Zitto, Kwenye hili tayari umeshinda!

Zitto, Kwenye hili tayari umeshinda!

Mchange watu wamechafua sana kwa ajili ya maslahi yao na walifanya hivi tangu 2009 tukawanyamazia sasa wanataka kufanya mazoea.Bado wanachama tunaimani kubwa sana na Zitto na tunajua upambanaji wake na ujenzi wa chama tangu enzi hizo CHADEMA hakina ruzuku ya kutosha.Respect kwako Zitto na hakyanani tutakufa na wewe.uchaguzi huu lazima kieleweke na wala hatutishwi na hao wapangaji kina lema na Nassari.au na sisi tuyamwage ya kwao hapa?
Kwanza waeleze waliyowahi kuyafanya kwa watanzania na sio kubishana na mtu wasiyemkaribia hata robo ya utumishi wake kwa watanzania.

mimi mchange sawa wewe ni nani mwenzangu?
 
Mkuu umesahau kuwa unaweza kujenga nyumbani ukaitelekeza mpangaji akawa anaifanya usafi na akawa na uchungu nayo sababu yeye ndo anaishi humo, Tuthibitishie kuwa ulikuwa hupewi 150000 na Zitto.
Khaa!! hoja ya kitoto sana. Mnatawaliwa hadi mnakosa akili ndogo tu ya kujua mazingira. Kuweni huru bana hadi mmenza kutuboa sana :A S 39:
 
utakuwa una matatizo sio bure.
chama makini kinawezaje kuacha kiongozi wake mmoja (naibu katibu mkuu) amachafuliwa chenyewe kinakaa kimya?.

umeona wapi huo umakini wa chama cha namna hiyo?

lazima chama ama kikubali au kiikatae taarifa inayomusu kiongozi wake.

hawafanyi hivyo kwa kuwa nyuma ya hili nyupo MBOWE NA SLAA NA TIMU YAKE.

Ukisikia unafiki ndio huu.Hivi ulipokua unawachafua viongozi wa juu kwenye mtandao uliona mahali popote chama kilitoa tamko?

Afterall,Mambo ya CHADEMA na jinsi kinavyo-solve matatizo yake hayakuhusu maana wewe sio mwanachama tena
 
Kheeh! Unampa sifa asizostahili.

Point of correction:Mleta mada si mwanachama wa CHADEMA.

Aliwahi kuwa mwanachama lakini akafukuzwa kwa tuhuma za usaliti na kuhujumu chama baada ya tuhuma kuthibitishwa pasipo na shaka(beyond reasonable doubt)

Nawewe mbona ulituhumiwa ukakiri kama yeye lakini ukasamehewa...! Ni kwasababu ulihama kambi ndio maana uka samehewa ama kituganikilisababisha wewe usamehewe Habib afukuzwe!
 
Mkuu umesahau kuwa unaweza kujenga nyumbani ukaitelekeza mpangaji akawa anaifanya usafi na akawa na uchungu nayo sababu yeye ndo anaishi humo, Tuthibitishie kuwa ulikuwa hupewi 150000 na Zitto.
NInavyojua katiba za vyama vyote ni kuwa kila mwanachama ana haki sawa na mwingine, hakuna provision ya ku-kumvumilia au kutomvumilia mwanachama kwa sababu ya ugeni au ukongwe wake katik chama. CUF iliasisiswa na akina Fundikira huku bara, wakatupwa walivyoenda tofauti na malengo ya CUF, na sasa ipo inadunda ikiongozwa na wale ambao hawakuiasisi tena imekubalika visiwani zaidi na inaelekea kubadilisha kabisa siasa za Zanziba katika suala la Muungano. CHADEMA ya sasa si ya viongozi bali ishakuwa ni ya watanzania. Kijana wa bodaboda anaweza kuifia CHADEMA kwa upenzi hata bila kuwa na kadi au kushawishiwa na Zitto. Machange achana kabisa na tabia za kumjaza ujinga mwenzinu kwa kumvika kilemba cha ukoka naye akalimbuka na kuvimba kichwa.
 
