Huyo vick kamata ukitaka kujua mtu wa aina gani uliza alivyoibuka kwenye siasa. Magufuli hapendwi na wababaishaji, watu vyeti feki na fisadi. Mijizi na washirika wao kama akina vicky ndio wanajitahidi kuchafua heshima ya magufuli. Hapo ukimuuliza vick kama katunga wimbo kumsifu magufuli hakosi nyimbo yet amekufa anasema maneno ya kuwaudhi watu ili kuwapendeza vigogo wapigaji.Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Ha ha aaa. Kwa kweli mtani unenishinda tabia.Sema unamtetea zzk kwa sababu ni mwana ccm mwenzenu.
Mbinguni ya Mbinga?Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Yuko mbingu ipi mkuuHii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Mmbinguni kwa baba yupi? Hata mlangoni tu hatapaona. Anaeua kwa panga auawe kwa panga.Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Mbinguni kwa Baba!Yuko mbingu ipi mkuu
Chances za Mwendakuzimu kuwa Motoni ni Kubwa sanaHii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
MbulaaaaUkipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Hayuko mbinguni yuko jehanamu.Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Ukitubu kwa Mungu peke yake na kumukubali Yesu kuwa Bwana wako binafsi na mwokozi wa maisha yako ndo unapata msamaha, hata upakwe mafuta Mara mia bila kutubu unaenda kuzimu tu!Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Yesu peke yake ndo njia,sio mufti wala pengo!Haisaidii chochote kwa sasa bwashee.
Mufti Abubakar na Kardinali Pengo walimsafishia njia Magufuli kuelekea mbinguni!
Sakramenti ya kitubio mtu awapo kufani hupakwa mafuta!Ukitubu kwa Mungu peke yake na kumukubali Yesu kuwa Bwana wako binafsi na mwokozi wa maisha yako ndo unapata msamaha, hata upakwe mafuta Mara mia bila kutubu unaenda kuzimu tu!
Mafuta biblia iliagiza wapakwe watu kwa ajili ya uponyaji na mambo mengine na mafuta sio sakrament!
BTW zile DKK za kuondoka ni siri kati ya MTU na Mungu wake,wapo wengi tu wanapata neema ya kutubu kabla hawajaondoka!
Who knows hata yeye anaweza kuwa mmoja wao,Mungu sio mwanadamu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pengo kwa nafasi yake aliachiwa " funguo"
Hiyo mbingu aliyopo labda ni mbingu ya ChatoHii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Alikuwa katili sn bora MUNGU alipita nayeWaache kina zito wa Express feelings zao kwa waliyopotia ka njia yakujiponya makovu yao