Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

Mleta mada unampenda zitto badala ya cdm, hili ni tatizo letu tz tunaabudu watu hata kama wanakasoro
 
Mleta mada unampenda zitto badala ya cdm, hili ni tatizo letu tz tunaabudu watu hata kama wanakasoro

Nikweli nampenda sana Zitto, na kusema hilo sina haya juu yake!

lakini naipenda chadema sana sana sana kuliko unavyo weza kufikiri.,

nina imani na misingi ya kuundwa kwake.,

Zaidi sana ninapenda Haki ninapenda uhuru wa mawazo ninapenda siasa safi, na uwajibikaji, INAWEZEKANA!!!
 
huyu karata eksi atakuwa ni Zitto mwenyewe tu anacheza tu na akili za watu, umeshajulikana!
 
Last edited by a moderator:
Na ustaarabu ni kumstiri mtu na kukaa kimya kama hakijatokea kitu sio kumstiri halafu unaweka mabango!!!!!!! Hypocricy kaka mkubwa!!!!!

Mnacho mnakifanya gizani,otherwise cast the light

haha..nimetoa mifano mingi sana ndugu yangu.Km huwezi kuwa mwaminifu ktk haya ni vipi utaweza endesha maisha kw ahisia na kutaka utakacho ndicho kiwe jibu?Sasa km unataka majibu yako ndio yawe matokeo kwanini ufanya research?

NImetoa sana huu mfano..Wanandoa wanapoachana kwa uzinzi mbaya wa mmojawapo...na kuamua achana bila kudhalilishana mbele za watu.Wengine hufikia kusema sababu ya uongo na wote kuisimamai kwa masalahi ya watoto na heshima zao kwa kukumbuka yale mazuri ambayo yaliwapa furaha kipindi wakiwa pamoja.

Zitto kafanya makosa ambayo yamebadili kabisa maisha kwa kiasi cha kufany mahusiano yasiweze ten akuwa km zamani.Hapa ni vyema zaidi mahusiano yakavunjwa kwa afya ya wote na si distructions ya yeyote.
 
MAKALA - Mwananchi:

Tangu aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe na Mjumbe wa Kamati kuu, Dk Kitila Mkumbo na aliyekuwa Mwenyekiti wa mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba kuvuliwa nyadhifa zao, kumekuwa na mijadala mingi kwenye vyombo vya habari.


Ingetarajiwa kuwa Zitto na kambi yake wangetumia muda huu kutekeleza masharti waliyopewa na Kamati kuu ya chama hicho ndani ya siku 14.

Badala yake amekuwa akitumia vyombo vya habari kujitetea. Leo yupo kwenye chombo hiki kesho kile, leo gazeti hili, kesho televisheni au redio ile.

Hata kama ameonewa alitakiwa afuate taratibu ikiwa ni pamoja na kuandika barua ya kupinga uamuzi huo wa kamati kuu. Kama haridhiki zaidi, aende kwa Msajili wa Vyama vya Siasa akalalamike.

Hizo ndiyo ofisi zinazoweza kumsaidia kwa sasa, siyo kulalamika kwenye vyombo vya habari.

Ni sawa na ninaunga mkono jitihada zake ndani ya chama chao, lakini haya siyo ya kutuambia sisi. Aende kuwaambia viongozi wenzake ndani ya chama.

Huo ni udhaifu mkubwa wa Zitto kama kiongozi. Hajui wapi aseme lipi na wapi asiseme. Ni mtu anayekurupuka, hana subira wala utulivu.

Ukiangalia mifano michache tu, utaona Zitto yupo Chadema kimwili lakini kiroho yuko kwingine. Tangu mwaka 2009 alipotaka kugombea uenyekiti wa chama hicho na baadaye kushauriwa kujitoa, Zitto alianza kujitenga taratibu. Mwaka uliofuata wakati wa uchaguzi, wakati wenzake wanazindua kampeni za urais, yeye naye alikuwa akizindua kampeni za ubunge jimboni kwake tena akatangaza kuwa mwaka 2015 kuwa atagombea urais.

Kwa nini Zitto asingejumuika na wenzake kwenye uzinduzi wa kumnadi Dk Willibrod Slaa aliyekuwa akigombea urais? Au ndiyo uchu wa madaraka?

Kama hiyo haitoshi, baada ya kwenda bungeni, Zitto akataka apewe nafasi ya Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani. Kulikuwa na ulazima gani kwa Zitto kwenda kupambana na Mwenyekiti wake kwenye nafasi hiyo?

Baada ya uchaguzi mkuu, siku Rais Jakaya Kikwete alipokuja Dodoma kuzindua Bunge, wabunge wa Chadema wakiongozwa na Mbowe walisusa wakatoka nje ikiwa ni ishara kupinga matokeo ya uchaguzi.

