Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,770
- 15,248
Video hii inaonyesha namna aliyekuwa waziri wa aridhi wa awamu ya tano Mh William Lukuvi akielezea umuhimu wa nchi ya Tanzania kujenga bwawa la umeme ikibidi kwa fedha zetu wenyewe baada ya wafadhili kugoma kutoa misaada wala kukopesha.
Hata hivyo hoja hiyo ilipingwa na aliyekuwa mbunge wa Kigoma mjini wakati huo bwana Zito Kabwe kwa hoja kwamba mradi huo unaenda kuharibu mazingira na kwamba serikali ya Tanzania haina fedha za kutekeleza mradi huo hivyo ikimbilie kwenye gesi.
View: https://youtu.be/PFf5KzV8W4A?si=YiYOBptJ98tEUGag
Hata hivyo hoja hiyo ilipingwa na aliyekuwa mbunge wa Kigoma mjini wakati huo bwana Zito Kabwe kwa hoja kwamba mradi huo unaenda kuharibu mazingira na kwamba serikali ya Tanzania haina fedha za kutekeleza mradi huo hivyo ikimbilie kwenye gesi.
View: https://youtu.be/PFf5KzV8W4A?si=YiYOBptJ98tEUGag