Nimeshangazwa na Zitto kumwandikia Dr. Slaa barua tarehe 10-11-2013
wakati Mnyika alishafafanua kwa e-mail kwenda kwa andrea na kum-c.c Zitto tarehe 09.11.2013
wacha tuweke kila kitu wazi hapa ili tuheshimiane
lema ni mpangaji chadema wakati zitto ni mwenye nyumba, unabisha?Mchange,
Kwa tamthilia yako hii hautaweza kupunguza kasi ya chadema kuendelea kujijenga na kuwakomboa watanzania ambao wamewekeza imani zao kuhakikisha chadema inakuwa mbadala wa ccm.
Zitto is doing good on his part.
Kaka Mchange, that is totally craap!!
Bei MbayaNimeshangazwa na Zitto kumwandikia Dr. Slaa barua tarehe 10-11-2013
wakati Mnyika alishafafanua kwa e-mail kwenda kwa andrea na kum-c.c Zitto tarehe 09.11.2013
Mchange, kwa vile unamuidolize Zitto kisiasa, kwanini basi hauigi akili zake? Kwa yote uliyoyasema umesahau jambo moja; siasa siyo nyumba kwamba mmoja ni mjenzi, mwingine mpangaji. Siasa na vyama vya siasa ni process, zinabadilika na zinabadilishwa kwa mchango wa watu wengi sana. Bila kujali umeanza lini au umeingia lini, wenye mafanikio kwenye siasa kwao historia ni vehicle ya kujifunza ili wasonge mbele kwa mafanikio kwa kutumia akili nyingi.
Umeshindwa kujua kuwa siasa hubadilika kama nyakati zinavobadilika umebakia kulilia historia za vyama. Zitto ameanza siasa miaka ya 2000, utawasemaje akina Mbowe walioanza na Chadema miaka ya 1990? Kwa akili zako zilivo fupi, unataka kuenzi historia ya Zitto bila kujua akina Mbowe walishasacrifice hadi ubunge ili wakagombee urais wanaojua watashindwa ali kusudi chama kipate nguvu?
Sasa kama Zitto ni mjenzi wa nyumba, Mbowe atakuwa nani? Wewe akili ni ndogo, siasa si nyumba. Lema kaingia juzi kwenye Chadema lakini mchango wake unaweza ukawa na impact kuliko yule wa miaka kumi au ishirini kwenye chama. Na yule wa siku nyingi akifanya blunder ya kuharibu chama historia haiwezi kumsaidia. It is the survival of fittest, political selection, stupid.
Mchange, kwa vile unamuidolize Zitto kisiasa, kwanini basi hauigi akili zake? Kwa yote uliyoyasema umesahau jambo moja; siasa siyo nyumba kwamba mmoja ni mjenzi, mwingine mpangaji. Siasa na vyama vya siasa ni process, zinabadilika na zinabadilishwa kwa mchango wa watu wengi sana. Bila kujali umeanza lini au umeingia lini, wenye mafanikio kwenye siasa kwao historia ni vehicle ya kujifunza ili wasonge mbele kwa mafanikio kwa kutumia akili nyingi.
Umeshindwa kujua kuwa siasa hubadilika kama nyakati zinavobadilika umebakia kulilia historia za vyama. Zitto ameanza siasa miaka ya 2000, utawasemaje akina Mbowe walioanza na Chadema miaka ya 1990? Kwa akili zako zilivo fupi, unataka kuenzi historia ya Zitto bila kujua akina Mbowe walishasacrifice hadi ubunge ili wakagombee urais wanaojua watashindwa ali kusudi chama kipate nguvu?
Sasa kama Zitto ni mjenzi wa nyumba, Mbowe atakuwa nani? Wewe akili ni ndogo, siasa si nyumba. Lema kaingia juzi kwenye Chadema lakini mchango wake unaweza ukawa na impact kuliko yule wa miaka kumi au ishirini kwenye chama. Na yule wa siku nyingi akifanya blunder ya kuharibu chama historia haiwezi kumsaidia. It is the survival of fittest, political selection, stupid.
masalia mmeamua kuja kivingine,
kumsifia Zito kwa mgongo wa chupa.
kajipangeni upya.
utumbo wote wa mitandaoni kumhusu mmeupika wenyewe,
viongozi makini wa Chadema wakapuuzia
nawapongeza chadema kwa misimamo yao ya kutoyumbishwa
Mchange, kwa vile unamuidolize Zitto kisiasa, kwanini basi hauigi akili zake? Kwa yote uliyoyasema umesahau jambo moja; siasa siyo nyumba kwamba mmoja ni mjenzi, mwingine mpangaji. Siasa na vyama vya siasa ni process, zinabadilika na zinabadilishwa kwa mchango wa watu wengi sana. Bila kujali umeanza lini au umeingia lini, wenye mafanikio kwenye siasa kwao historia ni vehicle ya kujifunza ili wasonge mbele kwa mafanikio kwa kutumia akili nyingi.
Umeshindwa kujua kuwa siasa hubadilika kama nyakati zinavobadilika umebakia kulilia historia za vyama. Zitto ameanza siasa miaka ya 2000, utawasemaje akina Mbowe walioanza na Chadema miaka ya 1990? Kwa akili zako zilivo fupi, unataka kuenzi historia ya Zitto bila kujua akina Mbowe walishasacrifice hadi ubunge ili wakagombee urais wanaojua watashindwa ali kusudi chama kipate nguvu?
Sasa kama Zitto ni mjenzi wa nyumba, Mbowe atakuwa nani? Wewe akili ni ndogo, siasa si nyumba. Lema kaingia juzi kwenye Chadema lakini mchango wake unaweza ukawa na impact kuliko yule wa miaka kumi au ishirini kwenye chama. Na yule wa siku nyingi akifanya blunder ya kuharibu chama historia haiwezi kumsaidia. It is the survival of fittest, political selection, stupid.
Vipi ile tuhuma ya kumwibia mtu simu ilikuwa kweli?
Mambo yenu huko chadema muyamalize wenyewe.sisi hayo hayatuhusu..
nafikiri WAGAZA wana majibu sahihi kwenye hiyo tuhuma.
hoja yetu hapa ni kuwa ZITTO tayari ameshawashinda na ndio maana mnahangaika kumchafua kwa majina yenu bandia. hivi inawezekanaje ukawa katibu mkuu wa chama halafu unatumia jina hewa mtandaoni?.