Lakini siku hiyo Zitto hakutokea. Maswali yakazidi, je Zitto amewagomea wenzake?


Mara nyingi haonekani kwenye mikutano na operesheni za chama hicho na mawasiliano na viongozi wenzake utayakuta mitandao ya intaneti kama vile Facebook au tweeter au Jamii forum.

Kwa nini hakuwa na mawasiliano mazuri na viongozi wenzake kwenye ofisi zao, hadi ayalete kwenye mitandao ya intaneti.

Hivi leo Zitto akiwa mwenyekiti wa chama si atahamisha siri zote kwenye mitandao yote na vyombo habari? Kutakuwa na chama tena hapo?
 
Tangu aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe na Mjumbe wa Kamati kuu, Dk Kitila Mkumbo na aliyekuwa Mwenyekiti wa mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba kuvuliwa nyadhifa zao, kumekuwa na mijadala mingi kwenye vyombo vya habari.

Ingetarajiwa kuwa Zitto na kambi yake wangetumia muda huu kutekeleza masharti waliyopewa na Kamati kuu ya chama hicho ndani ya siku 14.

Badala yake amekuwa akitumia vyombo vya habari kujitetea. Leo yupo kwenye chombo hiki kesho kile, leo gazeti hili, kesho televisheni au redio ile.

Hata kama ameonewa alitakiwa afuate taratibu ikiwa ni pamoja na kuandika barua ya kupinga uamuzi huo wa kamati kuu. Kama haridhiki zaidi, aende kwa Msajili wa Vyama vya Siasa akalalamike.

Hizo ndiyo ofisi zinazoweza kumsaidia kwa sasa, siyo kulalamika kwenye vyombo vya habari.

Ni sawa na ninaunga mkono jitihada zake ndani ya chama chao, lakini haya siyo ya kutuambia sisi. Aende kuwaambia viongozi wenzake ndani ya chama.

Huo ni udhaifu mkubwa wa Zitto kama kiongozi. Hajui wapi aseme lipi na wapi asiseme. Ni mtu anayekurupuka, hana subira wala utulivu.

Ukiangalia mifano michache tu, utaona Zitto yupo Chadema kimwili lakini kiroho yuko kwingine. Tangu mwaka 2009 alipotaka kugombea uenyekiti wa chama hicho na baadaye kushauriwa kujitoa, Zitto alianza kujitenga taratibu. Mwaka uliofuata wakati wa uchaguzi, wakati wenzake wanazindua kampeni za urais, yeye naye alikuwa akizindua kampeni za ubunge jimboni kwake tena akatangaza kuwa mwaka 2015 kuwa atagombea urais.

Kwa nini Zitto asingejumuika na wenzake kwenye uzinduzi wa kumnadi Dk Willibrod Slaa aliyekuwa akigombea urais? Au ndiyo uchu wa madaraka?

Kama hiyo haitoshi, baada ya kwenda bungeni, Zitto akataka apewe nafasi ya Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani. Kulikuwa na ulazima gani kwa Zitto kwenda kupambana na Mwenyekiti wake kwenye nafasi hiyo?

Baada ya uchaguzi mkuu, siku Rais Jakaya Kikwete alipokuja Dodoma kuzindua Bunge, wabunge wa Chadema wakiongozwa na Mbowe walisusa wakatoka nje ikiwa ni ishara kupinga matokeo ya uchaguzi.

Lakini siku hiyo Zitto hakutokea. Maswali yakazidi, je Zitto amewagomea wenzake? Mara nyingi haonekani kwenye mikutano na operesheni za chama hicho na mawasiliano na viongozi wenzake utayakuta mitandao ya intaneti kama vile Facebook au tweeter au Jamii forum.
Kwa nini hakuwa na mawasiliano mazuri na viongozi wenzake kwenye ofisi zao, hadi ayalete kwenye mitandao ya intaneti.

Hivi leo Zitto akiwa mwenyekiti wa chama si atahamisha siri zote kwenye mitandao yote na vyombo habari? Kutakuwa na chama tena hapo?

source: mwananchi 04 Dec 2013

 
Nakubaliana na wewe mkuu hatakwenye waraka wa siri hayo yalitajwa. huyu dogo ameharibu kabisa future yake katika siasa.
 
