Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Marais ndio wananunua korosho? Au kwakuwa yeye alikuwa anaingilia kila jambo basi mnadhani kila rais anafanya huo upuuzi.
Hao sukuma gang waliamini kuwa jiwe ndiyo kila kitu hapa nchini na ndiyo sababu walikwamisha mchakato wa katiba
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu
Meko alikuwa ibilisi sana ndo mana wakamdunga
 
Umwage korosho baharini ili ugundue nn?kuna wakati hua nawaza km nati ktk kichwa cha mtu huyu zinafanya kazi.
Sure asee, imekuwa too much, haingii akilini et korosho zikamwagwe baharini
 
Umwage korosho baharini ili ugundue nn?kuna wakati hua nawaza km nati ktk kichwa cha mtu huyu zinafanya kazi.
Sasa kama mtu anaua watu ili asisemwe atashindwa vipi kumwaga korosho baharini kuepuka aibu???

Acha mungu atuondolee iile jiwe
 
Sasa c um prove wrong zito na kumjibu kua hizo koroshow zilipekwa wap? Simple tu
We don't trust you na cheap politics zako,another drama reloaded......after kumwaga hizo korosho baharini then akafanya nini tena!

Drama since morning up to evening,na si mfanye kazi mmmscheeeew!
 
Alipaswa aseme hayo kipindi hicho hicho muhusika yupo hai sasa hivi ni sawa na kumsimanga marehemu, akiambiwa kuhusu mama yake analia lakini wazazi wa wenzake anawasema.
 
Hoja hujibiwa na hoja
Prove him wrong with facts and figures

Kweni ZZK yeye kaleta fact zipi au evidence gani kama ushahidi wa korosho zilimwagwa baharini? kuna wakati Zitto huongea kama wale jamaa wa kibatara wasiojua kitendea kazi chao
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Pesa za umma huwa zinachezewa sn
 
Zitto athibitishe madai yake
sio kwa kuwa kuna watu mna chuki zenu zilizokithiri kwa JPM ndio tuamini kila kibaya kisemwacho dhidi yake

kama mnatenda haki igeni mfano wa Pohamba …maeneo aliyofanya vyema pia asifiwe
Nyie thibitisheni kwa kuzionesha, au kuonesha documents mlipouza hizo tani za korosho
 
Back
Top Bottom