Mbingu ipi ?Haisaidii chochote kwa sasa bwashee.
Mufti Abubakar na Kardinali Pengo walimsafishia njia Magufuli kuelekea mbinguni!
We jamaa ulikuwa unamponda Sana Magufuli Ila sasa hivi umekuwa mpiga debe wake mkubwa ..Hawa ndio team Msonga originally
Pumbavu zao shamba la Bibi!!!!
Pengo !Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Angesema kuzimu ungekenua mpaka jino la mwisho as if wewe huko ulikwenda na kuthibitisha kama kupo…. Kubwa jinga..Umenichekesha, apumzke mbinguni kwa baba, ulienda au uliwahi kufika huko ukahakiksha yupo, au una jua aliko kwa sasa.?! embu muwe mnaficha upumbavu wenu.
Watu wanajifanya wanajua nini kitatokea baada ya kifo, mnatia aibu… maisha ya mwanadamu ni mafupi.Mbingu ya ma-kayafa? 😂 😂
Cc Behaviourist
Usipotoshe wanasiasa wetu wenye nafasi ya ushawishi.Umelazimishwa kuwasikiliza? 🙄
Zzk hajawahi kuwa mwana siasa mwenye ushawishi hata siku moja.Usipotoshe wanasiasa wetu wenye nafasi ya ushawishi.
Haujengi, bali unajaribu kuwabomoa na kulibomoa Taifa la Tanzania.
Wanyooshe wanasiasa hawa katika njia iliyobora kuelekea kuiletea maendeleo ya kweli Tanzania na watu wake.
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Hilo andiko linapatikana katika kitabu gani !.Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Yupo matoharani ama mbinguni!? Basi mchakato wa kidini wa kumfanya awe mwenye heri uanze mara moja, ikiwa kama njia ya kutaka kumtakatifuza.Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Umenena vema sana mkuu maana dawa ya moto ni moto tu.Hata Iddi Amini, Hitler, Mussolini, na wengi wa namna hiyo hawatakaa wapumzike kwa amani.
View attachment 1984852
Umeishi kidhwalimu unapumzika vipi kwa amani?
Somo kwa wote wenye tabia kama zake, hawatakaa wapumzike kwa amani.
ThubuuutuuuuuuYupo matoharani ama mbinguni!? Basi mchakato wa kidini wa kumfanya awe mwenye heri uanze mara moja, ikiwa kama njia ya kutaka kumtakatifuza.
Wachana na hao wachumia tumboHilo andiko linapatikana katika kitabu gani !.
Mtu akiua kwa upanga hapa duniani jua hata huko hukumu yake ni kupigwa upanga tuWatu wanajifanya wanajua nini kitatokea baada ya kifo, mnatia aibu… maisha ya mwanadamu ni mafupi.
Thubuuutuuuuuu
Huko wapi? Simba atabaki kuwa simba na hukumu ya swala kwa Simba itabaki kuwa machozi ya Samaki. We last one second.Mtu akiua kwa upanga hapa duniani jua hata huko hukumu yake ni kupigwa upanga tu
Eti legacyHuko wapi? Simba atabaki kuwa simba na hukumu ya swala kwa Simba itabaki kuwa machozi ya Samaki. We last one second.
Atakuwa anatesekapengine ameshakabidhiwa mabikira wake 72, na hivi sasa anaendelea kupeleka moto kwa kwenda mbele.
Mbona Yesu alipaa peke yake akamuacha kibaka analiwa na funza.Kwa mujibu wa maandiko.
Hata yule mnyang'anyi alivyotubu pembeni ya Yesu pale msalabani alihakikishiwa kwenda mbinguni siku ile ile.