Hawampendi bali ni maadui wake na taifa kwa ujumla.Kumbe wapinzani wanampenda Magufuli kiasi hiki?
Nchi haiongozwi na matamko ya misiktini na Barabarani.Sasa kama waziri mkuu keshatoa hilo tamko ina maana Zitto hajui anayeongoza nchi nani? Ni Dk Magufuli aliyeongea na Waziri Mkuu
Zitto matamko yake mitandaoni !!!Nchi haiongozwi na matamko ya misiktini na Barabarani.
Ishu siyo kumpenda Wala kutokumpenda...ishu Ni katiba ya nchi.Kumbe wapinzani wanampenda Magufuli kiasi hiki?
Kuna mahala katiba imekiukwa?Ishu siyo kumpenda Wala kutokumpenda...ishu Ni katiba ya nchi.
Wewe na nani,sema haikuhusu wewe Mimi inanihusu kama Mtanzania-familia bila Baba hamna familia tena.Zitto naye anazeeka vibaya sn, kama yupo Ikulu au hosp sis haituhusu hata kdg
Nawe fucha kidogo utahira wako!! wapi kaonyesha udini hapo, sio kila mada lazima uchangie!! Mifala mingine unauzi sana!!Zitto Kabwe ni mdini sana!
Rais watanzania anatakiwa kuwa wapi?CCM acheni tabia yenu ya kuficha ficha ugonjwa - ficha yote hapa duniani ruksha ila siyo maradhi - maana maradhi yana tabia ya kuumbua.
Watanzania hawa wanataka kujua:-
1. Je Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yupo wapi?
2. Na ana hali gani kiafya?
Msipotuambia tunampango wa kwenda mahakamani kuiomba ili watanzania wote kwa pamoja tuanze kumsaka popote alipo - maana yeye ndiye tulimchagua awe kiongozi wetu sasa kwa nini mumfiche?
Ndugu nchi hii haina deputy President ila kuna Vice-President!Ndio maana kuna deputy president.
Kwa mujibu wa Katiba ama ni mahaba tu?Zitto naye anazeeka vibaya sn, kama yupo Ikulu au hosp sis haituhusu hata kdg