Zitto Kabwe: Nani anaongoza nchi yetu?

Zitto Kabwe: Nani anaongoza nchi yetu?

Nyepesi bwana kwahiyo amesahau kuwa chama chake ni sehemu ya serikali??
 
Zitto bhana! Uambiwe na nani sasa hali ya Rais?

Waziri mkuu kasema yuko fiti
Makamu Rais kasema rais yuko fiti

Unataka uambiwe na nani sasa?

Huu upumbavu kumbe hadi kwa wasomi upo?
Wewe ndiyo mpumbavu. Kwanini huyo Rais asemewe na watu wengine hana muromo?? Nakuuliza weye hana huo mromo??

Anaogopa watu siku hizi??? Au kuna dhambi inamtafuna Rais mafichoni???

Kutekateka watu hovyo!!! Yana mwisho hayo bora angeenda tu kwa shetani ajue moja.lkn mara kwa Mungu mara kwa shetani ooohoo! Wafuta vumbi zenu zinahesabika! Zunu siku!! Muanzege kulia tu!!!
 
Waache wafiche tu atakapokufa ndo watanyosha maelezo vizuri.Biblia inasema Mwovu akifa watu hupiga kelele.
Tanzania kwa sasa inatawaliwa na Rais asiye heshimu, kutii na kuilinda Katiba ya JMT. Kila kitu kimewekwa wazi kwene Katiba ya nji kuhusu Afya ya Rais inapotetereka. Lakini Leo utawala huu wa CCM unataka kuwaaminisha Watz kuwa ati ni jambo la SIRI .....!!!!Ni upuuzi wa hali ya juu sana.
All Tanzanians have the right to know the health status of their beloved President to make it sound loud and clear....!!!
 
Nyie wapinzani wapumbavu sana hasa Lissu

Juzi mmesema Rais amelazwa nchini Kenya, mara amepelewa India ,mara amekufa.Pumbafu kabisa.

Leo mmekuja na ngojera Nyengine mara Yuko paralysed one side .Pumbafu sana nyie.hamna akili kabisa.we watch you .nchi Nyengine watu kama nyie mnafuatwa Huko mliko.
Naona Msukuma unatetea nafasi yako. Yaani nyie ni kuwafyeka tuu baada ya kuzika.
 
Nyie wapinzani wapumbavu sana hasa Lissu

Juzi mmesema Rais amelazwa nchini Kenya, mara amepelewa India ,mara amekufa.Pumbafu kabisa.

Leo mmekuja na ngojera Nyengine mara Yuko paralysed one side .Pumbafu sana nyie.hamna akili kabisa.we watch you .nchi Nyengine watu kama nyie mnafuatwa Huko mliko.
Hiyo tetesi ya kupooza mwili umeisoma wapi,mbona haipo kwenye barua ya Zito. Kama ni hivyo huo ugonjwa hata raisi wa Nigeria ulimpata na akakaa njee zaidi ya miezi 3 na baadae alirudi na bado anaongoza.
Kuumwa ni kawaida kwa binadamu lakini kwa hali ya dunia kwa sasa na misimamo ya Tanzania wengi wangependa wasikie anaumwa au hata amekufa kwa covid.Hiki kitu kikitokea itakuwa ni hasara na dhihaka kubwa kwa Tanzania hata kama hayo mataifa makubwa na madogo kwa sasa yapo karibu kuchukua msimamo wa Tanzania kuhusu corona kutokana na matatizo ya chanjo zisizoeleweka.
Kwa maana hiyo watanzania tuombe sana raisi wetu apone na haya maradhi nayo yapotee moja kwa moja tubaki na afya nzuri kujenga taifa na tubaki na heshima na kumtukuza Allah subhaanahu wa taala kwa uwezo wake na usikivu wake.
 
Binadamu ni kinyonga.
Ukila dagaa atakusema umeishiwa,ukila nyama atakusema kuwa unaringa ☹️☹️
tumia akili Mwanadamu ni wewe pia je huna akili? Akili ni
changanya vyote ashindwe la kusema.
 
wewe ndiyo mpumbavu. Kwanini huyo Rais asemewe na watu wengine hana muromo?? Nakuuliza weye hana huo mromo??

Anaogopa watu siku hizi??? Au kuna dhambi inamtafuna Rais mafichoni???

Kutekateka watu hovyo!!! Yana mwisho hayo bora angeenda tu kwa shetani ajue moja.lkn mara kwa Mungu mara kwa shetani ooohoo! Wafuta vumbi zenu zinahesabika! Zunu siku!! Muanzege kulia tu!!!
Una hasira sana na umepanic vibaya mno! Utakufa kabla ya muda nyau we!

Yani unataka kila nyie wahuni mkihoji rais yuko wapi aje kuwajibu nipo? Pumbavuuu...

Nkishakwambia hata mhuni mwennzenu amterdam alimwandikia vibarua vingi sana lakini hakuna hata mwenyekiti wa kijiji akijitokeza kujibu! Sembuse nyie wahuni tunawajua kabisa?
 
Zitto bhana! Uambiwe na nani sasa hali ya Rais?

Waziri mkuu kasema yuko fiti
Makamu Rais kasema rais yuko fiti

Unataka uambiwe na nani sasa?

Huu upumbavu kumbe hadi kwa wasomi upo?
We ni kajinga sana katiba ndio inatoa hayo maelekezo
 
Ujinga ujinga tuu, kama ni mzima si atokee aseme , kama ni mugonjwa si mtwambie , kama amekufa si mseme ( kwenye kifo tutawashangaa sababu mlikaa kimya kipindi akipigania uhai kitandani) ....hii dunia ya Mungu watu wanapita na kuiacha , baada ya miaka 100 ijayo wote tunaocomment na kusoma news humu + waliozaliwa leo sote tutakuwa kaburini ....... Kama mtu yupo mahututi semeni ili akifa tusishangae ,..., wenye kulia tutalia na wenye kucheka watacheka..hata hvyo maisha lazima yaendeleee tuu
hawaja kabidhiana limbwata la Mwenge sasa wakisema bila kujua nani analo mkononi tanzania damu itamwagika sana.
 
Mimi nina hofu ya kitu kimoja tu, kuhusu upigaji ktk kipindi hiki ambapo raisi hafanyi ziara. Maana wale vigogo wamaweza fanya miamala ya hovyo kabisa kwenye hela za umma
 
Zitto bhana! Uambiwe na nani sasa hali ya Rais?

Waziri mkuu kasema yuko fiti
Makamu Rais kasema rais yuko fiti

Unataka uambiwe na nani sasa?

Huu upumbavu kumbe hadi kwa wasomi upo?
Kwani sisi tulimchagua Waziri Mkuu? Kama Rais yupo fit, kuna haja hani ya kusemewa na mtu mwingine?

Nchi hii ina wajinga wengi. Maswali ya msingi ya wenye akili, wajinga wanataka kuyajibu kijinga.
 
Back
Top Bottom