Ukisikia unafiki ndio huu.Hivi ulipokua unawachafua viongozi wa juu kwenye mtandao uliona mahali popote chama kilitoa tamko?

Afterall,Mambo ya CHADEMA na jinsi kinavyo-solve matatizo yake hayakuhusu maana wewe sio mwanachama tena

Hata avatar hajabadilisha, ana ndoto ya kurudi chadema
 
Mimi ni mwanachama na Mchange anahoja ya msingi sana kwenye hili.haiwezekani naibu katibu mkuu achafuliwe then chama kiwe kimya kabisa.Mbona yale ya CCm huwa mnayashupalia kwenye TV haraka hata kama ni uzushi mdogo?
Sisi ndio wanachama na tumaumia jinsi huu mchezo unavyopelekwa kisa tu uongozi.shame on u guyz
Ukisikia unafiki ndio huu.Hivi ulipokua unawachafua viongozi wa juu kwenye mtandao uliona mahali popote chama kilitoa tamko?

Afterall,Mambo ya CHADEMA na jinsi kinavyo-solve matatizo yake hayakuhusu maana wewe sio mwanachama tena
 
Nawewe mbona ulituhumiwa ukakiri kama yeye lakini ukasamehewa...! Ni kwasababu ulihama kambi ndio maana uka samehewa ama kituganikilisababisha wewe usamehewe Habib afukuzwe!

Sote tulipewa adhabu.Nilisimamishwa kugombea nafasi ya uongozi mwaka mmoja na nilikata rufaa kwa mujibu wa katiba ya chama chetu

Majibu yapo humu,yatafute
 
Sote tulipewa adhabu.Nilisimamishwa kugombea nafasi ya uongozi mwaka mmoja na nilikata rufaa kwa mujibu wa katiba ya chama chetu

Majibu yapo humu,yatafute

Kwa nn yeye alipewa adhabu kubwa sana ya kufukuzwa uanachama?!,hivi kosa lake lilikuwa kubwa kuliko lako la kuwa kwenye kundi la usaliti kisha ukasepa kwa gia kwamba ulitumwa uwapeleleze wenzako?!
 
utakuwa una matatizo sio bure.
chama makini kinawezaje kuacha kiongozi wake mmoja (naibu katibu mkuu) amachafuliwa chenyewe kinakaa kimya?.

umeona wapi huo umakini wa chama cha namna hiyo?

lazima chama ama kikubali au kiikatae taarifa inayomusu kiongozi wake.

hawafanyi hivyo kwa kuwa nyuma ya hili nyupo MBOWE NA SLAA NA TIMU YAKE.

Ngoja nikupe kamfano kadogo tu; Je tuhuma za Kinana kujinyakulia mashine za kufulia za hospitali na kwenda kufungua Dry Cleaner yake pale A-Town na kashfa ya meno ya tembo zilikanushwa na Chama, JK au yeye mwenyewe? Kwa nini issue ilibaki kuwa yake binafsi? Au kashfa ya Madabida na kusambaza dawa feki za ARV kwa mapesa kibao, zilikanushwa na chama au yeye binafsi? Jibu haya kisha tuone nani ana matatizo? Au na wewe umo kwenye list ya wabomoa CDM, mmeona mission imefail mnataka mfe nayo ukingoni?
 
Mimi ni mwanachama na Mchange anahoja ya msingi sana kwenye hili.haiwezekani naibu katibu mkuu achafuliwe then chama kiwe kimya kabisa.Mbona yale ya CCm huwa mnayashupalia kwenye TV haraka hata kama ni uzushi mdogo?
Sisi ndio wanachama na tumaumia jinsi huu mchezo unavyopelekwa kisa tu uongozi.shame on u guyz
FirstLady,
Hii habari za Zitto kuchafuliwa hatujaiona kwenye tv wala kwenye gazeti. Bali tuliona Zitto akijibu tuhuma za kwenye mitandao kwenye magazeti.
Kama zingeonekana kwenye TV au Magazeti naamini CHADEMA kupitia kurugenzi ya habari ingejibu haraka.
 
