamati mbali mbali bila kujali tofauti zao, wamegundua madudu mengi kwenye mawizara na kuokoa pesa nyingi zilizokuwa zinapotea, hivyo wako wako sahihi
Mkuu Zitto ni Zitto n JMK ni yeye, walizaliwa tofauti na wanafanya kazi tofauti na wameishi na kulelewa tofauti na hata upeo wao wa uelewa ni tofauti. Kumhukumu Zitto kwa makosa ya JK ni UTAPIAMLO wa akiliMkuu, hata jk wakati anaomba kuingia ikulu aliahidi kuipitia upya mikataba ya madini kwa lengo la kuiboresha, hiyo ilionekana kuwa ni maslahi ya taifa, ameshaipitia?
Hili shuzi kawapelekee wapumba.vu wenzio sio great thinkersMNATUPOTEZEA MUDA NA THREAD ZA KIPUUUZI NANI KATIKA NCHI HII ATAMPA ZITTO URAISI NANI??HATA CDM HATUWEZI KUMCHAGUA SIO TUU KUGOMBEA URAISI HATA UBUNGE 2015 HATUMTEUI LABDA AENDE NCCR KAMA SHEMEJI YAKE KAFULILA ILA CDM HATUMTEUI HATA KUGOMBEA UBUNGE
TOENI MADA ZA KUPOTEZA MUDA TUNAFANYA KAZI KUSOMA UPUUUZI,ETI ZITTO NA MAKAMBA ,MAKAMBA KWANZA SI MGONJWA 2015 ATAFIKA KWA AFYA YAKE UNADHANI??MWANGALIE VIZURI MTU ANATEMBEA KAMA ATAANGUKA KESHO
MASABURI NYiE