Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,165
You are right.katiba imeeleza kabisa, lakini CCM wanapingaTanzania kwa sasa inatawaliwa na Rais asiye heshimu, kutii na kuilinda Katiba ya JMT. Kila kitu kimewekwa wazi kwene Katiba ya nji kuhusu Afya ya Rais inapotetereka. Lakini Leo utawala huu wa CCM unataka kuwaaminisha Watz kuwa ati ni jambo la SIRI .....!!!!Ni upuuzi wa hali ya juu sana.
All Tanzanians have the right to know the health status of their beloved President to make it sound loud and clear....!!!





