Wewe kila siku nakwambia kibarua chako pale invisible chadema tv umemuachia nani?
Unapokea mshahara wa bure.
Kamata huyu.
Ukitaka kujua zzk anatisha soma comment za pro slaa.
mtaogopa sana kivuli cha zitto...subilini atakapo kuja hai..lazima mkaenaungana na zzk katika idea ya kujenga chama vijijini, lakini karatu chama tayari kimejengwa siku nyingi(labda kama amekwenda kubomoa)
namshauri zzk hayo mafuta ya kuendea karatu angetumia kujenga chama kule dodoma vijini na muleba.
pole pole najua amekugusa kunako mapenzi yako yalipo...Lakini ndio ukweli
umesha anza kujinyea hata kwenye huu uzi pombe ya ukanda itakufanya ukose hekima. Namkubali sana zitto zuber kabwe lakini mnataka kunilazisha kumchukia siwezi. Hamuwezi kutuma post zenu bila kuja na pombe ya ukanda na ukabila mlokunywa.
Hivi Cheo cha uraisi chadema ni haki ya kudumu ya Mchungaji Slaa pekee au ni haki ya kila mwanachadema ??
Wana Karatu kama ataanza kuropoka mambo ya URAIS fukuzilieni mbali huyo msaliti.
Wana Karatu kama ataanza kuropoka mambo ya URAIS fukuzilieni mbali huyo msaliti.
Vipi huko CUF? Si bora hata huyo Slaa ndio kwanza hajamaliza hata term moja? Vipi wale masultani wenu miaka ishirini na ushee sasa ni wao tu kana kwamba hamna wengine. Prof. Safari alivyoonesha nia tu, adhabu ndogo zaidi aliyokatiwa ni kufukuzwa kwenye chama! ZZK anajinafasi ndani ya chama cha kidemokrasia; waonaje hapo?. Kweli nyani haoni nanihino lake.
COPY: His Highness, the Sultan, Sultanate of Zanzibar - CUF
COPY: His Highness, the Sultan, Sultanate of Tanganyika - CUF
off course umegusa ila si kama unavyodhani...mimi mapenzi yangu ni katika ukombozi na si kuona wtau duni kiasi hiki.
Ukweli upi sasa,kuwa watu wa kigoma ni wabaguzi na wenye chuki kwa wachaga?mkajifunze mamabo yaney kufaa, otherwise mtarudi katik umasikini kama kawa.
Magamba mnaongea kama vile mnauwezo wa kungia kwenye kikao cha Halmashauri kuu ya CDM na kuteua jina la ZZK kuwa mgombea wa Urais hapo 2015 huyp kijana mnataka mumpoteze kama akina Masumbuko Lamwai.Molemo naona ushatokwa povu,
Punguza presha maana rais ajae zitto kawadhamiria kwelikweli dah!mpaka karatu,
Kweli zitto ni namba ingine.
Zuieni basi asifanye mkutano kama mna uwezo!
Maana si ndio kazi yenu.
Tunajua mnajificha m4c kwakuwa hamna uwezo wakusimama nae jukwaa moja.
Mtaipata nawaambia,kibarua chako kiko hatarini kuwadi wa uzandiki!
Kama nia ameshatangaza atangaze mala ngapi?
Pigeni simu wamfukuze kama mnaweza.
Hahahaaa!pole mbeba mabegi !
Mmesha maliza kusimika NEC ya kifalme sasa mmesahau na kuanza na Chadema tena .Mmesha chelewa kabisa na propaganda za kijingaWe mwehu nini,tushakwambia m4c maana yake ni movement for chaggaz ,sasa zitto na m4c wapi na wapi?
Kati ya hiyo m4c yenu mnayoiabudu na zitto nani kamkuta mwenzie kwenye harakati?
M4c ni mradi wa wachagga kuwaibia watanzania na ndio maama lema alikimbia na hela za m4c.
Poor you!
Muache rais wa nchi ajae afanye kazi!
mtaogopa sana kivuli cha zitto...subilini atakapo kuja hai..lazima mkae
Sasa si aanzishe chama chake.....mbona support hana