Zitto Kabwe: Nani anaongoza nchi yetu?

Zitto Kabwe: Nani anaongoza nchi yetu?

Zitto bhana! Uambiwe na nani sasa hali ya Rais?

Waziri mkuu kasema yuko fiti
Makamu Rais kasema rais yuko fiti

Unataka uambiwe na nani sasa?

Huu upumbavu kumbe hadi kwa wasomi upo?
Nikupe siri ndogo, wasomi hawaamini kila kitu kwa domo tupu, wanaamini ushahidi. Kwa sasa ushahidi walio nao unapeleka kuamini kuwa jiwe hayuko fiti. Ushahidi ni kama hivi hajaonekana kanisani wiki nne jambo ambalo sio kawaida yake, kashindwa kuhudhuria virtual meeting ya wakuu wa EAC jambo ambalo linashangaza kwa vile alikuwa akae tu kwake mbele ya computer na azungumze na wenzake, nini kilimzuia hapo? Hajazungumza na makamo wake wote wawili hadaharani, ilahali alikuwa na tabia ya kuwapigia simu viongozi wake wakiwa katika mikutano mbali mbali. Kushindwa kwa rais kuzungumza na taifa kwa kupitia tv na vyombo vyengine vya habari ili kuondoa wasi wasi uliopo nchini pia kuna leta proof kuwa lipo linalomsibu rais kwa wakati huu.
 
Kuna times zinazuka propaganda ili ku elewa upo ama tupo upande gani, kaa chonjo sana huu upepo utafukua makaburi ya kutosha mixer ndani na nje!
 
Nikupe siri ndogo, wasomi hawaamini kila kitu kwa domo tupu, wanaamini ushahidi. Kwa sasa ushahidi walio nao unapeleka kuamini kuwa jiwe hayuko fiti. Ushahidi ni kama hivi hajaonekana kanisani wiki nne jambo ambalo sio kawaida yake, kashindwa kuhudhuria virtual meeting ya wakuu wa EAC jambo ambalo linashangaza kwa vile alikuwa akae tu kwake mbele ya computer na azungumze na wenzake, nini kilimzuia hapo? Hajazungumza na makamo wake wote wawili hadaharani, ilahali alikuwa na tabia ya kuwapigia simu viongozi wake wakiwa katika mikutano mbali mbali. Kushindwa kwa rais kuzungumza na taifa kwa kupitia tv na vyombo vyengine vya habari ili kuondoa wasi wasi uliopo nchini pia kuna leta proof kuwa lipo linalomsibu rais kwa wakati huu.
Ndio maana tunawaita wahuni,!

Yani huo ndio ushahidi wa kwamba rais hayuko fit?


Machadema akili zenu mnapeleka wapi?
 
Mwenyezi Mungu ashukuriwe sana. Ngoja tusubiri ila kule Twitter baadhi wanadai kuna heka heka kubwa jeshini kama vile wanajiandaa kwa shughuli maalum.
Jambo jema tumejaliwa uzima ndo muhimu sana .Nimerudi chief kila kipo poa kabisa tupo tunataka kujua taarifa sahihi alipo Raisi wetu .
 
Ndio maana tunawaita wahuni,!

Yani huo ndio ushahidi wa kwamba rais hayuko fit?


Machadema akili zenu mnapeleka wapi?
Hapana huo ni ushahidi kuwa serikali inatudanganya! Ivi wewe kwa akili yako uliyonayo ni kwa nini unahisi Rais anashindwa kutoa official statement kwa wananchi wake ili kumaliza uvumi huu na kuondoa wasi wasi uliopo nchi nzima?
 
Hii ni nchi ya ajabu sana..........

Eti mtu kuhoji tu hali ya afya ya Rais wetu kwa hivi sasa, anafunguliwa mashitaka ya jinai!

Wakati Katika ya nchi ipo wazi kabisa, katika ibara ya 18, inasema kila mwananchi anapaswa kupewa taarifa muhimu zinazohusu nchi yake
NCHI YETU IMEKUWA LAUGHING STOCK..
 
Mtateseka sana

Kama unataka kujua nani anaongoza, we tukana tu utaiona serikali

Kama vile hamna kazi ya kufanya, kutwa Rais yupo wapi? Kwani mmeambiwa kuna kitu kimekwama!

".....Ni hatari sana nchi kuongozwa na mtu asiyechaguliwa na wananchi..."

Kwa hili tu nimekwisha kuelewa...


Inaumiza akili sana kujua, kwamba, kumbe watu wanatumia mwanya huu huu wa "undefined presence" ya Rais Magufuli ambaye ndiye aliyechaguliwa na mwenye dhamana na nchi na taifa hili kwamba wameanza kusomba/kuiba fedha toka Benki Kuu (BoT)...

Kuna kila dalili kuwa wenzake haohao wa serikalini wanaweza kumuua Rais wetu....!!!
 
Hapana huo ni ushahidi kuwa serikali inatudanganya! Ivi wewe kwa akili yako uliyonayo ni kwa nini unahisi Rais anashindwa kutoa official statement kwa wananchi wake ili kumaliza uvumi huu na kuondoa wasi wasi uliopo nchi nzima?
Yani atoe afficial statement sababu ya maneno ya wahuni wachache huko Twitter?

Ulivyo kiazi sasa, waziri mkuu kasema, makamu rais kasema ila hutaki kuwaamini badala yake unawaamini wahuni toka ubelgiji.

Ujinga ujinga tu!
 
".....Ni hatari sana nchi kuongozwa na mtu asiyechaguliwa na wananchi..."

Kwa hili tu nimekwisha kuelewa...


Inaumiza akili sana kujua, kwamba, kumbe watu wanatumia mwanya huu huu wa "undefined presence" ya Rais Magufuli ambaye ndiye aliyechaguliwa na mwenye dhamana na nchi na taifa hili kwamba wameanza kusomba/kuiba fedha toka Benki Kuu (BoT)...

Kuna kila dalili kuwa wenzake haohao wa serikalini wanaweza kumuua Rais wetu....!!!
Hao wahuni ndio wamekuaminisha hayo sasa hivi?
 
Mwenyezi Mungu ashukuriwe sana. Ngoja tusubiri ila kule Twitter baadhi wanadai kuna heka heka kubwa jeshini kama vile wanajiandaa kwa shughuli maalum.
Hao wahuni ndio wanawaamisha hayo sasa hivi?
 
Zitto bhana! Uambiwe na nani sasa hali ya Rais?

Waziri mkuu kasema yuko fiti
Makamu Rais kasema rais yuko fiti

Unataka uambiwe na nani sasa?

Huu upumbavu kumbe hadi kwa wasomi upo?
Hivi Zitto naye msomi?!
 
Back
Top Bottom