Zitto: Kikwete ni Rais wa ajabu.

Zitto: Kikwete ni Rais wa ajabu.

ni uhuru wa kuongea awezalo ila kamanda zito haeleweki ni kama mtu mwenye jinsia mbili.
 
Bushi alileta chandarua akapewa ekari 1500 arusha na kigamboni yote na bulyanhulu, jee huyu mjaluo, sijui mkikuyu ataleta nini?, lakini najua atapewa wilaya yote ya bahi
 
Ni kichefu chefu sana kumsifia JK,tena kwa mgongo wa kusafiri sana na kutuletea ma rais.Hivi raisi wa China nani anaujua ukweli halisi kwamba alikuja kufanya nini,kama kuna msomi anafikiri alikuja kuangalia magorofa pacha,au kuja tu just kuja kumsalimia JK basi huyo ni empty magazine,kama kuna msomi tena mchumi anafikiri Obama anakuja kusalimia watanzania ambao ni jinarani na kwa baba yake basi mtu huyu amefilisika kifikra.hawa wote wanakuja kuchuma,cha mno JK akienda huko anambulia neti za mbu na kupiga picha na wasanii maarufu.
kwangu mimi JK ni hopeless moving figure
 
Hahaaa mzee wa sumu yaani wewe chuki zako kwa zitto bado hazijakuisha tu?Mungu amuweke mbali na bahasha yako ile unabebeaga sumu maana tuliokuwa tumetumiwa na Mungu kumuokoa hatupo tena huko.
...mapenzi mabaya! bado unamzimia Zitto pamoja na kuwakana? Utamuumiza Mwigulu we dada.
 
..tatizo ana-tolerate mpaka RUSHWA, UFISADI, UDINI, na mambo mengine mengi ambayo ni hatari kwa taifa.

cc: ZeMarcopolo, Maundumula

Our problem ni kwamba sisi ni wasahaulifu,,, kwenye nchi inayofuata sheria ukishawezesha serikali ikawa na sheria... na aliweza kuhuisha sheria ya PCCB then kinachobaki ni ni kazi ya PCCB kufanya kazi yake.
 
Our problem ni kwamba sisi ni wasahaulifu,,, kwenye nchi inayofuata sheria ukishawezesha serikali ikawa na sheria... na aliweza kuhuisha sheria ya PCCB then kinachobaki ni ni kazi ya PCCB kufanya kazi yake.
Kasheshe,

..what u said is only true in theory.

..Raisi hajawawezesha PCCB, actually mara kwa mara amewakatisha tamaa.

..umesahau kitendo cha Raisi kumpigia kampeni Basil Mramba??

..unafahamu kwamba Mramba anashitakiwa na PCCB ambayo iko chini ya Ofisi ya Raisi??
 
Last edited by a moderator:
Zitto anapiga chepuo ya kupewa mwaliko ikulu siku Obama akija bongo, ili amshike mkono. hanalingine zaidi ya Ubinafsi na undumilakuili, njaa na sifa zinammaliza uyo dogo.
Ni kichefu chefu sana kumsifia JK,tena kwa mgongo wa kusafiri sana na kutuletea ma rais.Hivi raisi wa China nani anaujua ukweli halisi kwamba alikuja kufanya nini,kama kuna msomi anafikiri alikuja kuangalia magorofa pacha,au kuja tu just kuja kumsalimia JK basi huyo ni empty magazine,kama kuna msomi tena mchumi anafikiri Obama anakuja kusalimia watanzania ambao ni jinarani na kwa baba yake basi mtu huyu amefilisika kifikra.hawa wote wanakuja kuchuma,cha mno JK akienda huko anambulia neti za mbu na kupiga picha na wasanii maarufu.
kwangu mimi JK ni hopeless moving figure
 
Ukiwa na Rais ambaye anahukumu watu na sio mahakama then hapo hakuna utawala bora...
Kasheshe,

..PCCB iko chini ya Ofisi ya Raisi.

..PCCB wamemshtaki Mramba kwa matumizi mabaya ya madaraka yake.

..kwa maana nyingine Ofisi ya Raisi wanaamini kwamba Mramba amefanya makosa hayo.

..wangekuwa hawaamini wasingemburuza mahakamani.

..sasa kitendo kile cha Raisi kumpigia kampeni Mramba huoni kwamba ni kukinzana na maamuzi ya chombo anachokiongoza mwenyewe??

..zaidi, ukizingatia kwamba Raisi pia anateua majaji, huoni kwamba kitendo cha yeye kumpigia kampeni mtu mwenye kesi mahakamani ni kunajenga picha ya kuingilia utaratibu mzima wa kesi hiyo??

