Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,214
- 42,087
Ukiona mtu ana kisifia kitu ana kipenda sana!
Kamwe hatuto yumbishwa na hizi propaganda nyepesi!
Hasara ya siasa za udini mliona matunda yake kwenye sensa na bado
CCm wanasema cdm ni chama cha wakristo, je wao ccm ni chama chwa wapagani(wasio na dini zao)-zitto
Kamwe hatuto yumbishwa na hizi propaganda nyepesi!
Hasara ya siasa za udini mliona matunda yake kwenye sensa na bado
CCm wanasema cdm ni chama cha wakristo, je wao ccm ni chama chwa wapagani(wasio na dini zao)-zitto
pamoja sana ngongoseke hawa jamaa wanataka kuingiza nchi kwenye machafuko ya udini na ukabila.
Zitto ndio sululisho la yote.