Mimi nashindwa kuelewa huu unafiki tunaoukumbatia watanzania. Zitto hajaanza leo kuwasaliti CHADEMA, hakuna mtu mwenye akili timamu atasimama na kutamka toka moyoni kuwa Zitto ameonewa. Hata wana CCM tunaotaka ushindani wa kisiasa hakuna haja ya kumsapoti Zitto,mtu msaliti hata akija CCM ataendeleza tu usaliti wake. Mwenyekiti wetu Mh. Kikwete angekuwa na uchu wa madaraka kama Zitto,naapa mbele za mungu asingekuwa raisi wetu hii leo jap6 kama angependa kuigawa CCM hapo 1995. Mimi naenda mbali na kuamini kuna baadhi ya makabila hayapaswi kupewa madaraka makubwa hapa nchini. Huku usukumani ukitaka kuoa hapo miaka ya nyuma tulikuwa tunatahadhariswa kuoa mchanga-wapo kwa pesa, wahaya-si waaminifu kwenye ndoa,msukuma-hajui mapenzi isipokuwa kazi. Waniramba-ujiandae kukamata ugoni dkk yoyote! Kwa mifano hiyo midogo naomba muangalie mwenendo wa Kafulila hata alipoenda NCCR-MAGEUZI baada ya kutoka CHADEMA, angalieni Kaburu,muoneni Zitto alivyowageuka wenzake halafu watu mnaendelea kuunga mkono mchawi! Malaya ni malaya tu hata kama amekulia BOT. Zitto ni malaya wa siasa,mpenda sifa,mwenye kujiona kwa elimu yake ya Wajerumani. Nasema kila mara hapa jf forum Zitto alitumia hoja za migodi yetu ya dhahabu kujulikana na kujitajirisha na baadhi ya wana CCM majinzi. Wapambe wake naomba mjulisheni akome kubeba ajenda za kanda ya ziwa hasa Shinyanga kwani Lembeli anatosha kutuwakilisha akomae na mawese pamoja na migebuka huko kwao. Mimi hakuna kauli iliyoniudhi kama yakudai wakristu hawampendi Kigoma wakati mimi mtoto wangu namwita Zitto huku nikiwa mkiristu.
 
heshimuni mamalaka,maana kila mamalaka inatoka kwa Mwenyezi MUNGU,ZZK jipange brother kama kweli wewe ni mwanamapinduzi kama rolemodal wako waziri mkuu mstaafu wa THAHILAND
 
Zitto ni mtu hatari kwa chama na alichopata ni haki yake kama kuna mtu ana wasiwasi na hilo wanzishe chama chao mw/kiti akawe zitto
 
We muandishi umemtafuta kumshauri au kelele tu na kutumia jina lake kuuza gazeti!!!!!

Unafiki kitu kibaya sana
 
Mimi nashindwa kuelewa huu unafiki tunaoukumbatia watanzania. Zitto hajaanza leo kuwasaliti CHADEMA, hakuna mtu mwenye akili timamu atasimama na kutamka toka moyoni kuwa Zitto ameonewa. Hata wana CCM tunaotaka ushindani wa kisiasa hakuna haja ya kumsapoti Zitto,mtu msaliti hata akija CCM ataendeleza tu usaliti wake. Mwenyekiti wetu Mh. Kikwete angekuwa na uchu wa madaraka kama Zitto,naapa mbele za mungu asingekuwa raisi wetu hii leo jap6 kama angependa kuigawa CCM hapo 1995. Mimi naenda mbali na kuamini kuna baadhi ya makabila hayapaswi kupewa madaraka makubwa hapa nchini. Huku usukumani ukitaka kuoa hapo miaka ya nyuma tulikuwa tunatahadhariswa kuoa mchanga-wapo kwa pesa, wahaya-si waaminifu kwenye ndoa,msukuma-hajui mapenzi isipokuwa kazi. Waniramba-ujiandae kukamata ugoni dkk yoyote! Kwa mifano hiyo midogo naomba muangalie mwenendo wa Kafulila hata alipoenda NCCR-MAGEUZI baada ya kutoka CHADEMA, angalieni Kaburu,muoneni Zitto alivyowageuka wenzake halafu watu mnaendelea kuunga mkono mchawi! Malaya ni malaya tu hata kama amekulia BOT. Zitto ni malaya wa siasa,mpenda sifa,mwenye kujiona kwa elimu yake ya Wajerumani. Nasema kila mara hapa jf forum Zitto alitumia hoja za migodi yetu ya dhahabu kujulikana na kujitajirisha na baadhi ya wana CCM majinzi. Wapambe wake naomba mjulisheni akome kubeba ajenda za kanda ya ziwa hasa Shinyanga kwani Lembeli anatosha kutuwakilisha akomae na mawese pamoja na migebuka huko kwao. Mimi hakuna kauli iliyoniudhi kama yakudai wakristu hawampendi Kigoma wakati mimi mtoto wangu namwita Zitto huku nikiwa mkiristu.

~Word- Period~
Hajifunzi kwa Kafulila alivoenda kulia kwa Mbatia! Its true watu wanaotoka kigoma huwa wanakasumba ya kujiona wao ni bora sana!I remember some of my friend wakati ule nasoma chuo,jamaa waliotoka kigoma wana tabia kama ya Zito!
 