..hivi umeona wapi kwengine ambapo Raisi anawafanyia kampeni za kisiasa washtakiwa wa ufisadi??
 
Last edited by a moderator:
Ukiwa na Rais ambaye anahukumu watu na sio mahakama then hapo hakuna utawala bora...

-Tayari tunaye Rais anayehukumu watuhumiwa.Aliwahukumu wezi wa EPA akawaamuru Warudishe

-Tunaye Rais anayetoa hukumu kwa kumuita mtuhumiwa Basil Mramba kuwa ni Panga la Zamani lisiloisha Makali

-Tayari tunaye Rais anayemsifia mtuhumiwa wa RICHMOND kuwa umaarufu wake unatosha kukipa chama ushindi huko Makuyuni

Katika tuhuma kuna pande mbili,ni aidha wapo Innocent ama Guilty.Kwa mtuhumiwa yeyote haitakiwi Rais mwenye busara kufanya pre-judgement!
Kasheshe,Come correctly!
 
Last edited by a moderator:
Rais hajatolerate udini.

..nimesema ana-tolerate RUSHWA, UFISADI, na UDINI.

..umekuja kujibu kwamba hajatolerate udini.

..je, ina maana umekubali ametolerate rushwa na ufisadi??

..hili la udini hujasikia aliyoyasema Prof.Lipumba??

..halafu mifarakano na mipasho ya kidini iliyoshamiri nchini, kama siyo Raisi na serikali, ulitegemea nani aweke mwongozo wa kurejesha uvumilivu na heshima??
 
..tatizo ana-tolerate mpaka RUSHWA, UFISADI, UDINI, na mambo mengine mengi ambayo ni hatari kwa taifa.

cc: ZeMarcopolo, Maundumula


Mkuu hapo umesema kweli tupu, na hapo ndo hoja ya msingi ya kumfanya awe DHAIFU, yaani kutolerate yanayo liangamiza taifa alailo apa kwalo!

Zitto wakati mwingine huwa anashangaza, siamini kwamba akili yake hailijui hili analo jaribu kulitetea!
 
Psalm 34:12 What man is there who desires life and loves many days, that he may see good? 13 Keep your tongue from eviland your lips from speaking deceit. 14 Turn away from evil and do good; seek peace and pursue it.15 The eyes of the Lord are toward the righteousand his ears toward their cry. 16 The face of the Lord is against those who do evil, to cut off the memory of them from the earth. 17 When the righteous cry for help, the Lord hears and delivers them out of all their troubles. 18 The Lord is near to the brokenhearted and saves the crushed in spirit. 19 Many are the afflictions of the righteous,but the Lord delivers him out of them all. 20 He keeps all his bones; not one of them is broken.
 
Ni vizuri kujadili kwa kina yale mapungufu ambayo yametokea kwenye kipindi chake cha urais, ili yawe pia fundisho kwa mtu mwingine anayekuja na kama taifa.
 
..nimesema ana-tolerate RUSHWA, UFISADI, na UDINI.

..umekuja kujibu kwamba hajatolerate udini.

..je, ina maana umekubali ametolerate rushwa na ufisadi??

..hili la udini hujasikia aliyoyasema Prof.Lipumba??

..halafu mifarakano na mipasho ya kidini iliyoshamiri nchini, kama siyo Raisi na serikali, ulitegemea nani aweke mwongozo wa kurejesha uvumilivu na heshima??

Si sahihi kumuhukumu Rais kwa maneno ya mpinzani wake - Lipumba.

Rais hapendi udini na anafanya kila linalowezekana kuepusha taifa na janga la udini.

Kushughulikia udini ni kama kudeal na mtu aliyevaa suicide bomb, huwezi kumrukia tu. Ndio maana jitihada za Rais ni hatua kwa hatua.

Rais Kikwete hajawahi kutolerate udini.

Yes Rais has not been firm enough on ufisadi/rushwa. I have said it everytime I could and i am saying now, Kikwete has not stretched his muscle enough against ufisadi/rushwa. hakuna kupapasa maneno.
 
Walahi kanda ya magharibi tulilamba galasa. Huyu Zitto mbona mnafiki sana huyu alizaliwa wapi kwanza? Mwanasiasa gani una rangi mbili mbili kama kinyonga? Hivi hata huo Urais unaoutaka ni mwendawazimu gan atakupa mnafiki kama ww?

Zito anatuzingu,ccm wote wanaroho ngumu za kijambazi wote,hakuna anayebaki. we kinana na kashfa kubwa namna hii bado anaongoza chama kwenye kampeni!? hii ni roho ngumu kabisa ya kialshabab shabab
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom