IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,492
- 5,345
Kwani rais wenu anatakiwa kuwa wapi?Yuko wapi Raisi wetu?!
Kwani rais wenu anatakiwa kuwa wapi?Yuko wapi Raisi wetu?!
US sio UK.Kikwete akiwa raisi aliwahi kwenda Uk kufanyiwa upasuaji wa tezi dume na taarufatulikuwa tunapatiwa. mbona la huyu linakuwa gumu?
Wengi inaonekana mna tatizo kubwa la uelewa na akili.Kumbe wapinzani wanampenda Magufuli kiasi hiki?
Rais hawezi kupoteza muda wa kujibizani na wahuni wachache waliokosa kazi za kufanya, ana mambo mengi ya kulifanyia taifa hili, hilo la kuwajibu wahuni si sehemu ya mambo hayo.Kwani sisi tulimchagua Waziri Mkuu? Kama Rais yupo fit, kuna haja hani ya kusemewa na mtu mwingine?
Nchi hii ina wajinga wengi. Maswali ya msingi ya wenye akili, wajinga wanataka kuyajibu kijinga.
Sasa wewe mbona ndio una tataizo la akili?Wengi inaonekana mna tatizo kubwa la uelewa na akili.
Hapa siyo suala la upendo. Hili ni duala la kikatiba. Kama Raos anaumwa kiasi cha kutokuwa kwenye nafasi ya kufanya maamuxi, watu wengine wanaweza kuotumia nafasi hiyo kuleta maangamizi au hasara kwa Taifa.
Hatutakiwi kudaka maneno tu bila ya uthibitisho. Kama afya ya Rais siyo nzuri kiasi cha kutokuea na uwezo wa kuisimamia Serikali, watu wengine wanaweza kuutumia mwanya huo kuleta uharibifu.Sasa kama waziri mkuu keshatoa hilo tamko ina maana Zitto hajui anayeongoza nchi nani? Ni Dk Magufuli aliyeongea na Waziri Mkuu
Si wazuie transaction zozote na malipo yote ... Zaidi spending za kawaida kama mishahara n.k ambazo zinajulikanaMimi nichukua point moja tuu.ikiwa wanaokaimu
Mimi nina hofu ya kitu kimoja tuu,kuhusu upigaji ktk kipindi hiki ambapo raisi hafanyi ziara.Maana wale vigogo wamaweza fanya miamala ya hovyo kabisa kwenye mahela ya umma
La huyu lipi?Kikwete akiwa raisi aliwahi kwenda Uk kufanyiwa upasuaji wa tezi dume na taarufatulikuwa tunapatiwa. mbona la huyu linakuwa gumu?
Mie nikipanic ninatisha km huamini kaulizie hao ma ccm. Usingekaa humu!Una hasira sana na umepanic vibaya mno! Utakufa kabla ya muda nyau we!
Yani unataka kila nyie wahuni mkihoji rais yuko wapi aje kuwajibu nipo? Pumbavuuu...
Nkishakwambia hata mhuni mwennzenu amterdam alimwandikia vibarua vingi sana lakini hakuna hata mwenyekiti wa kijiji akijitokeza kujibu! Sembuse nyie wahuni tunawajua kabisa?
Kwani jambazi lilokubuhu la Mtaani au Kijijini kwako likipotea ghafla Wakazi hawaulizani liliko ili wajue kama limehama wapate kupumua na kulala salama au kama limekufa wacheze ndombolo wakifurahi kuwa amani sasa imekuja mpaka jingine lijitokeze? MaCCm wanadai Rais ni Binadamu anaweza kukosea lakini hayohayo hayataki kukiri kuwa anaweza kuugua na kufa pia kama Binadamu wengine. Ukimya huu ni muujiza unasubiriwa au uongo unatafutwa wa kuwaambia wananchi!Rais anatafutwa na wanaomchukia kuliko wanaompenda.
Uhuni ni kumsemea Rais ambaye hajakutuma uje kusema anapoteza mda kuzungumzia Afya yake, kwani kikwete nyerere mkapa waliugua na kutibiwa kwa uwazi hawakuwa na mambo mengi ya kufanya? Uhuni ni kuwaza uteuzi pasipo kuzingatia kuwa Nchi imeruhusu mijadala isiyo rasmi mitaani majumbani kazini kila kona ya Nchi, kuficha ficha Usiri juu ya afya ya Rais ndiyo uhuni kama ulikuwa hujui.Rais hawezi kupoteza muda wa kujibizani na wahuni wachache waliokosa kazi za kufanya, ana mambo mengi ya kulifanyia taifa hili, hilo la kuwajibu wahuni si sehemu ya mambo hayo.
Acha wahuni walioko huko Twitter waendelee na uhuni wao.
Labda hiyo amri inatakiwa atoe nani?na kwa mamlaka ya nani?Si wazuie transaction zozote na malipo yote ... Zaidi spending za kawaida kama mishahara n.k ambazo zinajulikana
Unamaanisha Maalim Seif kwa upendo kwa wazanzibari aliwasaliti na kuungana na mtanganyika kuwa RAIS.na kumwagia sifa kedeksede za ubora!Tukuulize wewe Mtanganyika unayeongoza Zanzibar,nani anaongoza Tanganyika kwa sasa??
Uhuni ni kusema rais anaumwa wakati huna hakuna popote imetangazwa anaumwa!Uhuni ni kumsemea Rais ambaye hajakutuma uje kusema anapoteza mda kuzungumzia Afya yake, kwani kikwete nyerere mkapa waliugua na kutibiwa kwa uwazi hawakuwa na mambo mengi ya kufanya? Uhuni ni kuwaza uteuzi pasipo kuzingatia kuwa Nchi imeruhusu mijadala isiyo rasmi mitaani majumbani kazini kila kona ya Nchi, kuficha ficha Usiri juu ya afya ya Rais ndiyo uhuni kama ulikuwa hujui.
wakwapue tu km wanaogopa wanipe mimi. Tena simkimbii huyo jiwe namroga tu anakuwa jiwe mara mbili.Kwa hiyo kuna tetesi kuna "watu" kwa kofia ya mamlaka ya Rais washaanza kwapua hazina za nchi huko BOT!!!
Nafikiri kila kitu kiko documented, hata hizi tetesi zikiwa kweli watasakwa tu, na ikiwa kweli Mzee wetu mpendwa ni mgonjwa basi siku akirejea ofisini watazitapika.
Magenge kwa sasa ktk Tanzania yetu hayafugiki, haijalishi ni nani na kwa uhusiano gani!
Kwani Magufuli anatakiwa kuwa wapi?Hii ficha ficha Usiri juu ya alipo magufuli haina tija kwa Taifa licha ya wasaka uteuzi na wanufaika wa utawala huu kujawa na pressure endapo mambo yatakuwa kinyume na matarajio yao , wengi na hasa wale waliotumia madaraka yao vibaya kuwapora wafanyabiashara mali zao na uonevu unyanyasaji mwingineo kibao wamejawa na hofu kubwa mno na ndiyo wapo busy kupingana na Zito kabwe