We muandishi umemtafuta kumshauri au kelele tu na kutumia jina lake kuuza gazeti!!!!!

Unafiki kitu kibaya sana

Zito ni mnafiki period!
Aende basi CCM tuone kama atapewa nafasi ya kugombea Urais!tabia ya kujiona wewe ni bora sana kuliko wengine ni mbaya sana,yule anakiu ya madaraka,I tell you siku akiwa Rais anaweza badilisha katiba ili ajilundikie madaraka!
 
CCM ni CHAMA CHA WAISLAMU

Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),

1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itikani na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu

Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam

Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu
 
CCM ni CHAMA CHA WAISLAMU

Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),

1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itikani na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu

Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam

Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu

.......basi sawa, kila mtu ajishughulishe na chama chake, ...........au vipi :dance::A S 103:
 
CCM ni CHAMA CHA WAISLAMU

Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),

1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itikani na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu

Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam

Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu


Hii kwetu sisi wakristo haina tatizo........dini si kitu kama utendaji wa kazi nimzuri,
 
MAKALA - Mwananchi:

Tangu aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe na Mjumbe wa Kamati kuu, Dk Kitila Mkumbo na aliyekuwa Mwenyekiti wa mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba kuvuliwa nyadhifa zao, kumekuwa na mijadala mingi kwenye vyombo vya habari.


Ingetarajiwa kuwa Zitto na kambi yake wangetumia muda huu kutekeleza masharti waliyopewa na Kamati kuu ya chama hicho ndani ya siku 14.

Badala yake amekuwa akitumia vyombo vya habari kujitetea. Leo yupo kwenye chombo hiki kesho kile, leo gazeti hili, kesho televisheni au redio ile.

Hata kama ameonewa alitakiwa afuate taratibu ikiwa ni pamoja na kuandika barua ya kupinga uamuzi huo wa kamati kuu. Kama haridhiki zaidi, aende kwa Msajili wa Vyama vya Siasa akalalamike.

Hizo ndiyo ofisi zinazoweza kumsaidia kwa sasa, siyo kulalamika kwenye vyombo vya habari.

Ni sawa na ninaunga mkono jitihada zake ndani ya chama chao, lakini haya siyo ya kutuambia sisi. Aende kuwaambia viongozi wenzake ndani ya chama.

Huo ni udhaifu mkubwa wa Zitto kama kiongozi. Hajui wapi aseme lipi na wapi asiseme. Ni mtu anayekurupuka, hana subira wala utulivu.

Ukiangalia mifano michache tu, utaona Zitto yupo Chadema kimwili lakini kiroho yuko kwingine. Tangu mwaka 2009 alipotaka kugombea uenyekiti wa chama hicho na baadaye kushauriwa kujitoa, Zitto alianza kujitenga taratibu. Mwaka uliofuata wakati wa uchaguzi, wakati wenzake wanazindua kampeni za urais, yeye naye alikuwa akizindua kampeni za ubunge jimboni kwake tena akatangaza kuwa mwaka 2015 kuwa atagombea urais.

Kwa nini Zitto asingejumuika na wenzake kwenye uzinduzi wa kumnadi Dk Willibrod Slaa aliyekuwa akigombea urais? Au ndiyo uchu wa madaraka?

Kama hiyo haitoshi, baada ya kwenda bungeni, Zitto akataka apewe nafasi ya Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani. Kulikuwa na ulazima gani kwa Zitto kwenda kupambana na Mwenyekiti wake kwenye nafasi hiyo?

Baada ya uchaguzi mkuu, siku Rais Jakaya Kikwete alipokuja Dodoma kuzindua Bunge, wabunge wa Chadema wakiongozwa na Mbowe walisusa wakatoka nje ikiwa ni ishara kupinga matokeo ya uchaguzi.

Lakini siku hiyo Zitto hakutokea. Maswali yakazidi, je Zitto amewagomea wenzake?


Mara nyingi haonekani kwenye mikutano na operesheni za chama hicho na mawasiliano na viongozi wenzake utayakuta mitandao ya intaneti kama vile Facebook au tweeter au Jamii forum.

Kwa nini hakuwa na mawasiliano mazuri na viongozi wenzake kwenye ofisi zao, hadi ayalete kwenye mitandao ya intaneti.

Hivi leo Zitto akiwa mwenyekiti wa chama si atahamisha siri zote kwenye mitandao yote na vyombo habari? Kutakuwa na chama tena hapo?

Zito ndiye anayekivuluga Chadema.Ni mtu wa hatari sana.Nilitokea kumshabikia sana,lakini katika sekeseke hili namwona ni msaliti siyo tu kwa Chadema bali kwa wote wapenda ukombozi wa kweli. Tamaa yake ya kutaka kuwahi mapema imemponza.
 
Back
Top Bottom