Bwana Zitto tangu akiwa chadema amekuwa akipata ufadhili wa kifedha wa Rostam. Uswahiba wao umeendelea zaidi hata wakati wa sakata la fedha za ESCROW ambapo zitto alikuwa upande wa Standard Chartered Hongkon yenye uhusiano na Rostam.
JPM hakumpenda zitto maana alimjua ipasavyo vile vile hakumpenda rostam sababu ya uwizi wake. Ila JPM aliwabana Rostam na Manji wakatubu kuwa wataacha wizi wa makaratasi. Bahati mbaya JPM akaanza kumkaribisha Rostam jirani yake. Haikuchukuwa muda akafa. Hii ni stori nyingine.
ACT ilianzishwa kwa ufadhiliwa Rostam na Lowasa na marehemu Filikunjombe. Kiliwekwa kama chama mbadala wakati wa uchaguzi wa 2015 ila mambo hayakutimia.
Luhaga Mpina ni swahiba wa zito na hata marehemu Filikunjombe. Rejea wakati wa Sakata la Escrow. Walikuwa wamoja.
Hivyo kwa hali ya sasa, zitto kwa kutumiwa na Rostam wamemuita mpina ku legitimize uchaguzi ili kumpa fursa Samia kuendelea kutawala.
Kimsingi akina Semu na Othman wameuzwa bila kujua. Zitto ni dalali.
JPM hakumpenda zitto maana alimjua ipasavyo vile vile hakumpenda rostam sababu ya uwizi wake. Ila JPM aliwabana Rostam na Manji wakatubu kuwa wataacha wizi wa makaratasi. Bahati mbaya JPM akaanza kumkaribisha Rostam jirani yake. Haikuchukuwa muda akafa. Hii ni stori nyingine.
ACT ilianzishwa kwa ufadhiliwa Rostam na Lowasa na marehemu Filikunjombe. Kiliwekwa kama chama mbadala wakati wa uchaguzi wa 2015 ila mambo hayakutimia.
Luhaga Mpina ni swahiba wa zito na hata marehemu Filikunjombe. Rejea wakati wa Sakata la Escrow. Walikuwa wamoja.
Hivyo kwa hali ya sasa, zitto kwa kutumiwa na Rostam wamemuita mpina ku legitimize uchaguzi ili kumpa fursa Samia kuendelea kutawala.
Kimsingi akina Semu na Othman wameuzwa bila kujua. Zitto ni dalali.