Mimi ni mwanachama na Mchange anahoja ya msingi sana kwenye hili.haiwezekani naibu katibu mkuu achafuliwe then chama kiwe kimya kabisa.Mbona yale ya CCm huwa mnayashupalia kwenye TV haraka hata kama ni uzushi mdogo?
Sisi ndio wanachama na tumaumia jinsi huu mchezo unavyopelekwa kisa tu uongozi.shame on u guyz

hivi mnataka chadema itoe matamko mara ngapi?mnyika kashawapa go ahead zitto na huyo sijui h*w*ra ake waende mahakamani sababu cdm hawahusiki na ripoti ile!!!acha hasira mama..
 
Msome jamaa kwene FB na Twitter dakika kama 30 zilizopita


Zitto Kabwe · 29,799 followers
22 minutes ago via mobile ·

[h=5]Mwisho wa uongo ni aibu. Siasa za uongo hazilipi. Lazima mtu mmoja ajitoe muhanga kukomesha siasa za uongo na utungaji hekaya. Nimeamua kuchukua wajibu huo kuokoa nchi kutoka kwenye makucha ya siasa za uongo, uzushi na uzandiki. Iwe fundisho kwa vifaranga na mama zao. Mabadiliko ni hoja na kusimamia hoja za umma na sio utungaji wa hekaya dhidi ya washindani wako kisiasa.

[/h]

Awe makini na uhai wake tu. Cc Ben Saanane, Yericko Nyerere, Ritz, chama.
 
Last edited by a moderator:
avatar17497_3.gif
 
Kwa nn yeye alipewa adhabu kubwa sana ya kufukuzwa uanachama?!,hivi kosa lake lilikuwa kubwa kuliko lako la kuwa kwenye kundi la usaliti kisha ukasepa kwa gia kwamba ulitumwa uwapeleleze wenzako?!
mbona huulizi kwa nini zitto hakufukuzwa?
 
Mkuu unajitambua kweli wewe?? Kasi gani ya CDM unayoizungumzia wewe? Uzushi na uwongo ndo kasi ya kuijenga CDM? Kumbuka kuwa CDM ina watu waliowekeza akili na muda wao kufika hapo ilipo leo hii. Imefikia mahali pazuri wanakuja mbarara kama Lema na Nasari bila kutadhimini mchango wa waliotangulia na kuanza kuwazushia uwongo! Kubali au kataa kasi iliyopo CDM sio ya kujenga bali ni ya kubomoa ambayo ndio unaizungumzia wewe.

Mkuu usitishwe na vitimbi vya mtandaoni, unayoyaona humu ni tofauti na uhalisia. CHADEMA ni imara kuliko unavyodhani. Wamefukuzwa akina Mchange, Juliana Shonza, Mtela Mwampamba kwa kukiuka kanuni za chama, lakini chadema haijatetereka, bali imeongeza kasi ya raia kuwa na hasira na mfumo wa chama tawala na kujiunga kwa wingi na CHADEMA.

Haya ya mtandaoni hayana madhara. Zitto analalamika amepigwa mishale mingi ameumia, tunamwambia ndiyo kukomaa kisiasa na kiuongozi, lakini kama mishale yenyewe yana ukweli basi atatakiwa kujitathmini.
 
Last edited by a moderator:
waambie sasa WAGAZA wenzio waache kumchafua kwa majina bandia.
unajidai upo neutral kwa verified user ukiingia porini unamtukana.
lazima tubadilike

Kwenye siasa za kibongo usichafuliwe wewe nani? Zitto ni nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom