Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

matumizi ya fedha wanajua watu watatu tu,mtendaji mkuu,msaidizi na mtunza fedha by waraka wa ushindi 2013

alikuwa haingii vikaoni?kwa nini hakuuliza?kama si mnafiki kwa nini iwe chadema tu zaidi!
 
zitto kwisha habari yake mbona mnachapa maiti ya kisiasa? haiumii ilishaumizwa tayari
 
Zitto amekuwa wimbo wa taifa sasa! Watanzania tusonge mbele tunashindwa kutengeneza hata sindano jama!
 
Mwacheni Zitto apumzike why all the time mnamtafuta ? Mwacheni sasa inatosha fanyeni kazi zingine .

Wasipo fanya kazi hii waliyotumwa na Slaa watafanya kazi gani? Waacheni wafanye kazi yao.
 
Hoja za kimaendeleo tafadhar zitto zitto mpaka lini?
Yeye ndo anatakiwa kujieleza siyo m2 mwingne kumtetea.
 
Nguvu waliyotumia viongozi wa chadema kuzima seke seke la ZZK

Imetumika nguvu kubwa sana kuelimisha wanachama wa chadema juu ya uhalali wa maamuzi yaliyofikiwa na kamati kuu ya chama, ya kuwavua Zitto na wenzake nyadhifa zote ndani ya chama.

Kumetokea ziara za ghafla ghafla za watendaji wakuu kwenda mikoa iliyokuwa inapinga maamuzi hayo!

Hii inanifanya niamini kuwa waliovuliwa madaraka,wana nguvu ya ziada katika uhai wa chama kuliko waliobaki

Nimemaliza: wish to see you BS
 
aiseeeee babayangu kwanza tu nikupe pole kwa kuumwa na kichwa pili nikutarifu tu hakuna aliye juu ya katiba ya chadema tatu maumivu yakizidi pata ushauri wa daktari.

unapaswa kuumiza kichwa kwanini jk kaenda kucheki afya yake marekani. na si muhumbili au mwananyamala
 
Nguvu waliyotumia viongozi wa chadema kuzima seke seke la ZZK

Imetumika nguvu kubwa sana kuelimisha wanachama wa chadema juu ya uhalali wa maamuzi yaliyofikiwa na kamati kuu ya chama, ya kuwavua Zitto na wenzake nyadhifa zote ndani ya chama.

Kumetokea ziara za ghafla ghafla za watendaji wakuu kwenda mikoa iliyokuwa inapinga maamuzi hayo!

Hii inanifanya niamini kuwa waliovuliwa madaraka,wana nguvu ya ziada katika uhai wa chama kuliko waliobaki

Nimemaliza: wish to see you BS

Shallow analysis......!Nilipoona title nikadhani kuna jambo kubwa lenye data na statistic na falsafa za kutisha.
 
Wahi milembe au kaombewe.
Zen uje uandike upya hiyo Topic yako.
 
sasa kinachokuuma kichwa ni nini hapo? nadhani wamewaelimisha wananchi umuhimu wa kufuata sera za chama na sio kufuata mtu.
 
Kama ana nguvu kubwa hizo si amuige Lyatonga Mrema kwa kuondoka na wanachama wake na kwenda chama Kingine au kuanzisha Chama chake rufaa za nini ??!!
 
kwani zitto alivuliwa vyeo kwa takwimu na uharisia upi,najua unajuta kukosa kumuua zitto.humuwezi.

Kuandika kwenyewe hamjui hata kuandika, halafu bado mnaingia na verified ID zenu, mtaani watakuita zoba kubwa lillilomaliza shule huku halijui kuandika!
 
Back
Top Bottom