zitto ni wa kumtilia shaka na hata viongoz wa chadema wanalijua hlo kama mnakumbuka jamaa alikuaga MESSI wa chadema ila kwa sasa wanamuona TORES tu(mnafatilia mpra mtaelewa na maansha nini)..
na msije mkajidanganya kuhusu juz alivoongozana na mnyika kwenda tanga,kumbuka alikua na ajenda yake binafsi(mkonge)..
na kifupi hata viongozi wa chadema washamsoma ndo maana hawampi kipaumbele kabisa kama zaman..
angekua anakitakia chama mazur asinge simama mwaka 2010 jimbon kwake na kuwambia wananchi wampigie kura kikwete wakat chama chake kinawakilishwa na slaa..alafu alipoulizwa akajitetea kwa hoja dhaifu kama vile ni mwanafunzi wa "DARASA LA PILI-D" ,eti "kikwete amelifanyia mengi jmbo langu"..
kwa hili CCM wamecheza kama pele walijua mshikaj atawasumbua sana,wakaanza kumlainisha taratibu na sasa kalainika kabisa,msije mkashangaa hata ndani CDM siku za uson wakamyima hata uongoz..
CHARACTERISTICS ZA ZITTO:-
1.mbinafsi..
2.mpiganaji wa uongo..
3.anafanya siasa kwa kukza jina lake,na sio kwa maslahi ya chama chake au taifa lake..
4.anajiona great kuliko mtu yeyote pale CDM..